Kila siku ya Alhamisi ifikapo saa moja jioni, watanzania wengi hujikita mbele ya luninga zao tayari kuangalia Ze Comedy. Wewe ni mmojawapo?

BongoCelebrity iko mbioni kuwaleteeni mahojiano rasmi na vijana wanaounda kundi hili. Pamoja na maswali kutoka kwetu,tungependa pia Ze Comedy wajibu maswali kutoka kwenu wasomaji na watembeleaji wa tovuti/blog hii. Je una swali ambalo ungependa kuwauliza Ze Comedy? Tuandikie swali/maswali yako kupitia anuani pepe yetu; bongocelebrity at gmail.com

Picha kwa hisani ya Yahya Charahani.

Feedback / Comments

49 Responses to “ZE COMEDY”

  1. Comment by ATU WA ATHU on August 6th, 2007 3:36 am

    Yes wawa waaaaaaaaaaaaa!!!!!
    Nawafagilia kinyama wazee kwa kuweka mambo hazaran,Mnaonaje kama nikijiunga nanyi????Ahh achen kunibania.
    BIG UP SANA MAZEE!!!!

  2. Comment by Maisarah on August 6th, 2007 3:42 am

    Nawapenda sana ze comedy haswa masanja na Ammy J. naomba kujua historia zao na nini wanachokifanya kwa sasa wameoa na wana watoto wagapi?wana wazazi wanaishi wapi kwa sasa kwa kweli nawapenda sana mwanawane

  3. Comment by Freddyjoe on August 6th, 2007 11:03 am

    Mko juu sana ! Ila uigizaji mlioanza juzi kati siyo wenyewe kabisa…. kwa mfano wa kummaliza jamaa yetu mmoja kuwa yeye ni “kwisha”- yaani toka Celebrety hadi kuuza matikiti maji kwa baiskeli ! Mi nimemuona karibuni tu, hali yake ni mbaya, lakini siyo kiasi hicho….
    Amijee, mbona umeacha kubonyeza KIZENJI ???

  4. Comment by muddy on August 8th, 2007 3:29 am

    mko full kinoma nawapa big up, ila naomba siku moja mrudie kibao cha znz star NAIAMINI pale mlifunika kinoma hakuna hata shoo moja iliyokamata pale… ..

  5. Comment by muddy on August 8th, 2007 3:34 am

    mko full kinoma nawapa big up, ila naomba siku moja mrudie kibao cha znz star NAJIAMINI pale mlifunika kinoma hakuna hata shoo moja iliyokamata pale… ..

  6. Comment by muddy on August 8th, 2007 3:36 am

    hivi mkiekt kama mademu hamsumbuliwi na viburudisho vyenu?

  7. Comment by muddy on August 8th, 2007 3:45 am

    USHAURI WA BURE KWA AMMY J, ndugu yangu jitahidi sana hiyo misemo yako isifanane na aya za quran usije ukauwasha moto bure si unawajua WAISLAM?

  8. Comment by kamtoni on August 8th, 2007 8:47 am

    simpendi jamaa aneye legeza domo,toeni huyo

  9. Comment by baba yusrat on August 9th, 2007 2:51 am

    keep it up namjaribu kuisogeleajamii kwa ufasaha

  10. Comment by nyaku on August 9th, 2007 3:36 am

    sio siri the comedy nawagilia kinoma ila tu huyo anaigiza kama wahaya kwa upande wangu naona hawapatiii coz kaweka maringo kupitiliza ombi either aaache kuwaiga au atafutwe mwingine anayeza kuwaiga wa kabila hilo….
    ombi langu mtoe basi CD ili iwe rahisi kuona ambavyo tunakua tume miss….mfanye kama vile Mr bean anavyotoa CD zake…
    KEEP IT UP GUYS…..

