MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    

flaviana.jpg

Kwenye sanaa ya urembo hivi sasa jina linalotajwa zaidi ni Flaviana Matata. Huyu ni mrembo wa kitanzania anayeshiriki mashindano ya Miss Universe ambayo yanatarajiwa kufikia kilele chake Jumatatu tarehe 28 Mei 2007 pale jijini Mexico City nchini Mexico.Yanatarajiwa kurushwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha NBC kuanzia saa tatu kamili usiku saa za mashariki (ET). Kwa Tanzania hiyo itakuwa ni saa kumi na moja asubuhi alfajiri.

Lakini Flaviana Matata ni nani? Ni mzaliwa wa Shinyanga-Tanzania.Utotoni alikuwa na ndoto za kuwa daktari ndoto ambazo ziliyeyuka alipojikuta amekuwa fundi-umeme.Anatarajia kuendelea na masomo baadaye ili awe mhandisi umeme (Electrical Engineer). Anasema anamhusudu sana mlimbwende maarufu wa kimarekani anayeitwa Tyra Banks

Kwa habari zaidi tembelea tovuti ya Miss Universe. Picha kwa hisani ya Michuzi.

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Feedback / Comments

16 Responses to “MJUE FLAVIANA MATATA”

  1. Comment by Andrzej on May 26th, 2007 2:45 pm

    You are the most beautifull girl I have ever seen!
    Regards from Poland

  2. Comment by Karim Musa on May 26th, 2007 9:28 pm

    I compeletely agree with you,this girl is amazingly beautiful

  3. Comment by mobyakon on May 27th, 2007 9:57 am

    she is very nice .. and wonderful . very nice woman. mystic woman

  4. Comment by diamond on May 29th, 2007 11:25 am

    she is pretty and i love her smile

  5. Comment by Lil on May 29th, 2007 3:00 pm

    You are full of poise and grace! You make me proud to be Tanzanian. Much love from Boston, MA!!!

  6. Comment by temba on May 31st, 2007 3:02 am

    although things went a bit bad,you hav done your best girl,you aer blessed!

  7. Comment by msechu on May 31st, 2007 3:10 am

    Hongera sana na pole kwa kazi nzito ila nchi yako ni maskini ya pili toka chini ni vyema tusitishe starehe tufanye kazi kwanza.Rudi nyumbani mama AFRICA.

  8. Comment by nakaaya on June 15th, 2007 4:56 pm

    you are te epitome of African beauty, got nothing but love for you. peace

  9. Comment by sophia Byanaku on June 29th, 2007 8:09 am

    Flaviana,you are a phenomenal woman,the African Queen!

    im proud of you,peace & love gal.

  10. Comment by mamy ussi on July 14th, 2007 5:48 am

    congratulation , dada you are so beautiful , this really shows natural beauty of our country and you make me proud to be tanzanian. its also confirm beauty is skin deep yu dont need hair or make up to shine,fly the flag and best of luck in your journey.

  11. Comment by Lysa Bantu on July 19th, 2007 9:29 am

    Your so beautiful and amazing, full of Poise and grace. Congratulations, stay focus and aim for your goal. Beauty is skin deep and am sure everybody can see that in you. Hongera Dada.

  12. Comment by TINA on August 30th, 2007 6:10 am

    Your so pretty and lovely smile

  13. Comment by miss pauline joseph on September 5th, 2007 2:59 am

    keep it up baby…..but dont 4get to thank GOD for youreverthing

  14. Comment by amina on February 29th, 2008 5:41 am

    mbona wpte mnaandika kizungu ahh

  15. Comment by Mjomba Binz R. on April 13th, 2008 2:50 pm

    Hi Flavian you are the most beautiful lady. Only wondering how I can contact you.

  16. Comment by Matty on November 15th, 2008 6:45 am

    hahahahaha Amina lol!

Leave a Reply