
Vijana wanaoitwa wa “kizazi kipya” siku hizi wameamua kufuata mfumo wa burudani wa uhalisia kwa kuanzisha bendi zao na hivyo kutoa burudani “live”. Mmojawao ni Khalid Mohamed a.k.a Top in Dar(TID)
Pichani ni TID(mbele aliyeketi) akiwa na bendi yake nzima ijulikanayo kama Top Band.Bendi hii hupiga muziki wao kila jumamosi ndani ya Nyumba Ya Sanaa iliyopo pembeni ya Movernpick Hotel jijini Dar-es-salaam.
Picha na habari hii kwa hisani ya MichuziJR.
Feedback / Comments
5 Responses to “TOP BAND”
Leave a Reply


tid, big up, tanzania is behind you.
Big up bwa mdogo!!!!
Ila uache kuiba nyimbo za watu!!mpaka jina la nyimbo kachaa hii sasa imekaa vibaya.
big up sana, naona mko kwa pozi nono, tid, endelea kuwakilisha tanzania, na kutuburudisha sisi, watanzania, bila jeuri.
Hawa jamaa wajitahidi sana, lakini hicho KINANDA kinatia aibu sana maana hiyo ngoma ni kama toy,wengine wanafanyia mazoezi nyumbani hata bei yake ni very cheap, hivyo wambieni wasizowee kupiga nacho picha (snape) mbele ya kadamnasi, mnatutia aibu tu, gush!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!