Wakili maarufu na mbunge wa Musoma Vijijini (CCM) Mheshimiwa Nimrod Elirehema Mkono.

Feedback / Comments

8 Responses to “NIMROD ELIREHEMA MKONO”

  1. Comment by mesa on October 3rd, 2007 1:57 pm

    sura mbaya kama remmy

  2. Comment by Dinah on October 3rd, 2007 5:42 pm

    Mimi hapa sina hata la kusema kwa vile simjui huyu bwana.

    Mtafuteni Mchezaji mpira wa yanga wa zamani Othman China, Golikipa fulani hivi wa Simba/yanga nilipokuwa darasa la 2-3 nakumbuka mchezo wa kuruka kamba huku tukiimba kama hivi ” usinichafue sitaki, sabuni yenyewe ya shida…….(nimesahau) wangu mwenyewe Zamoyoni Mogelah”

    Yeah alikuwa akiitwa Mogelah.

  3. Comment by Moses Jakanyangoe on October 4th, 2007 2:27 am

    Hiyo ngumi alikuwa anataka kumpiga nani jamani?…Anaonekana ni mkoloni sijui walio chini yake wanafanya kazi naye vipi!

  4. Comment by TanzanianDream on October 5th, 2007 9:41 am

    Hawa wazee hata wawe wamesoma vipi lkn bado wanajisahaulisha vitu muhimu wakihojiwa matokeo yake wanaongea vitu visivyoeleweka.

  5. Comment by Bob Sankofa on October 5th, 2007 11:57 am

    “Tukishindwa hoja, tunatumia maguvu, dola tunayo sisi!”

  6. Comment by besta oliver on October 10th, 2007 9:46 am

    Yeah ma men, am all giving you a hand of support for all you tirelesly work you guys have being doing. Bravo!!! Nnacho shauri jitaidini kuwa wabunifu na daima lenga maendeleo nanyi mpanuke kama yahoo au google. It’s possible faida mnayopata itumieni kupanua biashara na sio kujenga majumba ya kifahari. Kujenga mtajenga ila sio muda huu wa kujipanua na kijitangaza kibiashara.
    Big up wazee. Msisahau kuipaisha lugha yetu ya kiswahili plus wasanii wetu wote. aisee msisahau taifa stars nyie msimaind i wanavyokandamizwa maind uzalendo au vip. I WISH U ALL THE BEST.

  7. Comment by NDUJI504 on October 11th, 2007 1:51 am

    Jamani tuwe na heshima kwa mababu zetu. Mwenzenu kesha ishi tangu enzi za ukoloni ameona mengi na amekula chumvi kuliko sisi vijana. He has got a story to tell lets respect that!!

    RESPECT FOR THE ELDERS!!!

  8. Comment by Dallasfinesty on October 26th, 2007 3:35 am

    Tajiri mzima mikono imepauka hajui hata Lotion ni nini. Matajiri wa bongo bwana.

Leave a Reply