Mtangazaji maarufu wa kituo cha Televisheni cha Channel Ten na pia radio ya Magic FM, Nick Ngonyani hivi karibuni alichukua “jiko” jijini Dar-es-salaam na hivyo kuyaaga rasmi maisha ya ukapera.Pichani mtangazaji huyo (kushoto) akivishwa pete ya ndoa na mkewe aitwaye Nunuh Kamugisha. BC inawatakia maisha mema ndani ya ndoa.

Picha kwa hisani ya Global Publishers.

Feedback / Comments

11 Responses to “BYE BYE UKAPERA”

  1. Comment by sandy on October 29th, 2007 5:59 pm

    congrats nick tunza jiko kaka..maisha mema katika ndoa yako.

  2. Comment by mesa on October 29th, 2007 8:07 pm

    hongera sana ila jamani makeup mmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhh

  3. Comment by Egidio Ndabagoye on October 30th, 2007 1:59 am

    Hongera sana kaka.Nakutakia maisha mema.

  4. Comment by beutness on October 30th, 2007 4:39 am

    Hongera sana Nick na kila hri katika maisha yenu mapya ya ndoa.Mmependeza sana.

  5. Comment by Mariam on October 30th, 2007 5:07 pm

    Nick kweli umependeza sana na Mkeo. Sasa mjitahidi kujitunza sana na ninafurahi pamoja nanyi.
    Mungu awape mapenzi ya milele na kifo ndio kiwatenganishe kama mlivyoapa mbele ya Mungu.

  6. Comment by Nerra on October 31st, 2007 7:27 am

    Nice couple, all the best in future!

  7. Comment by Pope on November 2nd, 2007 7:45 am

    Nick Baba umemaliza mambo yako lakini?
    kasafari karefu na kagumu kaka, “Alichokiunganisha Mungu…”
    Kila la kheri kaka

  8. Comment by Oswald Rangi on November 8th, 2007 2:42 am

    Hongera kwa uamuzi mlio fikia kaka maisha ya ndoa yataka msimmo na sio kushikiwa akili na marafiki chunga sana marafiki utajajuta.Happy Joy in your marriage life.Keep god first.

  9. Comment by Mark on November 12th, 2007 11:01 am

    Hongera sana Brother Nicky … former
    Bunge Primary Classmates under Abdala Lugusha , Josiah Malonga , Ajelando Sindanoo ,Lulu , Mathew Nsemwa etc… chini ya mwalimu Mkali Mrs Kajiru
    All the best
    Mark , Japan

  10. Comment by juma on April 25th, 2008 9:43 pm

    mmm mmependeza ila bibi harusi alikuwa anumwa tumbo au?

  11. Comment by Maraya on August 8th, 2011 9:02 am

    Bigup mzazi,dats wat othr pple xld copie frm ya,ww ni mfano bora

Leave a Reply