Kwa wale ambao hawakuwezi hapo jana kuona fainali za kumtafuta mrembo wa dunia hii hapa ni video ya utambulisho wa gauni la jioni(evening gown parade).Hapa unaweza kuwaona warembo wote 106 walioshiriki shindano hilo.

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

Feedback / Comments

7 Responses to “ILIVYOKUWA JANA…”

  1. Comment by Edwin Ndaki on December 2nd, 2007 8:36 pm

    Yote maisha Richa…PAMOJAH….

  2. Comment by Edwin Ndaki on December 3rd, 2007 5:46 am

    Ngoja nisubiri ze sababuzi za kutofanya vema…

    Bado itatugharimu karne kadhaa kwa stahili hii kufikia tu record ya Nacy wa Sumari ….

    Salam kwa Lunde…na kamati nzima

    Yaani tz so…

  3. Comment by JITUPARATUPU on December 3rd, 2007 6:15 am

    Naona hatuko serious na mambo haya ya urembo. Nadhani serikali ingesimamisha Tanzania kushiriki mashindano yaurembp kwa miaka mitano ili tujifue kisawasawa. Pole Richa!

  4. Comment by shuwaini on December 3rd, 2007 3:27 pm

    alikuwa ana parade kama anaenda clinic

  5. Comment by mbuche on December 4th, 2007 6:48 pm

    kulikuwa na kila sababu ashindwe maana kulikuwa kuna vimwana si mchezo pole richa ndio mambo ya mashindano

  6. Comment by Matty on December 5th, 2007 5:54 am

    Mhh!!!hivi unafikiri watoto walivyokuwa bomba Richa angefika wapi????mimi nadhani ipo haja ya lundenga kujihudhuru kwa ridhaa yake mwenyewe vinginevyo tutabakia kuwa wasindikizaji.
    Hoyce alitoa chozi kapendelewa wadau walichonga sana juu yake jamani ana uzoefu na hayo mambo na alijua hatafika popote, watu wakasema ni mbaguzi, no no no no hakuna cha ubaguzi ukweli ni kwamba Richa hakustahili kuwa Miss Tanzania…full stop.

  7. Comment by suzane on August 8th, 2008 3:06 am

    huyo ms tz au mc india

Leave a Reply