<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: RUSHWA NI ADUI,NANI ALAUMIWE?</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Tue, 07 Sep 2010 14:07:18 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.0</generator>
	<item>
		<title>By: Matty</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/comment-page-1/#comment-4805</link>
		<dc:creator>Matty</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 07 Jan 2008 10:16:55 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/#comment-4805</guid>
		<description>MAJITA, mimi nimetoa mfano mdogo tu!jinsi mzazi wangu alivyofariki baada ya kushindwa kutoa kitu kidogo hospital,hapo ukiniambia hiyo ni tipu/zawadi nakuwa sikupati vizuri.(inamaana tipu/zawadi inatolewa kabla ya kazi au baada ya kazi??)
Kuhusu Kitenge cha mama salma kinahusiana vipi na rushwa inamaana yeye hana elfu 10 yake binafsi ya kununua kitenge?????(narudia tena dingi anatoa mshiko heavy wa mboga kinachobaki maza anatinga mwilini)huna haja ya kudhania kitenge alichovaa amekula rushwa kumbuka viwalo anavyotoka yupo teacher.... MAJITA KILE KITENGE NI BEI NDOGO MNO RAFIKI YANGU WALA HAKIUZWI MILLION.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>MAJITA, mimi nimetoa mfano mdogo tu!jinsi mzazi wangu alivyofariki baada ya kushindwa kutoa kitu kidogo hospital,hapo ukiniambia hiyo ni tipu/zawadi nakuwa sikupati vizuri.(inamaana tipu/zawadi inatolewa kabla ya kazi au baada ya kazi??)<br />
Kuhusu Kitenge cha mama salma kinahusiana vipi na rushwa inamaana yeye hana elfu 10 yake binafsi ya kununua kitenge?????(narudia tena dingi anatoa mshiko heavy wa mboga kinachobaki maza anatinga mwilini)huna haja ya kudhania kitenge alichovaa amekula rushwa kumbuka viwalo anavyotoka yupo teacher&#8230;. MAJITA KILE KITENGE NI BEI NDOGO MNO RAFIKI YANGU WALA HAKIUZWI MILLION.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Majita</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/comment-page-1/#comment-4796</link>
		<dc:creator>Majita</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 05 Jan 2008 00:55:59 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/#comment-4796</guid>
		<description>KWA MATTY NA WENZAKO:-

RUSHWA ni kitu chochote kitolewacho kwa hiari kwa mtu mwenye nafasi fulani ili ku-influence msaada (favor) wa aina yeyote.Inaweza kuwa hela,mali,utu ama situation fulani.

Mimi nafikiri Tanzania tatizo kubwa la rushwa ni TAFASIRI  halisi ya neno rushwa.Mfano:-
1:Mwalimu akifaulisha sana wanafunzi wake ama wanafunzi wakimsifia mwalimu kwa ufundishaji wake na mzazi akachukua jukumu la kumpa mwalimu huyo zawadi ETI wanasema mwalimu kachukua  rushwa.
2:Polisi akifanya kazi nzuri na raia kuamua kumpa zawadi ETI wakubwa wanaita rushwa.Kwa mujibu wa PGO-Police General Order ETI kama askari wa cheo cha chini say PC akitaka kupokea hiyo zawadi,inatakiwa ipelekewe IGP na huyo IGP aitangaze ndo imwendee huyo polisi mnyonge.Assume wewe uko majita na unataka kumpa motisha huyo Polisi wa majita ya sh.10,000/=guess what??unatakiwa uipeleke Dar HQ kwa IGP.Mifano ni mingi.Huo ndo urasimu.

Waliosoma education watakubaliana na mimi nini tofauti ya motisha,zawadi na adhabu.Wale wa sheria na madakitari nao watakubaliana na mimi kuhusu dhana ya Zawadi.

Tanzania kinachofanyika ni kushughulikia tips,zawadi,na  motisha.Wale wala rushwa wanaachwa bila kuguswa.Kimsingi wanaopokea rushwa ni wakubwa.Nina mifano halisi na hai.Tutawasema ma-traffic police lakini hatujui wala RUSHWA.

