<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: TANZANIA BILA UKIMWI INAWEZEKANA-JK</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sat, 11 Feb 2012 15:21:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: amanda</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/comment-page-1/#comment-3106</link>
		<dc:creator>amanda</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 30 Mar 2008 10:16:08 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/#comment-3106</guid>
		<description>nyie wote washamba kupima muhimu nyie mnataka rais asiye wa mfano kuwa nervous is part of being a human dont say nyote mko fit!!!!!!!!!!!!1</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>nyie wote washamba kupima muhimu nyie mnataka rais asiye wa mfano kuwa nervous is part of being a human dont say nyote mko fit!!!!!!!!!!!!1</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mkereketwa</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/comment-page-1/#comment-3105</link>
		<dc:creator>Mkereketwa</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 17 Dec 2007 20:03:26 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/#comment-3105</guid>
		<description>HE! Mr prezii was nervous??Huyu JK nae bwana drama tupu. Sasa alikuwa anaogopa nini????Kumbe anajua kuwa ayafanyayo ndio sio eeeee!!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>HE! Mr prezii was nervous??Huyu JK nae bwana drama tupu. Sasa alikuwa anaogopa nini????Kumbe anajua kuwa ayafanyayo ndio sio eeeee!!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Siddy</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/comment-page-1/#comment-3104</link>
		<dc:creator>Siddy</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 08 Dec 2007 19:28:26 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/#comment-3104</guid>
		<description>Mr. President said he was nervous after atking the HIV test, I think he should explain WHY? He has been maried forever, there&#039;s no need to be worried.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mr. President said he was nervous after atking the HIV test, I think he should explain WHY? He has been maried forever, there&#8217;s no need to be worried.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Chris</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/comment-page-1/#comment-3103</link>
		<dc:creator>Chris</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 25 Nov 2007 10:49:33 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/#comment-3103</guid>
		<description>Yaani jamaa kutoka maisha bora kwa kila mbongo hadi Tanzania isiyo na UKIMWI inawezekana.

Issue si kupima, u-salama?Na km umeathirika au hujaathirika u-tayari kubadili tabia?Nani wa kwanza kuonyesha njia?Viongozi wana nafasi yao.... wakuu wa dini.... mkuu wa familia..... kiongozi gani ameshaonyesha njia hata kwa kujitangaza tu kwa umma? Ili watu wa-feel kweli that UKIMWI hauna mtoto, mkubwa, kiongozi, Kasisi etc.

Huku Netherlands na ulaya magharibi (Western Europe) nzima UKIMWI si tatizo but incase hata mwalimu wa shule ameupata anajitangaza shuleni. Ni mwalimu gani Tanzania anaweza fanya hivyo? Kama viongozi tu wanaficha?

Kama Mkapa ali-declare ni janga la Taifa,lazima tu-deal nalo kitaifa. Actors wa UKIMWI ni kila mtu, play your part,ila waonyesha njia hamjaweza PLAY YOUR PART.Kwanini part yenu iishie kupima na ku-advocate matumizi ya condom tu? Basi hata mtupe majibu ya kweli.

Tanzania ni &quot;secular state&quot;. Ila watu wake are releigious.Ikiwemo nyie viongozi wetu. Sasa km mnadanganya umma,ni mnamdanganya Mungu wenu pia.

