
Pichani ni DJ Fetty wa Clouds FM, mmojawapo wa DJs maarufu na wanaotamba nchini Tanzania.
Feedback / Comments
157 Responses to “DJ FETTY”
Leave a Reply
sending...157
Comments
→ October 7, 2007 → Tags: DJs, Muziki, Watangazaji →

Pichani ni DJ Fetty wa Clouds FM, mmojawapo wa DJs maarufu na wanaotamba nchini Tanzania.
Feedback / Comments
157 Responses to “DJ FETTY”
Leave a Reply
nakukubali mtu wangu upo juu sana kwa sasa. keep it up baby.
huyu DJ ni mwanamke au mwanaume.
mhhh kweli hajulikani…mwanamke au mwanaume maana hayo mavazi mhhh!!!!!
hebu tuwekeeni u tube tuone mavitu yake kama kweli wamo…
Mzuri huyu mtoto kwenye machine ananiachaga hoi kwa kicheko chake tuu
Dada kaza butu kwani uko juu hongera sana
Dj Fatty umetulia kinomaaaaa hakuna Dj mwingine wa kike wa kukushusha aminiaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Moto huohuo wangu hakuna kupunguza spidi
BC kazi nzuri mwendo huohuo
Hongera kwa kuwa DJ wa kike, sasa mkono unauweka (unaweza kupigana kwakujitetea) ikiwa uko kazini kwenye pub au clubs ghafla ikatokea fujo jamaa wanataka kukufanyia ubaya if u know what I mean.
Kila la kheri.
Nafurahi harakati za mabinti katika kupambana mfume Dume.
Sasa nataka na idadi yamakonda iongezeke ya mabinti,upo Dinah hapo
Ebana uliesema ndo dj bora wa kike umemsahau Ray C?Au unaongelea Dj mtangazaji?
Ndaki mimi nipo dawati la mbele kabisa hapo! Tatizo mwanamke ukiwa “mgumu” (unafanya kazi za kiume) watu wanahofia kudharauliwa au kuitwa Lesbo (well wengi ndio hivyo)!
Mimi napenda kuona wanawake tunabaki na haiba ya UANAMKE hata kama shughuli zetu ni za kiume, pitisha poda usoni, tengeneza nywele zako kikie na vaa kama mwanamke ili kuwakilisha vema.
Kuwa DJ, Konda, Fundi magari/mashine, udakitari, mjenzi n.k huitaji kubadili jinsia yako wala kujisahau kimuonekano(Agalia PA wa kiume)
Kila la kheri kwa wanawake wote wanaofanya kazi ambazo awali zilijulikana kama za wanaume tu……ila hey beba kago ikiwa huna mpango wa kuzaa hapo baadae.
Najaribu kusema chagua kazi ambayo haitahatarisha afya yako.
kuvaa kike….ni salama kupiga suruali kuliko siketi gauni ila juu piga blauzi badala ya shati na koti la bf. Pia kumbuka kuvaa hereni za kike.
Nakukubali mtu wangu, DJ Fe’eee.
Umekuja kuwashuka, vurugu na kisauti chacho ni noma.
Big up mtu wangu
shez hot n shit! wabongo stop hatin
dj fetty,much respect sister,
keep it up baby.big up all the way from(washington dc)
huyu mtoto ananikosha sema anamakelele sana akiwa studio. aahhhh
upo juu wangu nakufeel kichizi yani !!!
big up kwa sana dj fetty>>>> kaza msuli namna hiyo
liven from england
huyu Dj anapiga safi sana but kusema ukweli mimi bado sijawahi kuona Dj Mkali wa kike kutoka bongo kama Ray C kama ulikuwa unaenda disco enzi hizo utanipata nasema nini maana Ray C alikuwa anacheza na vinyls sio cds and to spin them vinyls is not a joke inahtaji mkono na ni wachache sana wanajua kufanya hivyo wapo madj wengi sana siku hizi wenye majina kibao ila ukiwapa turntable hawafurukuti.