Leo namshangaa sana MATTY kwa kumhoji mama koku kuhusu kutoa 10,000/= tu.Amesema kwa jazba kuhusu bibi yake muuza dagaa.Ni wiki juzi tu huyohuyo MATTY alimshaabikia mama Salma Kikwete kuhusu kuvaa matenge. sishangai hao ndo watanzania halisi.Sasa Matty!!!yale matenge ya mama Kikwete uliyoyashaabikia ni bei gani na hizo 10,000/= ni bei gani?????Je! kwa maana ya rushwa tunasemaje kuhusu mavazi ya mama kikwete????

Ukiwa nchi nyingine say Marekani,utasikia maneno tips yakiwa common sana.Ukienda say bar au hotelini mbali na gharama zooote utakazoandikiwa kwenye bill LAZIMA utakumbana na tips.Ndo maana utaona bar-maid wa USA ana maisha bomba tu kwani anaweza kutengeneza hata $5,000/= kwa night kutokana na tips tu,lakini Tanzania tunaita RUSHWA.

Mimi nasema hivi,nyie PCB sijui TAKUKURU acheni kushughulikia tips,shughulikieni rushwa.Acheni vi shilingi 10,000/= hivyo.Nyie wakubwa mnachukua mamilioni ya rushwa kila siku na PCB mkiwa miongoni mwao na kukaa kusumbua wanyonge tu.
MKOME.
Majita</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>KWA MATTY NA WENZAKO:-</p>
<p>RUSHWA ni kitu chochote kitolewacho kwa hiari kwa mtu mwenye nafasi fulani ili ku-influence msaada (favor) wa aina yeyote.Inaweza kuwa hela,mali,utu ama situation fulani.</p>
<p>Mimi nafikiri Tanzania tatizo kubwa la rushwa ni TAFASIRI  halisi ya neno rushwa.Mfano:-<br />
1:Mwalimu akifaulisha sana wanafunzi wake ama wanafunzi wakimsifia mwalimu kwa ufundishaji wake na mzazi akachukua jukumu la kumpa mwalimu huyo zawadi ETI wanasema mwalimu kachukua  rushwa.<br />
2:Polisi akifanya kazi nzuri na raia kuamua kumpa zawadi ETI wakubwa wanaita rushwa.Kwa mujibu wa PGO-Police General Order ETI kama askari wa cheo cha chini say PC akitaka kupokea hiyo zawadi,inatakiwa ipelekewe IGP na huyo IGP aitangaze ndo imwendee huyo polisi mnyonge.Assume wewe uko majita na unataka kumpa motisha huyo Polisi wa majita ya sh.10,000/=guess what??unatakiwa uipeleke Dar HQ kwa IGP.Mifano ni mingi.Huo ndo urasimu.</p>
<p>Waliosoma education watakubaliana na mimi nini tofauti ya motisha,zawadi na adhabu.Wale wa sheria na madakitari nao watakubaliana na mimi kuhusu dhana ya Zawadi.</p>
<p>Tanzania kinachofanyika ni kushughulikia tips,zawadi,na  motisha.Wale wala rushwa wanaachwa bila kuguswa.Kimsingi wanaopokea rushwa ni wakubwa.Nina mifano halisi na hai.Tutawasema ma-traffic police lakini hatujui wala RUSHWA.</p>
<p>Leo namshangaa sana MATTY kwa kumhoji mama koku kuhusu kutoa 10,000/= tu.Amesema kwa jazba kuhusu bibi yake muuza dagaa.Ni wiki juzi tu huyohuyo MATTY alimshaabikia mama Salma Kikwete kuhusu kuvaa matenge. sishangai hao ndo watanzania halisi.Sasa Matty!!!yale matenge ya mama Kikwete uliyoyashaabikia ni bei gani na hizo 10,000/= ni bei gani?????Je! kwa maana ya rushwa tunasemaje kuhusu mavazi ya mama kikwete????</p>
<p>Ukiwa nchi nyingine say Marekani,utasikia maneno tips yakiwa common sana.Ukienda say bar au hotelini mbali na gharama zooote utakazoandikiwa kwenye bill LAZIMA utakumbana na tips.Ndo maana utaona bar-maid wa USA ana maisha bomba tu kwani anaweza kutengeneza hata $5,000/= kwa night kutokana na tips tu,lakini Tanzania tunaita RUSHWA.</p>
<p>Mimi nasema hivi,nyie PCB sijui TAKUKURU acheni kushughulikia tips,shughulikieni rushwa.Acheni vi shilingi 10,000/= hivyo.Nyie wakubwa mnachukua mamilioni ya rushwa kila siku na PCB mkiwa miongoni mwao na kukaa kusumbua wanyonge tu.<br />
MKOME.<br />
Majita</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Kimori</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/comment-page-1/#comment-4804</link>
		<dc:creator>Kimori</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 04 Jan 2008 18:41:05 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/#comment-4804</guid>
		<description>The way I know is that PCCB is Prevention and Combating of Corruption Bureau. I think the key word here of this government entity is CORRUPTION and if you look at the definition of corruption you will find that corruption is a general concept describing any organized, interdependent system in which part of the system is either not performing duties it was originally intended to, or performing them in an improper way, to the detriment of the system&#039;s original purpose.

