<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: UKIAMBIWA MICHUZI NI MVIVU UTAKUBALI?</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sat, 11 Feb 2012 15:21:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: kamana mlenda</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/comment-page-2/#comment-167620</link>
		<dc:creator>kamana mlenda</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 07 Sep 2011 13:52:51 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/#comment-167620</guid>
		<description>Huyu Bro namfahamu tangu enzi za YMCA Disco, pia nimeishi nae kwa muda mrefu pale Magomeni mtaa wa Dosi kweli ni Kioo cha kuigwa katika Jamii-Mchapa kazi, Hapendi kujikuza pamoja na umaarufu wake hapa mjini,mbunifu, mshiriki wa mambo mbalimbali ya kijamii (Hana maringo) kwa ujumla ameshehena kwa mambo mazuri-BIG UP BRO na endelea kufuata Ndoto zako</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Huyu Bro namfahamu tangu enzi za YMCA Disco, pia nimeishi nae kwa muda mrefu pale Magomeni mtaa wa Dosi kweli ni Kioo cha kuigwa katika Jamii-Mchapa kazi, Hapendi kujikuza pamoja na umaarufu wake hapa mjini,mbunifu, mshiriki wa mambo mbalimbali ya kijamii (Hana maringo) kwa ujumla ameshehena kwa mambo mazuri-BIG UP BRO na endelea kufuata Ndoto zako</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Evarist Nyomolelo</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/comment-page-2/#comment-143882</link>
		<dc:creator>Evarist Nyomolelo</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 21 Apr 2011 08:51:42 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/#comment-143882</guid>
		<description>kaka michuzi big up sana.... wewe ni kichwa na kaza buti...sisi ambao tupo kwenye fani hii ya Tecnologia ya Habari inabidi tukutane na tupeane ushauri... make Contact with me I have a lot to advice you in this field....</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>kaka michuzi big up sana&#8230;. wewe ni kichwa na kaza buti&#8230;sisi ambao tupo kwenye fani hii ya Tecnologia ya Habari inabidi tukutane na tupeane ushauri&#8230; make Contact with me I have a lot to advice you in this field&#8230;.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Abraham Charles@IFM</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/comment-page-2/#comment-135835</link>
		<dc:creator>Abraham Charles@IFM</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 16 Mar 2011 17:30:05 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/#comment-135835</guid>
		<description>hi! kaka michuzi nimependa kazi yako mimi .lakini nlikuwa nataka kuonana na wewe iinipate elimu juu ya blog yako kwani mimi nimwanafunzi wa hapo chuo cha usimamizi wa fedha (IFM).je nakupataje</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>hi! kaka michuzi nimependa kazi yako mimi .lakini nlikuwa nataka kuonana na wewe iinipate elimu juu ya blog yako kwani mimi nimwanafunzi wa hapo chuo cha usimamizi wa fedha (IFM).je nakupataje</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: savegod</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/comment-page-2/#comment-125789</link>
		<dc:creator>savegod</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 28 Jan 2011 07:29:32 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/#comment-125789</guid>
		<description>Kaka Michuzi kazi yako tunaikubali hasa kwa viongozi wa kitaifa umeonyesha kazi mbalimbali wanazozifanya pia wanamichezo na wasanii mbalimbali. umewahabarisha watu wengi kupitia kazi yako ya media.WATANZANIA TUNAHITAJI VIJANA WACHAPAKAZI KAMA WEWE.Hongera kwa kaziunayoifanya ni nzuri na inavutia.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kaka Michuzi kazi yako tunaikubali hasa kwa viongozi wa kitaifa umeonyesha kazi mbalimbali wanazozifanya pia wanamichezo na wasanii mbalimbali. umewahabarisha watu wengi kupitia kazi yako ya media.WATANZANIA TUNAHITAJI VIJANA WACHAPAKAZI KAMA WEWE.Hongera kwa kaziunayoifanya ni nzuri na inavutia.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: muharram mchume</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/comment-page-2/#comment-52108</link>
		<dc:creator>muharram mchume</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 11 May 2010 11:33:09 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/#comment-52108</guid>
		<description>Naona Michuzi amesahau pia kuwa alikuwa mpiga picha mchuu wa mchezo wa volleyball pale YMCA na kuufanya mchezo huo kuwa nambari two baada ya football wakati ule kwani watu wa Green Buffaloes na Indeni wa Zambia wanamkumbuka. Bila kusahau bidii zake kuendeleza mchezo huo kwa publicity.
