<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: FAKE PASTORS</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2007/10/28/fake-pastors/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/28/fake-pastors/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Fri, 10 Feb 2012 07:26:05 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: EDWIN NDAKI</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/10/28/fake-pastors/comment-page-1/#comment-2363</link>
		<dc:creator>EDWIN NDAKI</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 29 Oct 2007 15:25:27 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/10/28/fake-pastors/#comment-2363</guid>
		<description>Kwanza pongezi kwa kufanikisha kutoa filamu hiyo ya &quot;Fake Pastor&quot;.

Mi nimpenzi sana wa filamuu za nyumbani tangu miaka hiyoo.Lakini kwa leo nina MTAZAMO wangu BINAFSI.

JINA LA FILAMU.
Binafsi sijavutiwa na kitendo cha jina la filamu kuandikwa katika lugha ya malki&quot;kizungu&quot; bila kutupatia tafsiri katika lugha yetu ya kiswahili.Hii itaathiri ata mauzo wasipokuwa makini.Maana baazi yetu sisi chinga wauza kanda kumwambie bibi katoka kule Gezaulole au kimbiji,kishimundu au Namtumbo **Feki pasta** haki ujumbe utakuwa ngumu sana kufika.ILA KAMA ILITENGENEZWA KWA AJILI YA DARAJA FULANI LA WATU KWENYE JAMII BASI HAPO HAKUNA TATIZO ENDELEENI KUTUBAGUA.

JARADA LA FILAMU.
Labda ni macho yangu au ndio ushamba maana huku kwetu MAJITA,BWAI hata kama ndio vijana wenye mvuto lakini duu ilo jicho la Ray na mwenzake naona kama wameyaregeza sana..sina uhakika kwa ilo nitasubiri maoni ya wadau.

TUUNGE MKONO KAZI ZETU.
Mwisho itakuwa vema kuunga mkono kazi za wasanii wa ndani kwa kununua kazi zao.Na wasanii nao mtupe moyo wa kununu kazi zetu kwa kuzifanya ziendane na mazingira ya kwetu..

Tupo pamoja USA(hollywood)TANZANIA(Tanwood)utani..</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kwanza pongezi kwa kufanikisha kutoa filamu hiyo ya &#8220;Fake Pastor&#8221;.</p>
<p>Mi nimpenzi sana wa filamuu za nyumbani tangu miaka hiyoo.Lakini kwa leo nina MTAZAMO wangu BINAFSI.</p>
<p>JINA LA FILAMU.<br />
Binafsi sijavutiwa na kitendo cha jina la filamu kuandikwa katika lugha ya malki&#8221;kizungu&#8221; bila kutupatia tafsiri katika lugha yetu ya kiswahili.Hii itaathiri ata mauzo wasipokuwa makini.Maana baazi yetu sisi chinga wauza kanda kumwambie bibi katoka kule Gezaulole au kimbiji,kishimundu au Namtumbo **Feki pasta** haki ujumbe utakuwa ngumu sana kufika.ILA KAMA ILITENGENEZWA KWA AJILI YA DARAJA FULANI LA WATU KWENYE JAMII BASI HAPO HAKUNA TATIZO ENDELEENI KUTUBAGUA.</p>
<p>JARADA LA FILAMU.<br />
Labda ni macho yangu au ndio ushamba maana huku kwetu MAJITA,BWAI hata kama ndio vijana wenye mvuto lakini duu ilo jicho la Ray na mwenzake naona kama wameyaregeza sana..sina uhakika kwa ilo nitasubiri maoni ya wadau.</p>
<p>TUUNGE MKONO KAZI ZETU.<br />
Mwisho itakuwa vema kuunga mkono kazi za wasanii wa ndani kwa kununua kazi zao.Na wasanii nao mtupe moyo wa kununu kazi zetu kwa kuzifanya ziendane na mazingira ya kwetu..</p>
<p>Tupo pamoja USA(hollywood)TANZANIA(Tanwood)utani..</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-11 10:29:20 -->