HAYA MWAYA CNA LA KUSEMA MANA DJ KWA FEHE HATARI
mambo vp?mwanangu uko juu zaidi ya adui yako bg up ok enjoy,,,,see yah
mambo vp?mwanangu uko juu zaidi ya adui yako bg up ok enjoy,,,,see yah
mi nakufa na milazo yako si mchezo mbona ckuizi haulazii kama kawa???????????????/
mchovu eee dj co fe eh ni noma namkubali ile mbaya aendelee na mzuka uouo
Aah mchizi ananiachaga hoi sana na ile kicheko chake. Yaani nakufagilia sana. Ebwanaae mchizi upo juu sana!
eiyaaaa m2 mzima upo hot ka faya…. ucpifime they cant touch levo zako fe”e is mkazufuzu….jeayaah!
Daah!!!! Dinah umeu kinya,ila haina noma ukweli ndo huo ila mi nampa shavu Dj Fe’ee akiwa mtamboni aaa spika za radio yangu zinataabika kwa sanaa. Fe’ee your my favourate dj, yeah thats me.
Niaje???ndo salam ya Geniva.
fet unasifa zote,kwani u dj aliumbiwa mwanaume mwenyewe?kaza buti mam binafsi na kukubali sana tu kamua usiwasikilize wabongo kwani huwa hatupendi maendeleo ya mtu,kwngu mie nafurahia sana kazi yako imetulia,Sautipia ndo humliza mamambo yote haiwezekana ukafanana namwingine kwani kila mtu anakipaji chake,chko kimezidi ma dj wa kike wote.
Say hiiiiiii 2 Adamu kwani tulikuwa pamoja on a street tell him from Omarrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr,ataelewa haraka zaidi.
me nakukubali i ain’t no comment kutoka kitaa cha magomeni mikumi
levo zako sister sio za bongo nje kabisa. bongo ulikuja kimkosi, we unatakiwa kuwa na akina kanye,jigga mnapiga cha arachuga kwa kusonga. kaza buti safari bado……..
hivi kuna dj bofongo atasimama na wewe!? hata mully chali. mwaka huu vumbi mpaka wajenge rami
yap nakukubali sana mtu wangu upo level mbaya wape mashavu wana kwa sana .erick from TIA mbeya campus
hello dj fetty mzufuka mpango mzima unaendaje hapo bongo nakupata kupitia internet coz mm nishabiki wako mubwa ntngu pande za hapo bongo endelea kukamua dj kibibi mpe halla m2 mzima tweezy na adam mchovu wambie xxl na bongo freva zinabamba kinoma hapa south afreca plz fetty usikose kunilusha hewani na mpa hi mtt wng apronia by muba mzazi.
dada upo mzuka mbaya..i like the new blog look kep on putting new things..pia like the show and as party of nyuki dj vipi mmekuwa kimya sana tumewamiss do somthng
Fetty nakukubali kinoma endeleza makamuzi mtu wangu. pamoko
Da Dj fetty kwakweli yupo juu Hata mimi Mke wangu sasa hivi anajufua pande za Triple A
kua dj bora mwanamke Arusha
Fetty uko juuuuu zaidi
nieje yaliyomo yamo? ebwana nyuki inakuwaje au mzinga umetoboka hakuna tena asali na kama imekufa tujue…na wewe mbona netball ukucheza..nssf noma kweli hawana dili
the way u dress i dont like it by the way i need ure email adress
e bwana ee duuh we dj fetty ni noma sina mengi ya kuzungumza coz mengi yameshaelezwa nadhani na wewe unajiujua kama ni mkali mi n inachopenda sana kutoka kwako ni sauti ya kicheko chako big up mtu wangu tchaooo
nakukubali sana we mwanamke keep it up auvip uwatoe kimasomaso wanawake wenzio wanopenda kukaa tu wakizan kila kazi ni ya wnaume tu?
KOMAA DADA UPO JUU ILE KINOMA WANGU
Dah!kiu kweli kabaisa mi nakufill ile mbaya mwanzo kati afu malizia mpaka mwisho inshort nikwamba nakukubali mama unatisha yanii ucpime ebwana endeleza mikandamizo kama kawa ingekuwa nikijijini ningekuambia endeleza kuchezea chapati na frampeni ila kidogo ingekuwa nikufuru ila ndo kipaji chako kilivyo gundulika ila kwasasa ni mashine na milio ya fee fe feee feee feeeeeeeeeeeeeee.sana tu.
