TOP THREE

Pichani ni washindi watatu wa shindano la hivi majuzi la Miss Tanzania 2007 .Baadhi yenu mmeomba kuwaona warembo hao katika picha za karibu zaidi kama hizi. Queen David alishika nafasi ya tatu, Lilian Abel ya pili, na Richa Adhia kuibuka Miss Tanzania 2007. Mahojiano nasi bado aliposhinda taji la mrembo wa Kinondoni bado yanapatikana hapa.

 

Queen David

 

Lilian Abel

 

 

 

Richa Adhia

Picha zote kwa hisani ya Michuzi.

Page 1 of 3 | Next page