
Pichani ni wasanii wa muziki wa kizazi kipya, Banana Zorro na Lady Jaydee. Wasanii hawa ni miongoni mwa wasanii wachache wa muziki wa kizazi kipya ambao wanamiliki bendi zao na hivyo kutoa burudani “live” katika maonyesho yao. Banana Zorro anamiliki B Band wakati Lady Jaydee anamiliki Machozi Band.
Mtizame Banana Zorro katika wimbo Pressure akishirikiana na Hafsa.
You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video
Mtizame Lady Jaydee katika wimbo Siku Hazigandi
You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video
Page 1 of 3 | Next page