However, going deeper to elaborate corruption, I found out that there are various forms of corruption and the ones which attracted my attention are:

1.Political corruption, which are dysfunctions of a political system or institution in which politically elected officials seek illegitimate personal gain through actions such as bribery, extortion, cronyism, nepotism, patronage, graft, and embezzlement. “Rent seeking” is a closely related term in economics. Again in this type of corruption I met the word bribery, which I think most of people are interested in.

What is bribe?...To my view this is where the main problem lies, especially for low-income people. The bribe is the gift bestowed to influence the receiver&#039;s conduct. It may be any money, good, right in action, property, preferment, privilege, emolument, object of value, advantage, or any promise or undertaking to induce or influence the action, vote, or influence of a person in an official or public capacity.

It is generally considered unethical. In most jurisdictions it is illegal, or at least cause for sanctions from one&#039;s employer or professional organization.

For information bribery around the world is estimated at about $1 trillion (£494bn) and the burden of corruption falls disproportionately on the bottom billion people living in extreme poverty, which I think I am part of. Everybody at any time of his/her life has been involved in giving or receiving bribe and I am one of them.

2.Another type of corruption is the so called Bureaucratic corruption,, which relates to mainly to nepotism and pecuniary corruption by bureaucrats that pushes up the cost of functioning of public offices, penalizes the public exchequer or clients or both.

3.It will also be interesting to know that there is Police corruption, which is a type of bureaucratic corruption that infects police departments, and includes misuse of authority in addition to bribery. Police misconduct is a closely associated phenomenon.

