HISTORIA MPYA IMEANDIKWA!

 

Tunapoelekea kuimaliza wiki hii, pengine hakuna habari iliyokuwa ya kusisimua nchini Tanzania kuliko ya HARUNA Pembe Mgombela (54) pichani juu, ambaye ni mfungwa katika Gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam ambaye hivi majuzi alihitimu rasmi shahada ya kwanza ya Sheria kutoka kutoka Chuo Kikuu Huria Tanzania aliyosoma akiwa gerezani humo. Haruna anaingia kwenye vitabu vya historia nchini Tanzania kwa kuwa mtanzania wa kwanza kufanya hivyo.Kweli Impossible Is Nothing kama wasemavyo Adidas.

Page 1 of 3 | Next page