Aha! Nashindwa kusema maana ni hatari mwanadavada ka’Fetty kufanya mambo makubwa ka’haya….Ehe kweli nakukubali mama cna ubishi juu yako ukiwa studio hata nachelewa kipindi coni ajabu maana mambo yako cyo madogo! pooltable ulinifunga ulipokuja fiester last time Arusha ila nakusubiri mwaka huu na me nikufunge….i’m from uhasibu Arusha…for sure you r a diva!
girl upo poa knoma
hey mbna nimekutumia email kupitia fatma@cloudsfm.com but hujajibu until 2day,lakn upo poaaa,nijibu basi kupitia email yangu au soyo
mambo vp m2 wangu pole na kazi sama nifikishie kwa b12 msg yangu hii,hv ili shindano la cheza tanzania wanafuta waigizaji ama wacheza muzk? maana coni ata wanachofanya washiliki pia wale majaji wawili uyo farid kubanda na uyo bnit cdhani kama wanajua maana ya kuvunja ama kcheza afadhali ya yule jamaa anauzoefu ictoshe anaonekana alishawai kuwa mcheza muzik inackitsha kuona m2 ajui kucheza anafagiliwa kucheza co kujnyoga kama wafanyavyo ao watt kucheza lazma ufate beat au mashaili ucheze na k1 wapo j2 nimeboleka mbaya eti wa2 badala ya ku2onesha ufundi wanaleta maigizo nini sasa ww b12 acha ubwege kaa chani na hao waandahaji badilisheni mfumo alf ebu waleteni washindi wenu wa dar eti a.k.a new york ct kama ni hvyo bac dom washngton dc waje wafundwe kufresbo kudance kuvunja kunyanganyua nakdhalika fa2ma ebu fikisha hii kwa b12 pia ning’ependa uisome kwenye dc.com bibie. poa m2 wangu najua ma2moro kwenye xxl nitackia ujumbe wangu ukimfikishia b12 na falid kubana na kale kaduu cna hakika kama kamewai kucheza ata show kwenye kupaimala nini haruc ataweza
Unatisha mwanadashori upo juu kama Obama na USA unavyocheka tu!!! me hoiiii
unakamata kuiubunifu pia una mvuto,lakini tangu uugue kama vile sauti yako imepoza,kama vp ongeza misosi mtoto mzuri.
Hongera mrembo mwenye asili ya kigumu.Komaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
hasee we ndie dj bora wa kike tanzania,
mambo vp dj kwefe e mzufuka? mimi nipo sumbawanga mbona huku sisi hatukupati? tunaomba mtuangalie jamani upo juu sana mtu wangu
KIUKWELI FENHE! UKO JUU MI NAFEEL SANA POZI ZAKO ZA KI MEN KAMA VIPI CKU MOJA MOJA UWE UNAPIGA NA KYUTI HIVIIIIIIIIIIIIIIII
yaan ktk k2 nnchotaman maishan mwangu iz 2 meet with u na kupga stor 2,3 coz cjapata kuona dj alafu ni bonge la prezenta mwanamke alafu ukafunka kulko mwanaume!!! plz give i dat chance 2 meet wit u!!!!!!! uko juuu sanaaaaa!!!!!!!!!!!! braaaaaaahhh!!!!!
mmwana uko juu vibaya big up sana
Hello Fe’ee u are hooot! swali la kizushi who inspired u 2become a very hot Dj in TZ?
UPO JUU ZAIDI YA ZAIN! HOLLA
oooyo wazee ni vvvppp leonard hapa natafuta kimwali my no iz 0719918922 call dont bip any tym dear.
yeee men fetty luv u.
E bana fetty kwenye mashindano ya free style huyu jamaa anatisha STICK YIC
From chuga moko.Aminia Fetty we ni kwere.
Hey dj fetty upo juu kwa hari za kispoti
ilembaya napenda website yenu inavyo toa habari za wasanii wa kibongo
Yap FETTY!
Unapo sifiwa unafanya vizuri….
waoneshe unaweza zaidi….Kamua dada yng
kipaji unacho……………..