  11. Comment by nyaku on August 9th, 2007 3:41 am

    MASAHIHISHO
    sio siri the comedy nawafagilia kinoma ila tu huyo anaeigiza kama wahaya kwa upande wangu naona hawapatiii coz kaweka maringo kupitiliza,ombi either aaache kuwaiga au atafutwe mwingine anayeweza kuwaiga kabila hilo….
    ombi langu mtoe basi CD ili iwe rahisi kuona ambavyo tunakua tume miss….mfanye kama vile Mr bean anavyotoa CD zake…
    KEEP IT UP GUYS…..

  12. Comment by Halil Mnzava on August 21st, 2007 5:38 am

    Baadhi ya maigizo yenu mmekuwa mki walaani wasanii waliofanikiwa na kisha kuponda mali na kuwa hoi kifedha.Je mnatumia mifano yao ki vipi ili msipitie njia hiyohiyo?

  13. Comment by Eusebio Hillary on August 21st, 2007 10:15 am

    Hawa jamaa wanastahili pongezi, kwakweli kazi yenu nzuri sana vijana,songeni mbele tuu bila woga! All da best guyz.

  14. Comment by muddy on September 4th, 2007 2:42 am

    AMMY J nilikwambia cku nyingi khs hiyo misemo yako lkn hukutaka kunickia haya sasa USHALIKOROGA ULINYWE HILO………….

  15. Comment by miss p on September 5th, 2007 2:46 am

    masanja big up sana wewe ni bingwa mzee…. huwa nikikuona najiskia furaha sana,hasa ukiigiza muondoko kama wa joti

  16. Comment by miss pauline joseph on September 5th, 2007 2:50 am

    masanja big up mazee.nafurahi zaidi ukinitembelea muondoko kama wa joti,wewe kichwa bwana kaza buti bingwa wangu

  17. Comment by Prof Anase on September 7th, 2007 9:08 am

    ebwana wazee mko juu kinyama yaanni full babake ila muanze kutoa cs na ma dvd wana ili watu mba;i mbali tuweze waona na pia muweke baadhi ya show zenu kwenye net watz tulioko nje twa wamiss kinyaaamaaaaaaaa

  18. Comment by Ally on September 7th, 2007 4:55 pm

    Yap jamaa nawakubali sana siku ya kwanza kwaona nolifurahi sana ile cjui mdebwedo tunabonyeza kizenji aaaaa bomba sana kazeni buti.

  19. Comment by Bagio on September 10th, 2007 1:10 am

    Nye! nawafaglia sana wote,kama ninaruhusiwa ntawatumia vichekesho vingi vya kutosha.
    WAKOLA

  20. Comment by sir ngobei on September 10th, 2007 11:44 am

    maze mpo juu ila wachukueni wale jamaa wa kipindi cha mizengwe hasa yule mlevi atawapa shavu kinyama

  21. Comment by salim on September 10th, 2007 12:31 pm

    can you helme

  22. Comment by salim on September 10th, 2007 12:33 pm

    naomba niangalie picha za comedy please

  23. Comment by sarah maswanya on September 13th, 2007 12:24 pm

    big up sana anaye legeza domo atoke fast

  24. Comment by Kinono on September 26th, 2007 2:11 pm

    washikaji mnatisha sana mko ju kinomaaaa mimi nawafagilia wote lakini Masanja/ Joti nahuyo anaye act kama waziri nawafagilia zaidi big up sana masanja laki Jot hilo pengo mshikaji duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

  25. Comment by Dadaz on October 4th, 2007 8:20 am

    eeeeeeeeeeee mi kwa kweli sina hata la kusema maana juzi walisali kwa jina la …. then wakaweka na muda lini wajibiwe maombi yao then kesho yake bara bara ikaanza kutengenezwa fagilia Ze Comedy wembe ule ule. kwanini hamuonyeshi na kwenye vituo vingine vya Television? wa vijijini hawaoni

  26. Comment by Mtawali on October 4th, 2007 1:24 pm

    I am writing from Nairobi. You guys are the bomb! Kwa kweli mmebobea katika fani hiyo. Kila ifikapo Alhamisi sibanduki kwenye runinga yangu. Nyie mmeiva kama tusemavyo hapa…endeleeeni kubonyeza kibara..mzee maasanja na hamijee…mwatisha..hasa mindoko yako hamijeee na jazaba yako masanja…
    Kudos! Keep it up guys!

