
Unaweza kumtambua huyu? Unajua yuko wapi na anafanya nini siku hizi?Msaada wa kupata jibu sahihi: Aliwahi kuwa mtangazaji maarufu.
Feedback / Comments
23 Responses to “NI NANI HUYU?”
Leave a Reply
sending...23
Comments
→ December 18, 2007 → Tags: Quiz, Television, Watangazaji →

Unaweza kumtambua huyu? Unajua yuko wapi na anafanya nini siku hizi?Msaada wa kupata jibu sahihi: Aliwahi kuwa mtangazaji maarufu.
Feedback / Comments
23 Responses to “NI NANI HUYU?”
Leave a Reply
huyu ni bwana MIKIDADI MAHAMUDU, aliko na afanyacho kwa sasa sikijui.
huyo ni bwana mikidadi mahamud sio???yuko wapi hivi
Huyu ni mdingi Mikidadi Mahmood, alikuwa mtangazaji wa TRD, halafu Radio One. Nadhani yuko ndani ya siasa kwa sasa.
Huyu ni Mikidadi Mahmoud a.k.a brother Mike……….
Mnhhhhhhhhhhhh! sijui alipo wala sijui anafanya nini!!!!!!!!!!!.
Braza Miki kama sijakosea
Huyu ni Mikidadi Mahmoud.Alikua mtangazaji wa RTD (Radio Tanzania Dar Es Salaam), then akatangaza Radio One (na alikua kiongozi Radio One nafikiri).Then akajikita into politics kama Mwenyekiti wa CCM-Ilala,but alibwagwa uchaguzi uliopita wa mwaka huu July/August na Bwana Suleiman Kalanje.Baada ya huo mbwago sijui anafanya nini baada ya hapo,maybe rufaa,maana nafikiri alikata rufaa kwa kubwagwa kwenye siasa.
naona yupo na Chukua Chako Mapemaaaaaa…kabla hawajastuka
Ni Mikidadi Mahmadu: alikuwa mtangazaji: Kwa sasa ni kada wa CCM
Huyo ni mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala Mikidadi Mahmoud.Alikuwa anafanya kazi redio Tanzania kama mtangazaji halafu akahamia Radio One akawa Mkurugenzi wa utangazi.
Duh hiyo kweli chukua chako mapema utafikiri brother Beny.
Mikidadi Mahmoud huyo kaka
This is a test comment being made due to your forum post.
Huyu atakuwa ni Mikidadi Mahmoud.Duh kweli chama kizuri.Kanona hivyo?
Waoh asanteni sana mie nilikuwa namsikia kumbe ndiye Mikidadi.
Chukua Chako Mapema c mchezo maana ameridhika ile mbaya.Ushauri afanye mazoezi kukimbiza magonjwa.
Hivi kunenepa ni dalili ya afya njema?
i was about to forget him coz ametoka shavu c mchezo,ndio mjini hapa,chukua chako mapema unless other wise utakufa maskini,ni hayo tuuuuuuuuuu
Kitambi Kizuri lakini kikizidi inakuwa soo!!!!!!
duu, kwa tafsiri zetu kijijini kitambi ni dalili ya afya, na sio ugonjwa. Weight watchers wameanza kuja tz kwa kasi ila its sad wenye pesa tz ndo wako ob! shame shame shame.
Jamani huyu mtu alikuwa na mwili mkubwa tangu yuko Radio one sio ccm wala nini!!!!!!!!!!……….Ameridhika tu na Bongo yetu………..
Ben Mkapa. lol
Huyu sio Jackob Zuma huyu jamani!?!
Huyu Mujeshimiwa ni mwana ccm na kwa sasa ni muwekezaji pia, anamiliki hotel ya kitalii katika mbuga ya wanyama ya Lake Manyara, kumbuka kuwa alizaliwa mto wa mbu village, kwenye foothills za rift valley wall, na hapo ndipo manyara ipo.. kwa hiyo kawekeza karibu na nyumbani kwake alikozaliwa…
Hongera bwana mikidadi..
Braza Mik Mahmoud, yeye , Chaz Hilary na Chipoz ndo waliibeb Radio One late 90z.
Jirani yangu wa zamani wakati naishi mitaa ya karakata Kipawa, nilikuwa namzimia sana mtoto wake wa Kike anaitwa Zuhra Mikidadi sijui hata yuko wapi siku hizi.