ALL THE BEST..
oyoooooooooooooooooooooooo!!!!! j cingo in dem buldinggggggg!!!!! challlaaaa yoyote who watzzz to be a friend to bongo dude in texas jst hallla fogget about dj… fetty bwaaana nani kasema star… ahhhh…. star boongo>>>>>>>>>>>ma staaa wote wako hollywood sio tollywood haaaaahuuhhhaaaa………
Hey hw u dng mwadafada i rly d appreciate wat ua dng kp t up hp 2 hia t 4rm u soon ma da holla
Dude dis chck z hot & amaizing…
u know what my dia….u a gud..and deserve the best..
u are big level
mzazi na kupongeza kwa kuanzisha kitu muhimu kwa ajili Waanga wa maffuriko kilosa BIG UP by CHRISTOPHER FROM MBEYA
upoo juu kwa mpango wenu wakuwachangisha watanzania kwajili ya watu wa kilosa
U know wat Fe’ u ar gud bcoz u hav confidence, success in lyf does not cam so eazly you hav to fight the way u du, i real proud of u, u actualy gud model to Tz ladies
the brilliant dj wa kike ever hapened in tz n east africa …we ni presenter ambaye nisipokusikiliza najisikia kuumwa…am a very big fan of u dada
ur gud dj in town so keep goin duin more wonderful
ur gud dj in town
Yebo dj Fetty uko juu ka obama sansan unpokuwa mjengoni au siyo bana
ka vp mzuxxxxx bana toka pande za ch/keni
i luv u, ur very cute…
i lv music lk i lv ur lovely event whn u host
you ar so high sis!!I fil all ya showz keep it up!!superb…
SIS UPO JUU KA KIFUNIKO CHA SODA DADA ANGU KWAN MAMBO YAKO SUPA.
ENDELEZA HIZOHIZO WASIJE KUKUFIKIA SIS*.
FROM PANDE ZA SINGACHIN T. COLLEGE,
MOSHI (KLM)
Niadj mwana dafada hope uko pwaa.z nat a secet mwana dafad kwa bongo hapa bongo thrz no 1 lyk ya. Keeeeeeeeep t uuuuuuuuup ,ma cousin. Hollaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
I wish u all the best. Ur a one and only in this planet of the DJ’s. Keep it up.
Fetty upo juu wangu,hao wanaotaka kujua ni wakike au wa kiume waambie wajiongeze kuna maswali ya kuuliza na kufikiri,pamoja nakufagilia mbaya
ongeza bidii sister unatisha achana na wanaokubania kukupa big up hao wanafiki tu. nakutakia kazi njema na mafanikio mengi
mwanadafada uko juu ile mbaya nimekusoma kwenye nyimbo ya wana jana kwenye xxl.
Keep it up sis.
Fetty, I have nothing 2 say but just tell u that keep it up lady.
We ni first lady ktk mashine……big up mwana dada….
oi fetty kandamiz speed ile ile ila kweny kona ufunge mkanda Shaaaaaaaah!!!!
yeyoooo!!!!najua imekaa njema kabisa fetty,napenda unavyo miliki mtambo.namimi nakaza buti maana najua naweza nipo pande za songea huku.keep it up.
am happy 2 see u evry day
oi……oi… CLOUDS TV inatisha sana bg up kwa wanangu wote pande Tabata na Musoma
Eyoh whts up Dj TIFFY{fATMAH
mbaratata kuna utata Freshiiii tu dah EBANA LEO HEMBU GONGESHA KITU CHA Gettor Gosper toka kwa 2pac.ntafurahi sana upo poa kaza buti wapinzani maji ya ugoko
e bwana m2 wangu nakukubali,show yako yako poteza poteza. u rock girl, keep it up
Ebwana mimi na kukubali dada yangu tupo pamoja
JIPANGUSEE raraaaaaaaaaa Dada yangu fetty jipe moyo mkuu kaza buti kwani show zako ni za ukweli ile mbaya tupo pamoja Dada yangu
yoooooooooooh fetttttttttttty
u so gud beyb js make it hard………..
For sure u’r hot mum big up,much respect
Big upooooooooo?mama lake unajua nini swaga zako tu uwa nalegea kabisa,mapango mzima we ni mkali at tozi salama afiki level izo.
hallo;ilike ‘u’ enjoy ‘ur’time:
keep up much gal unakimbiza mbaya
Ooh ma gush.! I thnk dis gal has somethin special,keep it up fety-mhmwaaaa
Hey Dj Fetty to honesty I real yo swagga!keep it up!ONE LUV.
