<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: BADO TUNAKUKUMBUKA</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2008/01/10/bado-tunakukumbuka/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/10/bado-tunakukumbuka/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Fri, 10 Feb 2012 07:26:05 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: Simon Kizito</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/10/bado-tunakukumbuka/comment-page-1/#comment-4906</link>
		<dc:creator>Simon Kizito</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 31 Jan 2008 19:24:05 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/10/bado-tunakukumbuka/#comment-4906</guid>
		<description>Hongera BC...hawa ndo ma celebrity wa kweli si hawa wababaishaji wa fleva. Lete raha BC!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hongera BC&#8230;hawa ndo ma celebrity wa kweli si hawa wababaishaji wa fleva. Lete raha BC!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Kajura Hamisi</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/10/bado-tunakukumbuka/comment-page-1/#comment-4905</link>
		<dc:creator>Kajura Hamisi</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 15 Jan 2008 06:44:34 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/10/bado-tunakukumbuka/#comment-4905</guid>
		<description>Hongera Bongo Celebrity....hawa ndio ma celebrity wa kweli sio hawa kina yakhe mavi ya nani (Fleva). Leteni raha na kupaisha muziki wetu wa asili si wa kuletewa kwenye sahani na kubatiza jina kuwa ni wetu.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hongera Bongo Celebrity&#8230;.hawa ndio ma celebrity wa kweli sio hawa kina yakhe mavi ya nani (Fleva). Leteni raha na kupaisha muziki wetu wa asili si wa kuletewa kwenye sahani na kubatiza jina kuwa ni wetu.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Freddy Macha</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/10/bado-tunakukumbuka/comment-page-1/#comment-4904</link>
		<dc:creator>Freddy Macha</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 11 Jan 2008 00:18:00 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/10/bado-tunakukumbuka/#comment-4904</guid>
		<description>Nakumbuka nikicheza Afrosa pale hoteli ya Princess, Dar...mtaa wa Mnazi Mmoja. Enzi hizo tulikuwa na mabugi. Madensi ya vijana saa za mchana, maana wanafunzi mashuleni hatukuruhusiwa kwenda dansi za usiku.
Balisidja alikuwa mmoja wa waanzilishi rasmi wa mseto wa ngoma zetu za asili na blues/ funk. Kitu hiki kilienezwa na wanamuziki wa Afrika Magharibi akina Osibisa, Fela Kuti na Manu Di Bangu.
Afro 70 lakini waliangushw ana ukosefu wa studio za muziki Bongo. Siku hizi wanamuziki wa kizazi kipya wanarekodi tu kirahisi. Enzi hizo mastaa wetu waliishia tu kapuni. Moja ya tatizo la bendi kama Afro 70, Sunburst, Marijani na Mbaraka Mwinshehe kutojulikana sana kimataifa ni hilo. Kutorekodi.
Heko BC kwa kumtoa Patrick.
Mungu ailaze roho yake pema peponi.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nakumbuka nikicheza Afrosa pale hoteli ya Princess, Dar&#8230;mtaa wa Mnazi Mmoja. Enzi hizo tulikuwa na mabugi. Madensi ya vijana saa za mchana, maana wanafunzi mashuleni hatukuruhusiwa kwenda dansi za usiku.<br />
Balisidja alikuwa mmoja wa waanzilishi rasmi wa mseto wa ngoma zetu za asili na blues/ funk. Kitu hiki kilienezwa na wanamuziki wa Afrika Magharibi akina Osibisa, Fela Kuti na Manu Di Bangu.<br />
Afro 70 lakini waliangushw ana ukosefu wa studio za muziki Bongo. Siku hizi wanamuziki wa kizazi kipya wanarekodi tu kirahisi. Enzi hizo mastaa wetu waliishia tu kapuni. Moja ya tatizo la bendi kama Afro 70, Sunburst, Marijani na Mbaraka Mwinshehe kutojulikana sana kimataifa ni hilo. Kutorekodi.<br />
Heko BC kwa kumtoa Patrick.<br />
Mungu ailaze roho yake pema peponi.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Edwin Ndaki</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/10/bado-tunakukumbuka/comment-page-1/#comment-4903</link>
		<dc:creator>Edwin Ndaki</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 10 Jan 2008 08:23:30 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/10/bado-tunakukumbuka/#comment-4903</guid>
		<description>Duu.leo kweli mmenikumbusha selebriti halisi wa kibongo.

Mwenyezi Mungu ilaze roho yake mahali pema peponi.Siku zote zinapotoea rabsha,maonevu,matumizi ya nguvu kupita kiasi,usisafi namkumbuka mzee huyu kwa wimbo wake &quot;DUNIA YA MASHAKA&quot;...

Anasema kwenye moja mstarii..wemaaaaaa hawanaaa maishaaa.....</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Duu.leo kweli mmenikumbusha selebriti halisi wa kibongo.</p>
<p>Mwenyezi Mungu ilaze roho yake mahali pema peponi.Siku zote zinapotoea rabsha,maonevu,matumizi ya nguvu kupita kiasi,usisafi namkumbuka mzee huyu kwa wimbo wake &#8220;DUNIA YA MASHAKA&#8221;&#8230;</p>
<p>Anasema kwenye moja mstarii..wemaaaaaa hawanaaa maishaaa&#8230;..</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-11 11:11:46 -->