TUNAHITAJI WATU WA AINA YA MICHUZI NOTHING IS IMPOSSIBLE THE SKY IS THE LIMIT</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Naona Michuzi amesahau pia kuwa alikuwa mpiga picha mchuu wa mchezo wa volleyball pale YMCA na kuufanya mchezo huo kuwa nambari two baada ya football wakati ule kwani watu wa Green Buffaloes na Indeni wa Zambia wanamkumbuka. Bila kusahau bidii zake kuendeleza mchezo huo kwa publicity.<br />
TUNAHITAJI WATU WA AINA YA MICHUZI NOTHING IS IMPOSSIBLE THE SKY IS THE LIMIT</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mapendo</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/comment-page-2/#comment-50857</link>
		<dc:creator>mapendo</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 06 May 2010 07:32:48 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/#comment-50857</guid>
		<description>Nakupongeza kwa utafiti wako</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nakupongeza kwa utafiti wako</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Kabaka</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/comment-page-1/#comment-41960</link>
		<dc:creator>Kabaka</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 23 Mar 2010 09:44:47 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/#comment-41960</guid>
		<description>AACHE KUBANIA WATU MAONI YAO KUWALINDA WANAOONYESHA SURA KWENYE BLOGU YAKE!
ANAJISHUSHIA HESHIMA.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>AACHE KUBANIA WATU MAONI YAO KUWALINDA WANAOONYESHA SURA KWENYE BLOGU YAKE!<br />
ANAJISHUSHIA HESHIMA.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: esther</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/comment-page-1/#comment-39130</link>
		<dc:creator>esther</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 05 Mar 2010 08:31:42 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/#comment-39130</guid>
		<description>nakupa hongera kwa uzalendo wako kaka yaani umeni impress kweli kama kweli unajali kazi na wala sio kipato.tupe contact yako tukutafute kwenye harusi zetu.
Ubarikiwe</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>nakupa hongera kwa uzalendo wako kaka yaani umeni impress kweli kama kweli unajali kazi na wala sio kipato.tupe contact yako tukutafute kwenye harusi zetu.<br />
Ubarikiwe</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Josephine</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/comment-page-1/#comment-33142</link>
		<dc:creator>Josephine</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 30 Dec 2009 16:18:10 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/#comment-33142</guid>
		<description>Muhidin
Nimfurahia sana mahojiano kwani yametoa picha kadhaa ikiwa pamioja na:Bidii inalipa, nimejifunza mengi toka kwako, humbleness inalipa wengi huwa hatujui, uungwana unalipa pamoja na kuchukua muda mrefu, mkweli hasa ulivyoelezea wakati unampiga baba wa Taifa na experience hiyo wengi wamewahi ipata, You are a hard working person, I do appreciate that!ma mengine mengi!keep it up!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Muhidin<br />
Nimfurahia sana mahojiano kwani yametoa picha kadhaa ikiwa pamioja na:Bidii inalipa, nimejifunza mengi toka kwako, humbleness inalipa wengi huwa hatujui, uungwana unalipa pamoja na kuchukua muda mrefu, mkweli hasa ulivyoelezea wakati unampiga baba wa Taifa na experience hiyo wengi wamewahi ipata, You are a hard working person, I do appreciate that!ma mengine mengi!keep it up!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Baptist mgalama</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/comment-page-1/#comment-31783</link>
		<dc:creator>Baptist mgalama</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 08 Dec 2009 18:26:56 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/06/12/ukiambiwa-michuzi-ni-mvivu-utakubali/#comment-31783</guid>
		<description>Nakupongeza sana Mheshimiwa kwa kazi nzuri unlizofanya na unazoendelea kufanya.  Kama utakumbuka ni kuwa kuna siku nilikuomba kuwa Lile darasa la Kupiga picha ulilokuwa unaliendesha -Daily News on Saturday , nilikuomba lisiishie pale bali uandike kitabu.  Kitabu kitasaidia sana hasa hawa vijana wa sasa kwa kuwa wewe umeanzia Dark room mpaka sasa tuko kwenye Digital.Kama umekwishakitoa ni vizuri mimi kama mwanafunzi wako nitafurahi sana.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nakupongeza sana Mheshimiwa kwa kazi nzuri unlizofanya na unazoendelea kufanya.  Kama utakumbuka ni kuwa kuna siku nilikuomba kuwa Lile darasa la Kupiga picha ulilokuwa unaliendesha -Daily News on Saturday , nilikuomba lisiishie pale bali uandike kitabu.  Kitabu kitasaidia sana hasa hawa vijana wa sasa kwa kuwa wewe umeanzia Dark room mpaka sasa tuko kwenye Digital.Kama umekwishakitoa ni vizuri mimi kama mwanafunzi wako nitafurahi sana.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-12 04:42:22 -->