Hey Dj Fetty to honesty I real like yo’ swagga!keep it up!ONE LUV.
unatisha
Dah!!!!!!!!!!!!!! we mkali dada sema unatakiwa kuwa mbunifu ili uishangaze sio Tanzania tu bali dunia kwa ujumla kwamba mwanamke mwanaalakati kwa kuinua vipaji vilivyopo mikoani na aswa mawilayani kama kule MORO kuna sehemu inaitwa ifakara kuna kundi moja la vijana kazaa madogo wanafanya HIP HOP ya kweli sema akuna surport kwao so fanyeni muwatembee fijana mawilayani na si kuishia mikoani tu. TTTTTTTTTTCHOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!!
ONE LOVE MY SISTER…….
ZIDI KUWAPA MASHAVU WANA PANDE ZOTE.
Nothing to say but ur the best dj in women alover tanzania at same time working on the best radio station in Tanzania.keep up
AYA-YA-YA-YA!!!!!! THIS GAL IS NOMA, YAAANI WE BALLAAAA FETTY. DAH!!!!!!1
MUCH LUV TO YOU DJ FE-EH!!!!
nothin i can say abput your the best dj but not rather than mamen mchovomvu but i adore u much respect its me isihaka fro cinza star
ooooooh aise unatisha kama niaje push up to the limit baby
mi nakukubali kupitiliza,olweiz lvng u
high,up,top sijui niseme nini upo…………..ile mbaya.By Ability frm FTI(R-CHUGGER)
mwana nakukukubaliiiiiii ur hot baby mpe hai mchomvu bila kumshau shemeji d banji it mee keenny 4rm tng or moshi town am young dirty money
you are cute baby! kazi zako nazikubali. shows zako zinabamba kichizi. dj fetty, make it hard baby!
nakupa HI KUBWA HASUBUHI HIIIIIIIIII
me nakukubali sana sis fee wa ukwel kinoma much respect
l lyk u ma dear gal big up 2u;no 1 lyk u gal.natamani kuwa kama ww plz l need u contant ma are 0718133710 plz plz plz.l need ur connenation.1 love
dj fety your one among the girls i respect and congraturlates for each and everything you have been doing to entertain and educating as well[the day you talked about how to use your porch] love u girl,its me starford aka llcool j wa bongo from moshi university
hello dj fety habari likizo mbona kimya
hey fat!u realy nice gul but dont forget you r muslim and the reason of being created by god.xx
fetty ukiwa mtaani usiwe unaringa sana ulinichunia ulipokuwa mwanza ukumbi wa villa pak
kamua fetty upo juu wangu, big-up 2 yu!!!
wewe ni mkali na kupa shavu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
nipo nairobi napiga buku lakin nakupata kinoma
fettt we ni noma mfano wa kuigwa na madem wote, katika ishu ya ”women empowerment”wewe haupo kabisa halaf wewe mbona n mzur sana kwann huwa unajiweka kidumedume?napenda nikuone ukiwa umevaa kisister duu,ur no1 fan 4rm makumira university a,town,ukiskia paaaaaaaaaaaaaa
fetty nitafutie machalii toka dsm wanaotaka kuandikiwa mashairi ya hiphop,mi ni noma ka sodoma,nina effectz kama hiroshima,mcz akili ka za mademu,wameweka extrem halaf wanabpu,raaaaaaaaaa.my contact iz 0712425622.minaki boyz 2003-2006 mpoooooooooooooooo??
niaje dj `fettt,upo juu kama roketi,presenterz umewakunja ka chapati umewafunika ka sakafu na kapeti, unalipua ka baruti,hawana jipya wanabaki kupaste,na utaendelea ku exist,kamwe huwezi kulost,piga mzigo hata night,ili uendelee kubaki kwenye chati,we ni strong woman japo huvai sket…………..
Doooo!!we mkale mtoto shy
happy new year dj fetty……
kip it joh usilewe sifa kaza buti mia mia laaaaaaaaaa….
