MTANZANIA ATWAA UBINGWA WA DUNIA.

 

Bondia wa Tanzania,Japhet Kaseba (kulia) ambaye ni bingwa wa mabara, jumamosi iliyopita aliibuka bingwa wa dunia (WKL) katika mchezo wa kickboxing baada ya kumtwanga bondia kutoka India,Abhijeet Pektar (kushoto) katika raundi ya kwanza,ambapo pambano hilo lilikuwa la raundi tano lililofanyika ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar-es-salaam.BC inaungana na watanzania wote katika kumpa pongezi Japhet Kaseba.

Picha na habari hii kwa hisani ya MichuziJR.Picha ilipigwa ukumbi wa Maelezo jijini Dar siku moja kabla ya pambano wakati wakitambulishwa kwa waandishi wa habari huku kila mmoja akijinadi kumshinda mwenzie.

Page 1 of 3 | Next page