<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: &#8220;UHUNI NI TABIA YA MTU&#8221;-AISHA MADINDA.</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sat, 11 Feb 2012 15:21:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: faoma medi</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/comment-page-1/#comment-167702</link>
		<dc:creator>faoma medi</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 09 Sep 2011 08:38:45 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/#comment-167702</guid>
		<description>asha  mimi namkuombea  mugu namugu atakujalia yayo kuja yamekuja na yameshapita kilamtu  duniani  anamakosayake unajuwa wapiunakweda  wapi unatoka sawa dada mimimmweyewe niko na makosa  duniya sasa hakunamtu anategemea  kusaidia mtu nikutaka kucheka watu email yagu hiya  unahitajimsada nikotayari niko taya  sitaki kitu chachote kwako rudikwamugu atakujalia dada asha</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>asha  mimi namkuombea  mugu namugu atakujalia yayo kuja yamekuja na yameshapita kilamtu  duniani  anamakosayake unajuwa wapiunakweda  wapi unatoka sawa dada mimimmweyewe niko na makosa  duniya sasa hakunamtu anategemea  kusaidia mtu nikutaka kucheka watu email yagu hiya  unahitajimsada nikotayari niko taya  sitaki kitu chachote kwako rudikwamugu atakujalia dada asha</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: ashmak amir</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/comment-page-1/#comment-167281</link>
		<dc:creator>ashmak amir</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 28 Aug 2011 23:41:55 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/#comment-167281</guid>
		<description>nimekubali nicheki mi</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>nimekubali nicheki mi</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: marambi</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/comment-page-1/#comment-119432</link>
		<dc:creator>marambi</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 08 Jan 2011 17:48:16 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/#comment-119432</guid>
		<description>hivi wewe nahisi haupo fiti kiakili hivi watoto wako watakufikiriaje mi naomba uokoke mungu atakusamehe</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>hivi wewe nahisi haupo fiti kiakili hivi watoto wako watakufikiriaje mi naomba uokoke mungu atakusamehe</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: lema</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/comment-page-1/#comment-92199</link>
		<dc:creator>lema</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 24 Oct 2010 05:55:17 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/#comment-92199</guid>
		<description>tuko pamoja</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>tuko pamoja</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: madiya</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/comment-page-1/#comment-78386</link>
		<dc:creator>madiya</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 05 Sep 2010 09:45:54 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/#comment-78386</guid>
		<description>lakini aisha lisemwalo lipo hasa ili swala la madawa ya kulevya inawezekana unatumia kwani wasanii wa bongo ndo kilishakuwa chakula wengine mpaka wamechakaa na kuporomoka kisanii sababu ni madawa lakini ukiwauliza wanakataa mfano R.M aka B.STN napenda sana kazi zake lakini alishaharibikiwa na madawa ukimuuliza anagoma</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>lakini aisha lisemwalo lipo hasa ili swala la madawa ya kulevya inawezekana unatumia kwani wasanii wa bongo ndo kilishakuwa chakula wengine mpaka wamechakaa na kuporomoka kisanii sababu ni madawa lakini ukiwauliza wanakataa mfano R.M aka B.STN napenda sana kazi zake lakini alishaharibikiwa na madawa ukimuuliza anagoma</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: leyla kipingu</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/comment-page-1/#comment-62133</link>
		<dc:creator>leyla kipingu</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 24 Jun 2010 07:51:16 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/#comment-62133</guid>
		<description>Mambo uko wapi?? nimekuniss sana mtu wng ktk wasichana wanaocheza vizuri wewe no wine naomba nijue ulipo big up AISHAA...........</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mambo uko wapi?? nimekuniss sana mtu wng ktk wasichana wanaocheza vizuri wewe no wine naomba nijue ulipo big up AISHAA&#8230;&#8230;&#8230;..</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: yang jimmy</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/comment-page-1/#comment-48454</link>
		<dc:creator>yang jimmy</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 25 Apr 2010 08:25:21 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/#comment-48454</guid>
		<description>kwa kweli aisha ni mzuri sana  unachangia umri wake ni mdogo sana</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>kwa kweli aisha ni mzuri sana  unachangia umri wake ni mdogo sana</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: E.R.K</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/comment-page-1/#comment-41200</link>
		<dc:creator>E.R.K</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 18 Mar 2010 13:28:19 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/#comment-41200</guid>
		<description>sio kosa lako  
wanasema yana mwisho, za mwizi arobaini
mbio za sakafuni huishia ukingoni
nihayo tuu dada yangu utajuta baadae sana 
wakati is too late</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>sio kosa lako<br />
wanasema yana mwisho, za mwizi arobaini<br />
mbio za sakafuni huishia ukingoni<br />
nihayo tuu dada yangu utajuta baadae sana<br />
wakati is too late</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: sang samo</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/comment-page-1/#comment-36869</link>
		<dc:creator>sang samo</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 12 Feb 2010 14:05:45 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/#comment-36869</guid>
		<description>sio kosa lake na kila mtu anakazi na utafutaji wake</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>sio kosa lake na kila mtu anakazi na utafutaji wake</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: edwini</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/comment-page-1/#comment-27563</link>
		<dc:creator>edwini</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 25 Sep 2009 05:08:24 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/10/16/uhuni-ni-tabia-ya-mtu-aisha-madinda/#comment-27563</guid>
		<description>bado swali langu ni kwa hao watoto,je,ni wa mchumba wake huyo wa sasa kwa maana walizaa wakati wakiwa wamekubaliana kuja kuishi pamoja au alishazaa na mwanaume mwingine.
ila kwa maswala ya muziki,ushauli wangu nikwamba akaze buti na mafanikio atayapata maana kila kazi ni kazi ilimradi inakuingizia kipato.Na ajaribu kuwa na heshima kwa mume wake maana atambue ya kwamba umahaarufu ni pale tu unapokuwa unaonekana na siku ukifulia maneno utaaanza kusikia ya kashfa.kikubwa heshima kwa mume wake ni muhimu.mfano muumini alivuma na sasa haonekani tena na maneno mengi juu yake yamekuwa yakisemwa na si kwa uzuri bali kwa kashfa.
   ahsante.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>bado swali langu ni kwa hao watoto,je,ni wa mchumba wake huyo wa sasa kwa maana walizaa wakati wakiwa wamekubaliana kuja kuishi pamoja au alishazaa na mwanaume mwingine.<br />
ila kwa maswala ya muziki,ushauli wangu nikwamba akaze buti na mafanikio atayapata maana kila kazi ni kazi ilimradi inakuingizia kipato.Na ajaribu kuwa na heshima kwa mume wake maana atambue ya kwamba umahaarufu ni pale tu unapokuwa unaonekana na siku ukifulia maneno utaaanza kusikia ya kashfa.kikubwa heshima kwa mume wake ni muhimu.mfano muumini alivuma na sasa haonekani tena na maneno mengi juu yake yamekuwa yakisemwa na si kwa uzuri bali kwa kashfa.<br />
   ahsante.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-12 01:12:01 -->
