Pichani ni mtangazaji na mwandishi wa kituo cha televisheni cha ITV- Tanzania chenye makao yake makuu jijini Dar-es-salaam, Stephen Chuwa, siku alipofunga pingu za maisha hivi karibuni jijini Dar-es-salaam.BC inawatakia Mr.and Mrs.Chuwa maisha mema ya ndoa.

Picha kwa hisani ya Mpoki Bukuku

Feedback / Comments

18 Responses to “MTANGAZAJI ANAPOPATA JIKO.”

  1. Comment by Edwin Ndaki on January 8th, 2008 4:33 pm

    Maisha mema na yenye baraka kwenye ndoa yenu.

    nakupongeza pia kwenye kwenye fani yako upo makini sana na siku hadi siku unazidi kuja juu zaidi.

    kazi njema Steven Chuwa….waaaaa aitiviiiiiiiiii

  2. Comment by Upendo Furaha on January 8th, 2008 6:32 pm

    Hongereni sana Stephen Chuwa kwa kuamua kuuaga Ukapera.
    Mungu Mwenyezi aliyekulinda na kukuongoza kuanzia ulipo zaliwa hadi leo, aendelee kuwalinda na kuwaongozeni Wewe & Mkeo na “Watoto” wenu muweze kuishi Maisha marefu yaliyojaa upendo na kusameheana katika ndoa yenu. Mwenyezi Mungu awabariki sana.

  3. Comment by Mchunguzi on January 9th, 2008 4:50 am

    Yaani we BC mpaka saa hizi saa 6.30 mchana(1230hrs EAT) we kalenda yako bado inaonyesha ni tarehe 8 tu?
    We vipi?

  4. Comment by jackline on January 9th, 2008 4:56 am

    mnapendeza sana hongera Chuwa kwa kupata Jiko

  5. Comment by Matty on January 9th, 2008 6:37 am

    Hongereni!!!!!mmependeza sana hasa mdada unarangi nzuri…samahani msijesema na wabagua weupe no! nimeona nimpe sifa yake.

  6. Comment by tish on January 9th, 2008 7:34 am

    hongera chuwa mie jirani yako mikocheni chama

  7. Comment by Lady Mere on January 9th, 2008 11:23 am

    hongeraaaaa steven chuwaaa waaa aitiviiiiiii….
    Kutoka itviiiiiiiiiiiiiiiii ni mimi steven chuwaaaa waa aitiviiiiii

  8. Comment by any on January 9th, 2008 11:24 am

    mkaka smileeeeeeeeeeeeeee bwana, mbona umenuna, unamtisha wifi na hiyo serious look.! wifi mzuri sana, karibu wifi nyumbani!

  9. Comment by manka on January 9th, 2008 11:52 am

    si mchezo kaka stephen chua wa kule kule kilimanjaro.hongereni kwa kuondokana na ukapera kwani ni siku yako muhimu sana hiyo. kweli mmependeza sana. nawatakia maisha yenye baraka kwenye ndoa yanu.

  10. Comment by Matilda on January 10th, 2008 1:41 am

    Ni mimi stiviniiiiiiii chuwa wa itvvvvvv,hongera,nendeni mkaongezeke duniani kote.

  11. Comment by Kekue on January 10th, 2008 7:24 am

    Stiven chuwa wa itviiiiiiiiii, kiburudisho chako kina pozi balaaa!! hongereni sn.

  12. Comment by fukara on January 10th, 2008 8:54 am

    Hongera sana kaka ninawatakieni ndoa yenye baraka amani na Upendo amin.
    Sijui kaka wewe unaundugu na Theobard Chuwa maana nilisoma naye URU seminary sasa ni mamiaka mengi sana sijawasiliana ni mimi mdau niko Ughaibuni nikisaka nondo.
    Kila la kheri kaka

  13. Comment by Muhidin Michuzi on January 15th, 2008 9:43 am

    KAKA STEPHEN HONGERA SANA.

    BAHATI MBAYA SIKUWEPO, ILA NASIKIA HARUSI ILIFANA NA WADAU WOTE WA HABARI (ISIPOKUWA MIMI) WALIKUWEPO.

    KARIBU KWENYE KLABU HII MAARUFU YA NDOA LIFE CLUB. WASIKUDANGANYE ETI WALIO NDANI WANATAKA KUTOKA NA WALIO NJE WANATAKA KUINGIA. SIKU HIZI NI WEWE TU NA MAHESABU YAKO. MENGINE PROPAGANDA.

  14. Comment by Janet on January 16th, 2008 9:01 am

    mmmmmhhhhhh jaman huyo wifi wala sio mzuri kabisa sijampenda looooh!!!!!!

  15. Comment by Pope on January 20th, 2008 7:01 am

    Hahaha michuzi bwana!!!
    ama kweli Ling’ong’o si issue!!

  16. Comment by blackis is beuty on January 25th, 2008 6:56 am

    Nimempenda sana huyo wifi yetu….yuko bomba
    Janet acha hizo hukuii………kila mtu ameubwa kwa utukufu wa Mungu.Mbona Chuwa hajakuoa wewe?
    Kila mtu na chaguo lake jamani….uwiiii…mkoje?

  17. Comment by chuwa stephen on March 17th, 2008 6:02 am

    washikaji nawafagilia wote kwa maoni yenu . hili ni tukio la kihistoria kwangu kwa kuwa halirudiwi.

    mzee michuzi pole kwa kutokuwepo ingawa tumewakilisha, ahsanteni na mungu aawabariki saaaana.

  18. Comment by Anna on October 23rd, 2008 3:05 am

    Siishi hamu kuangalia hii picha huyu kaka amefanana na BF wangu sana. Pozz zake, tabasamu lake na hata shape yake ama kweli duniani wawili wawili, ITV wasipomuonyesha kwenye ripoti huwa naumia sana isistoshe BF wangu yupo mbali nami.

Leave a Reply