Niaje fetty hiyo picha yako mbona unaonekana umekonda niaje jamaa ua ulikuwa mdogo sasa umekua!
baby girl u a great
we lov ur perfomance mdada.
we ni dj wa ukwel. naposikiliza kipindi najifeel like AM THE TOP OV THE WOLRD.yereeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
OYA MDAFADA UMEOLEWA ? KAMA VIPI MI NIMEKUZIMIA KAMAVIPI NI CHEKI KWENYE 0766458935 MPE HI B12
hakuna na hapotoke kama wewe yani dah!!!!!!!!!!!!
we bonge duuuuuuuu then unjua nini unafanya. dah big up dada.
we ni mnomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
fetty eeeeeeeeeeeh we noma mtu wangu, kama vp tupe zile za ukweeeeeeeeeeh!
big up atown city mak8ini and paaaaaaaaaaaaaa
nakufagilia kazi yako ila daaah badilika bana me unavojiweka ka dume wakati we ni shistito cjapenda
Dada nakukubali upo juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! komaaa mule mule
Dada piga kazi, aminia!
Gud job mwanadafada. Rharraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ebwana FETTY unakimbiza mbayaaaaa,big uppppp
kaza butiiiiiiiiii
from DEEP DOWN
kweli we ni DJ mzuri lakini tatizo hupigi nyimbo za injli,,kama hauna nikuletee.
Eban unatisha hasa kwny hot 3 Ya 3.keep it up mam
kuhusu kuwa dj bora wa kike, mh i doubt coz i have never heard of ur maujanja kwenye turntable, and is jus a pc of advise tht u hv 2 bhave like a lady meeen, au do u think ukjiweka tom boy ndo inalpa zaid, u don luk like a boy at all, so jus try 2 b u and not sm 1 else,ucwaige cc p,salama j etc,coz wao @least wanafanania,but u, i don think so,tafakari na chkua hatua.
hallo mambo vipi fetty najua haina majoto ni mimi hapa costantine kutoka musoma tanzania kutokea nyasho naomba wimbo wa berry9 nilipe nisepe nasalimia rafiki zangu wa kitaa wa kwanza ni merck,pius,issa,benas na wengine wote nasema haina majoto mwanangu msalimie baba john.
naitwa costantine nasoma shule ya sekondari makoko day form three nasalimia machizi wangu wakiwa nyasho wa kwanza ni merck,pius,issa,na fiki au benas press play nilipe nisepe kutoka kwa berry9.
hi sicy. am jack.niko arusha, naxul st jude and am talented in utangazaji and manymore am 16yrs old. plzneed your help or ideas am in facebook also just check jackie faddy mbwambo.thanx
katika ma dj bongo 4 sure mm nnakukubari mbaya m2 wangu kama vip poa coz nilipita kwa facebook
big up girl i like what you’re doing in the studio.let all haters get fucked off!bst wishes…!!
Haaii fety unatisha jombaa we ni noma an i like da way uaa love uuu baby braaaaaaa!
Hiiii…? Ni maoni yule diva kipindi kizuri ila abadilike amsikilize misana kiukweli diva anauza sauti kipindi akina mvuto peke
Yake by.
kupenda kazi ya m2 tena mwenye mafanikio kama yako ni rahisi sana lakini si rahisi kwa m2 kama huyo kufanya kama wewe hivyo acha wwe uendelee kua wwe and still b hi just like your
Hey i apriciate u, from kutangaza , ujasiri na hata udj. U rock, ur the best! Respect sweetie!!! Kuruthumu rock ct!!!!!!!
Naitwa costantine paschal kutoka pande za musoma mara tanzania haisee upo juu mtu wangu najua haina majotloooooo kabisa.
FEHE AR U STILL DJ TILL NOW? COZ CJAKUCKIA MIXX ZAKO KITAMBO DADA, TELL ME………
oi..inakuaaaje we dj kwefere….ebwaa me nakuku bali sana kwenye machine…pia kwenye game ndio kwere kabaisa…every nawaza day 1 nije fanya ngoma na ww…ww mkaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mi nko pande za wagum R CHUGA(tengeru)tunafanya gemu mbaya dadaa…matrak yako yakutosha…kundi le2 linaitwa PINDAZ ARMY….mail ye2 ni merufuture@yahoo.com
nakukubali dj mwenzangu
uko juu Djfetty
mambo vip uko bomba ilembaya nataman hata kunaniiiiiiiiiiiiiiii
vipi mreshe ukojuu kama kishada iam from kenya nimekuwa nikikusikiliza live from clouse fm since i was young big up mwanafada.
NAKUKUBARI SANA MY DADA DJ FETY…MUNGU AKUBARIKI EWE NA CLOUDS WOTE