

Kama ilivyo kwa Richard,kinadada wawili waliobaki na Richard mpaka mwisho ndani ya jumba la Big Brother Africa II, Tatiana kutoka Angola na Ofunneka kutoka Nigeria, nao wako “bize” wakiongea na vyombo mbalimbali vya habari kuhusiana na mlolongo mzima wa show hiyo ambayo kadiri siku zinavyozidi kwenda,hata baada ya shindano lenyewe kufikia tamati na Richard kuibuka mshindi,bado linaendelea kutawala mazungumzo na vichwa vya habari hususani barani Afrika.
Ukitaka kusoma anachokisema Tatiana(pichani juu) bonyeza hapa na ukitaka kupata kutoka kwa Ofunneka (pichani chini) bonyeza hapa.
Feedback / Comments
17 Responses to “KINA DADA WA “BIG BROTHER” NAO WAONGEA!”
Leave a Reply


BC sasa mnapoteza muelekeo, inakuwa kama “tabloids” a.k.a Udaku…….msake Richie mfanyie mahojiano tumalizane na hii sokomoko ya BB.
Dinah sasa ushaanza tena kiherehere.Mahojiano ya hawa kinadada ni muhimu sana kwani wao ndio masterling wenza wa big brother ukimuacha Richard..wewe kama hutaki kuyasoma nenda maktaba chukua vitabu soma.Usituletee.BC endeleeni kutupa habari motomoto
huyu mnaijeria asipopaka make up atatishia watu njiani, imagine ukutane nae ndo kaamka? kafanana na dinah
We Dinah imekuaje tena?mbona unafundisha watu kazi zao?au walifanya makosa kuleta habari zako hapa ukavimba kichwa na mashavu kuongezeka nyamaza acha kiherehere chako hatuimbi taarab hapa!!!halaf nakufonya.ms***i
hongera zenu kwa kuwaburudisha watu barani afrika, sana sana, kwa watu amabo wako katika kipindi kigumu, na kutoweza kuangalia baadhi ya channels, ambazo, zitaumiza watu roho na vichwa.
naamini afrika imejifunza mengi kutoka kwenu, bila sjaka sana sana wasichana ambao, wana wivu na kusemana mara wka mara, bila sababu, endeleeni kupeleka ujumbe kwa jamii yote, wafikishieni ujumbe jamani, siku hizi chuku ni nyingi, sana tutafika.
Halafu huyu Dinah anajifanya hataki mambo ya udaku wakati yeye mwenyewe Ni Udaku mtupu.Magazeti yake ni KIU,IJUMAA na BASTOLA,UPEKEPEKE usituletee za Kuleta.Acha wafanye kazi walizosomea.
Jabir
sura kama babako.
huyu ofuneka kafanana na dinah, au ni dinah anatubania apa
Awe Mimi atawahi? Skia “any” U can make ur point without being so loud (umerudia x3) hahahahha wajua ni nini? Mimi ni mbaya sana tena sana lakini hao wamenipita kwa ubaya. Dah Sura ka’ wanafika kileleni.
Kilele eeeeeeeeeeeh Mama!!!? Lol
ndo unakuwaga ivo ukifikia kilele, no wonder lazima akunike shuka usoni ukikaribia, hahaha, weekend oyeeeeeeeeeeeeeeeeee.
hongereni kwa kuchamba watu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hallow big up
tatiwana ni mrusi au mwafrica
Dinah umekosa shabaha jiange upya yaani hauna shabaha