I beg to submit!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>The way I know is that PCCB is Prevention and Combating of Corruption Bureau. I think the key word here of this government entity is CORRUPTION and if you look at the definition of corruption you will find that corruption is a general concept describing any organized, interdependent system in which part of the system is either not performing duties it was originally intended to, or performing them in an improper way, to the detriment of the system&#8217;s original purpose.</p>
<p>However, going deeper to elaborate corruption, I found out that there are various forms of corruption and the ones which attracted my attention are:</p>
<p>1.Political corruption, which are dysfunctions of a political system or institution in which politically elected officials seek illegitimate personal gain through actions such as bribery, extortion, cronyism, nepotism, patronage, graft, and embezzlement. “Rent seeking” is a closely related term in economics. Again in this type of corruption I met the word bribery, which I think most of people are interested in.</p>
<p>What is bribe?&#8230;To my view this is where the main problem lies, especially for low-income people. The bribe is the gift bestowed to influence the receiver&#8217;s conduct. It may be any money, good, right in action, property, preferment, privilege, emolument, object of value, advantage, or any promise or undertaking to induce or influence the action, vote, or influence of a person in an official or public capacity.</p>
<p>It is generally considered unethical. In most jurisdictions it is illegal, or at least cause for sanctions from one&#8217;s employer or professional organization.</p>
<p>For information bribery around the world is estimated at about $1 trillion (£494bn) and the burden of corruption falls disproportionately on the bottom billion people living in extreme poverty, which I think I am part of. Everybody at any time of his/her life has been involved in giving or receiving bribe and I am one of them.</p>
<p>2.Another type of corruption is the so called Bureaucratic corruption,, which relates to mainly to nepotism and pecuniary corruption by bureaucrats that pushes up the cost of functioning of public offices, penalizes the public exchequer or clients or both.</p>
<p>3.It will also be interesting to know that there is Police corruption, which is a type of bureaucratic corruption that infects police departments, and includes misuse of authority in addition to bribery. Police misconduct is a closely associated phenomenon.</p>
<p>I beg to submit!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mercy</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/comment-page-1/#comment-4803</link>
		<dc:creator>Mercy</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 04 Jan 2008 10:24:40 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/#comment-4803</guid>
		<description>Mama koku ambacho huelewi ni nini??inaelekea wewe ni mtoto wa Mafisadi wakubwa hapa bongo ndo maana unaikataa rushwa ya elfu 10.
Suala sio ya kuanzia millions, rushwa ni rushwa tu!!!!!!!!!!!
mimi nishatoa mara kibao hapo Hospital ili mdogo wangu atibiwe haraka ili tuwahi kuondoka maana daladala ukichelewa usiku ni za shida hasa za kwenda Mbagala, uwezo wa taxi sikuwa nao sasa what do say!!!!!!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mama koku ambacho huelewi ni nini??inaelekea wewe ni mtoto wa Mafisadi wakubwa hapa bongo ndo maana unaikataa rushwa ya elfu 10.<br />
Suala sio ya kuanzia millions, rushwa ni rushwa tu!!!!!!!!!!!<br />
mimi nishatoa mara kibao hapo Hospital ili mdogo wangu atibiwe haraka ili tuwahi kuondoka maana daladala ukichelewa usiku ni za shida hasa za kwenda Mbagala, uwezo wa taxi sikuwa nao sasa what do say!!!!!!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: matty</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/comment-page-1/#comment-4802</link>
		<dc:creator>matty</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 04 Jan 2008 10:13:19 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/#comment-4802</guid>
		<description>Mama Koku, labda wewe ndo hujui maana ya Rushwa,mimi nakubali sijawahi kutoa rushwa ila siku moja nilijuta pale niliposhindwa kutoa rushwa ili mzazi wangu atibiwe hospital na hatimaye akafariki inamaana ningetoa rushwa nurse angekuwa karibu hata kumsikiliza mgonjwa anajisikiaje(hata kama asingepona ni mipango ya mungu ila at leat nurse alikuja kuliko unamuita anadengua).Si tukwamba uwaite watu(under age) ***kabisa wewe!!!!!!!labda wewe ndo under age.
Rushwa ni rushwa tu!! hata iwe sent 5,10,20 nk. acha tuanze na huku kwenye jamii yetu hususani hospital pananiboa sana, wewe unaiona elfu 10 ndogo wakati bibi yako kijijini hana hata sabuni ya kufulia na akitoa hiyo elfu 10 kumpa nurse si atakuwa kapoteza mtaji wote wa dagaa sasa utaniambia hiyo si rushwa???
MAMAKOKU TAFUTA MAANA YA RUSHWA NDO UJE KUCHANGIA SIO KUKURUPUKA TU...RUSHWA NI RUSHWA TU HATA BUSU KAMA ALIVYOSEMA KARIMU MUSA.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mama Koku, labda wewe ndo hujui maana ya Rushwa,mimi nakubali sijawahi kutoa rushwa ila siku moja nilijuta pale niliposhindwa kutoa rushwa ili mzazi wangu atibiwe hospital na hatimaye akafariki inamaana ningetoa rushwa nurse angekuwa karibu hata kumsikiliza mgonjwa anajisikiaje(hata kama asingepona ni mipango ya mungu ila at leat nurse alikuja kuliko unamuita anadengua).Si tukwamba uwaite watu(under age) ***kabisa wewe!!!!!!!labda wewe ndo under age.<br />
Rushwa ni rushwa tu!! hata iwe sent 5,10,20 nk. acha tuanze na huku kwenye jamii yetu hususani hospital pananiboa sana, wewe unaiona elfu 10 ndogo wakati bibi yako kijijini hana hata sabuni ya kufulia na akitoa hiyo elfu 10 kumpa nurse si atakuwa kapoteza mtaji wote wa dagaa sasa utaniambia hiyo si rushwa???<br />
MAMAKOKU TAFUTA MAANA YA RUSHWA NDO UJE KUCHANGIA SIO KUKURUPUKA TU&#8230;RUSHWA NI RUSHWA TU HATA BUSU KAMA ALIVYOSEMA KARIMU MUSA.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: wakunyumba</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/comment-page-1/#comment-4801</link>
		<dc:creator>wakunyumba</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 04 Jan 2008 09:00:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/#comment-4801</guid>
		<description>huyo bosi wa masuala ya rushwa nasikia ndio mkingaji mzuri lakini ndio maisha ya tanzania hayo</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>huyo bosi wa masuala ya rushwa nasikia ndio mkingaji mzuri lakini ndio maisha ya tanzania hayo</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mama koku</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/comment-page-1/#comment-4800</link>
		<dc:creator>mama koku</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 04 Jan 2008 05:50:16 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/#comment-4800</guid>
		<description>Karim Mussa,

