WELCOME HOME PARTY FOR RICHARD.

 

 

Richard(kushoto) akiwa ndani ya party ya kumkaribisha nyumbani ijumaa iliyopita.Wengine katika picha ni Kinje Ngombale Mwiru(katikati) na Edward(kulia) kaka yake Richard.

Ijumaa iliyopita kampuni ya Multi Choice Tanzania ilimuandalia party ya kumpongeza mshindi wa Big Brother Africa II,Richard Bezuidenhout. Party hiyo ambayo ilihudhuriwa na bongo celebrities wengi ilifanyikia ndani ya Millenium Hotel iliyopo Kijitonyama jijini Dar-es-salaam. Kampuni ya Multi Choice Tanzania ndio wahusika wakuu wa shindano la Big Brother Africa kwa upande wa Tanzania. Kwa picha zaidi za party hiyo mtembelee michuzijr.blogspot.com.

Page 1 of 3 | Next page