Tubadilike na kila mtu acheze nafasi yake.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Yaani jamaa kutoka maisha bora kwa kila mbongo hadi Tanzania isiyo na UKIMWI inawezekana.</p>
<p>Issue si kupima, u-salama?Na km umeathirika au hujaathirika u-tayari kubadili tabia?Nani wa kwanza kuonyesha njia?Viongozi wana nafasi yao&#8230;. wakuu wa dini&#8230;. mkuu wa familia&#8230;.. kiongozi gani ameshaonyesha njia hata kwa kujitangaza tu kwa umma? Ili watu wa-feel kweli that UKIMWI hauna mtoto, mkubwa, kiongozi, Kasisi etc.</p>
<p>Huku Netherlands na ulaya magharibi (Western Europe) nzima UKIMWI si tatizo but incase hata mwalimu wa shule ameupata anajitangaza shuleni. Ni mwalimu gani Tanzania anaweza fanya hivyo? Kama viongozi tu wanaficha?</p>
<p>Kama Mkapa ali-declare ni janga la Taifa,lazima tu-deal nalo kitaifa. Actors wa UKIMWI ni kila mtu, play your part,ila waonyesha njia hamjaweza PLAY YOUR PART.Kwanini part yenu iishie kupima na ku-advocate matumizi ya condom tu? Basi hata mtupe majibu ya kweli.</p>
<p>Tanzania ni &#8220;secular state&#8221;. Ila watu wake are releigious.Ikiwemo nyie viongozi wetu. Sasa km mnadanganya umma,ni mnamdanganya Mungu wenu pia.</p>
<p>Tubadilike na kila mtu acheze nafasi yake.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: sibah</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/comment-page-1/#comment-3102</link>
		<dc:creator>sibah</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 25 Nov 2007 02:28:35 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/#comment-3102</guid>
		<description>kupima naona, na ya lowassa na mywife. Au wamebania, maana bibie yule nae, ana uchu.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>kupima naona, na ya lowassa na mywife. Au wamebania, maana bibie yule nae, ana uchu.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: any</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/comment-page-1/#comment-3101</link>
		<dc:creator>any</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 22 Nov 2007 03:10:22 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/#comment-3101</guid>
		<description>dinah sio mbongo, huna habari, yeye ni muitaliano.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>dinah sio mbongo, huna habari, yeye ni muitaliano.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Kaka Trio</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/comment-page-1/#comment-3100</link>
		<dc:creator>Kaka Trio</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 20 Nov 2007 16:15:23 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/#comment-3100</guid>
		<description>Wabongo bana eti mnaudhi! wewe sio mbongo dinnah? eti anajitenga kwa sababu yeye haudhi na hana ukimwi! Tukapime na kisha tujihadhali na vyanzo vyote vya ugonjwa huo.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Wabongo bana eti mnaudhi! wewe sio mbongo dinnah? eti anajitenga kwa sababu yeye haudhi na hana ukimwi! Tukapime na kisha tujihadhali na vyanzo vyote vya ugonjwa huo.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Dinah</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/comment-page-1/#comment-3093</link>
		<dc:creator>Dinah</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 17 Nov 2007 22:26:43 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/#comment-3093</guid>
		<description>Wote wenye tabia chafu ya kungonoana ovyo tena bila kinga hasa nje ya mahusino yenu iwe ndoa au vinginevyo.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Wote wenye tabia chafu ya kungonoana ovyo tena bila kinga hasa nje ya mahusino yenu iwe ndoa au vinginevyo.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Ally</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/comment-page-1/#comment-3092</link>
		<dc:creator>Ally</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 17 Nov 2007 21:59:46 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/#comment-3092</guid>
		<description>Tunaudhi kina nani?unataka tuweke mambo yako hadharani hapa kama unamdanganya jamaa?we dinah tulia bana!!kisha tunatakiwa tufate dini zetu hakuna kuwa na mpenzi 1 unaeshiriki nae ngono unachotakiwa kuwa na mke unaefanya nae mapenzi nafikiri hiyo ndio dawa pekee kuacha uasharati basi,sio condom sio kuwa na mpemzi mmoja uongo mtupu.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Tunaudhi kina nani?unataka tuweke mambo yako hadharani hapa kama unamdanganya jamaa?we dinah tulia bana!!kisha tunatakiwa tufate dini zetu hakuna kuwa na mpenzi 1 unaeshiriki nae ngono unachotakiwa kuwa na mke unaefanya nae mapenzi nafikiri hiyo ndio dawa pekee kuacha uasharati basi,sio condom sio kuwa na mpemzi mmoja uongo mtupu.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Dinah</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/comment-page-1/#comment-3091</link>
		<dc:creator>Dinah</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 17 Nov 2007 19:53:58 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2007/11/16/tanzania-bila-ukimwi-inawezekana-jk/#comment-3091</guid>
		<description>Kimori hapo umesema kitu cha msingi sana kuhusiana na swala la upimwaji wa virusi vya UKIMWI ktk nchi iliyokubuhu ktk rushwa (kutokana hali ngumu ya maisha kila mtu anajiangalia yeye a.k.a ubinafsi)

Kuna watu (wale wanaopima ili kufunga ndoa au kuanzisha uhusiano mpya wa kimapenzi) wanalipa Docs ili waandikiwe HIV- wakati ni HIV+, vilevile kuna swala la kuogopana.....Doc unapigwa mkwara sasa kwa vile unahofia kupoteza kazi....mwenyewe unaweka majibu chanya wakati ktk hali halisi ni hasi. :-(


Vita ni yetu sote sio kwa kupima nakujitangaza bali kubadilisha tabia na kuwa na mpenzi mmoja unaeshiriki nae Ngono, Pia tumia kinga (condom) kwa kila tendo unless mnataka kummimba/kumimbwa(kuzaa).

Utamu wa ngono unadumu kwa muda usiozidi nusu saa na ni bure kabisa lakini HIV ni mpaka kufa na ni gharama pia kuishi na virus vyake kwani utahitaji lishe bora, madawa ya mara kwa mara ambayo mpaka mwaka jana yalikuwa yakigharimu $180.

Tubadili tabia jamani.....thamini mpenzi wako....thamini utu wako. Mnaudhi!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kimori hapo umesema kitu cha msingi sana kuhusiana na swala la upimwaji wa virusi vya UKIMWI ktk nchi iliyokubuhu ktk rushwa (kutokana hali ngumu ya maisha kila mtu anajiangalia yeye a.k.a ubinafsi)</p>
<p>Kuna watu (wale wanaopima ili kufunga ndoa au kuanzisha uhusiano mpya wa kimapenzi) wanalipa Docs ili waandikiwe HIV- wakati ni HIV+, vilevile kuna swala la kuogopana&#8230;..Doc unapigwa mkwara sasa kwa vile unahofia kupoteza kazi&#8230;.mwenyewe unaweka majibu chanya wakati ktk hali halisi ni hasi. <img src='http://www.bongocelebrity.com/wp-includes/images/smilies/icon_sad.gif' alt=':-(' class='wp-smiley' /> </p>
<p>Vita ni yetu sote sio kwa kupima nakujitangaza bali kubadilisha tabia na kuwa na mpenzi mmoja unaeshiriki nae Ngono, Pia tumia kinga (condom) kwa kila tendo unless mnataka kummimba/kumimbwa(kuzaa).</p>
<p>Utamu wa ngono unadumu kwa muda usiozidi nusu saa na ni bure kabisa lakini HIV ni mpaka kufa na ni gharama pia kuishi na virus vyake kwani utahitaji lishe bora, madawa ya mara kwa mara ambayo mpaka mwaka jana yalikuwa yakigharimu $180.</p>
<p>Tubadili tabia jamani&#8230;..thamini mpenzi wako&#8230;.thamini utu wako. Mnaudhi!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-12 04:39:08 -->
