Mojawapo ya videos ambazo sisi wahariri wa BongoCelebrity tumezikubali ni hii ya Mandojo na Domokaya katika wimbo uitwao Dingi. Je hiki ni kisa cha kweli? Mahojiano rasmi yatakujieni hivi karibuni.
Feedback / Comments
6 Responses to “KISA CHA KWELI?”
Leave a Reply


sending...
Great music,great story,great site.Keep em coming
hawa watoto wazuri sana. wana talent ya ajabu. Nyimbo yao hii ni nzuri sana, na in maneno na mazuri na yanawagusa wengi. I can’t wait for their interview.
vijana wako makini, its real, this hapens into our daily lives.
thanx 4 the site…. keep on moving guys
dah: yaani hawa washikaji wanatisha si mchezo, huu wimbo wao una message nzuri sana, kwa kweli umetulia. waendelee hivyo hivyo wasibweteke na mafanikio yao.
yaani hawa washikaji wanatisha si mchezo, huu wimbo wao una msg nzuri sana, waendelee hivyo hivyo wasibweteke na mafanikio yao. big up wazee.
bravo