MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    

 

 

Kama ilivyo kwa Richard,kinadada wawili waliobaki na Richard mpaka mwisho ndani ya jumba la Big Brother Africa II, Tatiana kutoka Angola na Ofunneka kutoka Nigeria, nao wako “bize” wakiongea na vyombo mbalimbali vya habari kuhusiana na mlolongo mzima wa show hiyo ambayo kadiri siku zinavyozidi kwenda,hata baada ya shindano lenyewe kufikia tamati na Richard kuibuka mshindi,bado linaendelea kutawala mazungumzo na vichwa vya habari hususani barani Afrika.

Ukitaka kusoma anachokisema Tatiana(pichani juu) bonyeza hapa na ukitaka kupata kutoka kwa Ofunneka (pichani chini) bonyeza hapa.

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Feedback / Comments

17 Responses to “KINA DADA WA “BIG BROTHER” NAO WAONGEA!”

  1. Comment by Dinah on November 15th, 2007 3:28 pm

    BC sasa mnapoteza muelekeo, inakuwa kama “tabloids” a.k.a Udaku…….msake Richie mfanyie mahojiano tumalizane na hii sokomoko ya BB. :-)

  2. Comment by Tambueni on November 15th, 2007 3:35 pm

    Dinah sasa ushaanza tena kiherehere.Mahojiano ya hawa kinadada ni muhimu sana kwani wao ndio masterling wenza wa big brother ukimuacha Richard..wewe kama hutaki kuyasoma nenda maktaba chukua vitabu soma.Usituletee.BC endeleeni kutupa habari motomoto

  3. Comment by any on November 15th, 2007 4:27 pm

    huyu mnaijeria asipopaka make up atatishia watu njiani, imagine ukutane nae ndo kaamka? kafanana na dinah

  4. Comment by Ally on November 15th, 2007 5:53 pm

    We Dinah imekuaje tena?mbona unafundisha watu kazi zao?au walifanya makosa kuleta habari zako hapa ukavimba kichwa na mashavu kuongezeka nyamaza acha kiherehere chako hatuimbi taarab hapa!!!halaf nakufonya.ms***i

  5. Comment by mbise on November 15th, 2007 7:57 pm

    hongera zenu kwa kuwaburudisha watu barani afrika, sana sana, kwa watu amabo wako katika kipindi kigumu, na kutoweza kuangalia baadhi ya channels, ambazo, zitaumiza watu roho na vichwa.

  6. Comment by mbise on November 15th, 2007 7:59 pm

    naamini afrika imejifunza mengi kutoka kwenu, bila sjaka sana sana wasichana ambao, wana wivu na kusemana mara wka mara, bila sababu, endeleeni kupeleka ujumbe kwa jamii yote, wafikishieni ujumbe jamani, siku hizi chuku ni nyingi, sana tutafika.

  7. Comment by Jabir on November 16th, 2007 7:37 am

    Halafu huyu Dinah anajifanya hataki mambo ya udaku wakati yeye mwenyewe Ni Udaku mtupu.Magazeti yake ni KIU,IJUMAA na BASTOLA,UPEKEPEKE usituletee za Kuleta.Acha wafanye kazi walizosomea.

    Jabir

  8. Comment by Dinah on November 16th, 2007 9:01 am

    :-) Sio kiherehere as Sub Editor wa BC, huo ni ukweli ulio uchi (simlindi Boss) so tulieni hapo :-)

  9. Comment by any on November 16th, 2007 9:42 am

    sura kama babako.

  10. Comment by any on November 16th, 2007 9:43 am

    huyu ofuneka kafanana na dinah, au ni dinah anatubania apa

  11. Comment by Dinah on November 16th, 2007 9:49 am

    Awe Mimi atawahi? Skia “any” U can make ur point without being so loud (umerudia x3) hahahahha wajua ni nini? Mimi ni mbaya sana tena sana lakini hao wamenipita kwa ubaya. Dah Sura ka’ wanafika kileleni.

  12. Comment by Pope on November 16th, 2007 12:05 pm

    Kilele eeeeeeeeeeeh Mama!!!? Lol

  13. Comment by any on November 16th, 2007 2:16 pm

    ndo unakuwaga ivo ukifikia kilele, no wonder lazima akunike shuka usoni ukikaribia, hahaha, weekend oyeeeeeeeeeeeeeeeeee.

  14. Comment by rose on November 17th, 2007 4:07 am

    hongereni kwa kuchamba watu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

  15. Comment by eddie on November 19th, 2007 8:57 am

    hallow big up

  16. Comment by any on November 21st, 2007 10:12 pm

    tatiwana ni mrusi au mwafrica

  17. Comment by valleshima on November 22nd, 2007 7:45 am

    Dinah umekosa shabaha jiange upya yaani hauna shabaha

Leave a Reply