  27. Comment by Jocca Castor on October 5th, 2007 11:32 am

    Nawafagilia sana members wote wa ze comedy. Ni burudani na fundisho tosha katika jamii, keep it up.

    Ila huyo jamaa anayelegeza midomo anawaaribia hasa anapokuwa anasoma taarifa ya habari. Napendekeza atolewe mapema kabla hajaaribu zaidi!

  28. Comment by kinono on October 15th, 2007 10:34 am

    Wewe Jocca huyu anaye legeza mdomo hujui kama hiyo nistari yake?siyo vyema kusema atolewe kwani hapo kila mmoja na na fasi yake

  29. Comment by jensi on October 17th, 2007 1:44 am

    tikiti

  30. Comment by hamisa on October 18th, 2007 7:52 pm

    washikaji nawafagilia sana big up kwa wote
    maana ifikapo saa moja jioni siku ya alhamis uwe karibu na luninga yako ili usipitwe na uhondo.

  31. Comment by musika on October 29th, 2007 7:57 am

    Hi ZeComedy guys,mwanzo mlifanya vizuri ila kila siku zinavyooenda mnazidi kupendwa kwa ajili ya mazoea coz TV stations hazina covarage za kutosha hivyo wengine wanatumia kipindi chenu kupotezea muda kusubiri vipindi vingine au kumalizia siku…anyway kuna matukio muhimu ya kijamii mnajaribu kuyakwepa siku hizi

  32. Comment by tony on November 2nd, 2007 8:50 am

    oyaa comede masanja mkanda mizwaji oh sorry mkandami mizaji naw apa bichwa ila mmeanza ku chemka au mmeonje shwa tonge la buzwagi acheni ku mchimba Dr.maslaa TUTA WA TAKURU MKIBAINIKA TUTAWACHUKIA poa masela kazinjema

  33. Comment by Doreen on December 28th, 2007 6:31 am

    dam!you guys rock.
    mnaniacha nikicheka kila siku nikiangalia kipindi chenu.mnaweza kweli kuchekesha watu.Ni kazi ngumu lakini huja tu bila wewe kujua kuwa unachekesha watu.Anyways holla back to ya gal.ME.Ningependa sana kuongea nanyi ila i don’t really know how to get you guys.I love the way you act.Napenda sana.
    BIG UP Y’ALL.Keep it up.
    Mad love
    Namba 1 fan

  34. Comment by calvin peter on January 29th, 2008 9:09 am

    wawawa!!!!!!!!!!!!!!!!!!
    kiwango chenu kipo juu ile mbaya
    hakuna atakaye wafikia hata kama akijilefusha vipi.
    naamini mnatuwakilisha wabongo wote kwa wageni wetu.
    sasa inaaminika wazi kwamba bongo vipaji vipi.

    e bwana ndiiiyoooooooooooooooooo.

  35. Comment by jamy on March 7th, 2008 4:07 am

    Ebwana eee ze comedy mnatisha nawafagilia kwa sana kazeni buti mazee big up.

  36. Comment by galasha on March 14th, 2008 6:07 am

    mko juu sana. endeleeni. Nawapa dole gumba.

