
Kwenye sanaa ya urembo hivi sasa jina linalotajwa zaidi ni Flaviana Matata. Huyu ni mrembo wa kitanzania anayeshiriki mashindano ya Miss Universe ambayo yanatarajiwa kufikia kilele chake Jumatatu tarehe 28 Mei 2007 pale jijini Mexico City nchini Mexico.Yanatarajiwa kurushwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha NBC kuanzia saa tatu kamili usiku saa za mashariki (ET). Kwa Tanzania hiyo itakuwa ni saa kumi na moja asubuhi alfajiri.
Lakini Flaviana Matata ni nani? Ni mzaliwa wa Shinyanga-Tanzania.Utotoni alikuwa na ndoto za kuwa daktari ndoto ambazo ziliyeyuka alipojikuta amekuwa fundi-umeme.Anatarajia kuendelea na masomo baadaye ili awe mhandisi umeme (Electrical Engineer). Anasema anamhusudu sana mlimbwende maarufu wa kimarekani anayeitwa Tyra Banks
Kwa habari zaidi tembelea tovuti ya Miss Universe. Picha kwa hisani ya Michuzi.
Feedback / Comments
16 Responses to “MJUE FLAVIANA MATATA”
Leave a Reply


You are the most beautifull girl I have ever seen!
Regards from Poland
I compeletely agree with you,this girl is amazingly beautiful
she is very nice .. and wonderful . very nice woman. mystic woman
she is pretty and i love her smile
You are full of poise and grace! You make me proud to be Tanzanian. Much love from Boston, MA!!!
although things went a bit bad,you hav done your best girl,you aer blessed!
Hongera sana na pole kwa kazi nzito ila nchi yako ni maskini ya pili toka chini ni vyema tusitishe starehe tufanye kazi kwanza.Rudi nyumbani mama AFRICA.
you are te epitome of African beauty, got nothing but love for you. peace
Flaviana,you are a phenomenal woman,the African Queen!
im proud of you,peace & love gal.
congratulation , dada you are so beautiful , this really shows natural beauty of our country and you make me proud to be tanzanian. its also confirm beauty is skin deep yu dont need hair or make up to shine,fly the flag and best of luck in your journey.
Your so beautiful and amazing, full of Poise and grace. Congratulations, stay focus and aim for your goal. Beauty is skin deep and am sure everybody can see that in you. Hongera Dada.
Your so pretty and lovely smile
keep it up baby…..but dont 4get to thank GOD for youreverthing
mbona wpte mnaandika kizungu ahh
Hi Flavian you are the most beautiful lady. Only wondering how I can contact you.
hahahahaha Amina lol!