Soma paragraph ya mwisho ya majita na upendo</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Karim Mussa,</p>
<p>Soma paragraph ya mwisho ya majita na upendo</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: kimk</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/comment-page-1/#comment-4799</link>
		<dc:creator>kimk</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 04 Jan 2008 04:25:02 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/#comment-4799</guid>
		<description>Tatizo la rushwa si mshahara,kwa maana ya kuwa hata hao wenye mishahara minono kama wabunge na wenye vipato kama wafanya biashara ndio watoa rushwa wakubwa. Jambo la msingi hapa ni kuwa hakuna utashi wa kushughulikia rushwa kuanzia ngazi za juu hadi chini. Vyombo vya kuhughulikia rushwa kama takkukuru na polisi vinawajibika kwa baadhi ya viongozi.Hivi takukuru itaweza kumchunguza Rais au waziri mkuu maana ndio hao walimpa mkuu wa taasisi hiyo kazi. Matokeo yake zile rushwwa kubwa zinazotikisa taifa kiuchumi na kimaadili zinaundiwa maneno matamu kama takrima,kuundiwa tume,kushughulikiwa na mamlaka husika n.k. Sasa mimi kama mkuu wa kaidara kangu nina sababu gani ya kumkabili askari au mwalimu &#039;anayejikimu&#039; kwa 30,000 kama wale wenye mishahara ya mamilioni bado wanakula rushwa za umeme,madini!!!!

Hakuna njia nyingine isipokuwa kuwa na chombo huru ambacho hakina uhusiano na Rais wala serikali katika utendaji wake.Hii takukuru ni chombo cha kuwaosha &#039;papa&#039; kama tulivyoona Richmond na kuwahukumu walimu,matabibu na trafiki. Huwezi kumsafisha mtu kama wewe ni mchafu.Ingawa tunasema  rushwa ni rushwa iweje rushwa ya 30,000 ihukumiwe na ileya IPTL na mikataba mibovu iachwe?

Na mwisho kama viongozi wanachaguana kwa jenda,na urafiki ni nani atawawajibisha wakila rushwa? kwani mumesahau kuwa kuna bodi imesema fulani ndiye mhusika,je ameshughulikiwa vipi. sasa mimi kwanini ni jali na kukekea rushwa kama wale wanaohubiri hawatendi wasemayo.