  37. Comment by ndaijo on April 19th, 2008 8:55 am

    ze comedy mko poa,ila kama vipi huyo Mc Reagan aondoke kwani inakuwa kama analazimisha fani,kwani siyo mbunifu hata kidogo,kelele tu nyiingi

  38. Comment by joyce nyanda on May 9th, 2008 12:02 pm

    oya!!!!! mambo zenu mnaonaje mkini 2mia mail zenu n 2we 2na chat kisha ntawa2mia vichekesho kwa wingi plz
    naomba ombilangu lijibiwe zisipite cku 10 naomba mi2mia kwa mail yangu joyca_nyanda@yahoo.com au namba zenu za simu
    thanx all da best in ur act

  39. Comment by Mary Darson Singogo on December 1st, 2008 8:33 am

    Mambo Kaka zangu nawapa pongezi kubwa sana sana na Mungu awabariki kwa kipaji alicho wapa kila siku zinavyozidi kwenda muweze kubuni mambo mapya kazi ni kazi kuliko kuiba okey nawatakia maisha mema ila Muongeze Bidii katika kazi yenu ni nzuri sana msiogope kusema kitu kama kipo maana ufisadi umezidi tuukomeshe kwa njia hiyo nayo inasaidia kuwatanua mawazo viongozi wetu wanaposhituka ndo ujumbe unakuwa umeshawafikia na hakuna wa kulalamika kaza butiiiiiiii

  40. Comment by Mary Darson Singogo on December 1st, 2008 8:34 am

    mko full kinoma nawapa big up, ila naomba siku moja mrudie kibao cha znz star NAIAMINI pale mlifunika kinoma hakuna hata shoo moja iliyokamata pale

  41. Comment by Timothy Baraza on April 23rd, 2009 3:24 pm

    Vipi ze comedy? kwani wea are you nowadaiz? in Kenya we used to watch you through EATV but sikuizi hamko tena, tuwatafutie wapi? JOTI I MISS YOUR WALKING STYLE.

  42. Comment by Francis Kulwa on April 25th, 2009 7:03 am

    naitaji kujiunga na ze komedy but i dont know how. najiamin kuwa nina kipaji cha kutosha kujiunga nanyi. elimu yangu ni kidato cha nne na sasa nasomea masomo ya ualimu katika chuo cha ualimu ndala kilichopo mkoani tabora jina langu ni Francis Kulwa naishi mbezi luis dar es salaam. namba zangu za simu ni 0764 980293,.0785 829459

  43. Comment by kihogosa kiwanga on October 28th, 2009 2:32 pm

    mko juu sana lakini siku hizi munapoteza mda mwingi sana kuonyesha vitu ambavyo havitufanyi kuipenda comedy kama ilivyokiwa eatv,jitahidin sana mana siku hizi kikubwa kilichobaki ni timbwili la asha ngedele,hivyo nawaomba muwe wabunifu zaidi ili kulinda heshima ya zecomedy,kama tajiri wa kihaya anapoteza mda mwingi kwaajili ya kujifagilia,pia michano sioni umuhimu sana,

  44. Comment by tiner on January 26th, 2010 12:08 am

    hi vijana wakazi kazeni buti mfikie malengo nawapendeni sana nawafagilia kinoma hata j-j hapo Tz anajua hilo

  45. Comment by jaime on February 2nd, 2010 5:57 am

    nyie noumar yaani!!!!!!!!!!!kazeni buti!mie nawapenda wote….

  46. Comment by dojo boy jean on February 2nd, 2010 11:22 pm

    MUHAYA HAPENDI KUIGWA SAUTI YAKE,MNAWAPATIA KICHIZI,..HATA WAKASIRIKE NDIO WALIVYO

  47. Comment by Chila on December 26th, 2010 10:00 am

    Kweli mnajitahidi na mnahitaji pongez! Mimi napenda sana komedi na ninavichekesho ningependa kushea na nyie. Kwa mfano hiki ktk mtoto umleavyo kinafaa! Mama kamzoesha mwanae kushea nguo za ndani cku moja mwanae katafuta ya kuvaa ya kwake kakosa akachukua ya mama yake mpaka sebleni mbele ya wagen akamwambia “mama nataka kuvaa hii yako lakini jana niliona kavaa baba kwani na yeye tunashea naye?”

  48. Comment by debora munuo on June 7th, 2011 10:33 am

    lv u much

  49. Comment by Josephine on June 19th, 2011 5:34 am

    mko juu…!

Leave a Reply