Tatizo si mishahara,ni kukosa utashi na viongozi wasafi ambao watasimama na kuikemea kama akina Mwl.Nyerere na sokoine. Jiulize utakamata vipi wala rushwa kama una biashara za migodi ya makaa na biashara ukiwa ofisi kuu ya nchi.
Takukuru si lolote si chochote ni chombo cha kuwasafisha wakishasafisha mali zetu.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Tatizo la rushwa si mshahara,kwa maana ya kuwa hata hao wenye mishahara minono kama wabunge na wenye vipato kama wafanya biashara ndio watoa rushwa wakubwa. Jambo la msingi hapa ni kuwa hakuna utashi wa kushughulikia rushwa kuanzia ngazi za juu hadi chini. Vyombo vya kuhughulikia rushwa kama takkukuru na polisi vinawajibika kwa baadhi ya viongozi.Hivi takukuru itaweza kumchunguza Rais au waziri mkuu maana ndio hao walimpa mkuu wa taasisi hiyo kazi. Matokeo yake zile rushwwa kubwa zinazotikisa taifa kiuchumi na kimaadili zinaundiwa maneno matamu kama takrima,kuundiwa tume,kushughulikiwa na mamlaka husika n.k. Sasa mimi kama mkuu wa kaidara kangu nina sababu gani ya kumkabili askari au mwalimu &#8216;anayejikimu&#8217; kwa 30,000 kama wale wenye mishahara ya mamilioni bado wanakula rushwa za umeme,madini!!!!</p>
<p>Hakuna njia nyingine isipokuwa kuwa na chombo huru ambacho hakina uhusiano na Rais wala serikali katika utendaji wake.Hii takukuru ni chombo cha kuwaosha &#8216;papa&#8217; kama tulivyoona Richmond na kuwahukumu walimu,matabibu na trafiki. Huwezi kumsafisha mtu kama wewe ni mchafu.Ingawa tunasema  rushwa ni rushwa iweje rushwa ya 30,000 ihukumiwe na ileya IPTL na mikataba mibovu iachwe?</p>
<p>Na mwisho kama viongozi wanachaguana kwa jenda,na urafiki ni nani atawawajibisha wakila rushwa? kwani mumesahau kuwa kuna bodi imesema fulani ndiye mhusika,je ameshughulikiwa vipi. sasa mimi kwanini ni jali na kukekea rushwa kama wale wanaohubiri hawatendi wasemayo.</p>
<p>Tatizo si mishahara,ni kukosa utashi na viongozi wasafi ambao watasimama na kuikemea kama akina Mwl.Nyerere na sokoine. Jiulize utakamata vipi wala rushwa kama una biashara za migodi ya makaa na biashara ukiwa ofisi kuu ya nchi.<br />
Takukuru si lolote si chochote ni chombo cha kuwasafisha wakishasafisha mali zetu.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: tish</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/comment-page-1/#comment-4798</link>
		<dc:creator>tish</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 03 Jan 2008 20:03:26 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/#comment-4798</guid>
		<description>Mie nishatoa rushwa tena mbele ya polisi wa takuru nae aliipokea sasa nifanyeje na nilikuwana shida ya haraka? nyie nendeni pale mnazi mmoja kwenye chanjo yani hadi raha unatoa harafu unapata yellow card, bongo tambalale bwana</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mie nishatoa rushwa tena mbele ya polisi wa takuru nae aliipokea sasa nifanyeje na nilikuwana shida ya haraka? nyie nendeni pale mnazi mmoja kwenye chanjo yani hadi raha unatoa harafu unapata yellow card, bongo tambalale bwana</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Majita</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/comment-page-1/#comment-4797</link>
		<dc:creator>Majita</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 03 Jan 2008 19:54:47 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/03/rushwa-ni-aduinani-alaumiwe/#comment-4797</guid>
		<description>Nimewahi kupokea SANA tu na kutoa rushwa SANA.Nilitoa rushwa kwa mara ya mwisho Arusha baada ya kukamatwa na ofisa wa PCB-TAKUKURU nikipokea rushwa.Ilibidi nitoe rushwa kwa PCB ili mambo yaishe na kweli baada ya kumpa mrungula hakunipeleka kokote mbali na kunipa warning ya kupunguza kasi.

Eti PCB walitetea RICHMOND eti hapakuwa na rushwa katika mkataba huo.Mmmmh kazi ipo.Sasa bunge linaunda tume ya nini wakati PCB keshasema Richmond ni wasafi?????

Polisi na mahakimu hawapokei rushwa.Wanapewa tip tu</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nimewahi kupokea SANA tu na kutoa rushwa SANA.Nilitoa rushwa kwa mara ya mwisho Arusha baada ya kukamatwa na ofisa wa PCB-TAKUKURU nikipokea rushwa.Ilibidi nitoe rushwa kwa PCB ili mambo yaishe na kweli baada ya kumpa mrungula hakunipeleka kokote mbali na kunipa warning ya kupunguza kasi.</p>
<p>Eti PCB walitetea RICHMOND eti hapakuwa na rushwa katika mkataba huo.Mmmmh kazi ipo.Sasa bunge linaunda tume ya nini wakati PCB keshasema Richmond ni wasafi?????</p>
<p>Polisi na mahakimu hawapokei rushwa.Wanapewa tip tu</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
