<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: BIBI TITI,WIKIPEDIA</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Fri, 10 Feb 2012 07:26:05 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: Abdalla</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/comment-page-1/#comment-133841</link>
		<dc:creator>Abdalla</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 07 Mar 2011 05:32:32 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/#comment-133841</guid>
		<description>Ni kweli bibi huyu alikuwa mwanamke wa shoka sasa hatuna tena aina kama hii ya wanawake Tanzania</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ni kweli bibi huyu alikuwa mwanamke wa shoka sasa hatuna tena aina kama hii ya wanawake Tanzania</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: NASSOR JANGWA</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/comment-page-1/#comment-133046</link>
		<dc:creator>NASSOR JANGWA</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 03 Mar 2011 19:24:45 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/#comment-133046</guid>
		<description>M/mungu ailaze roho ya marehemu bibi Titi peponi aamin......... Ni kweli kabisa kuna umuhimu mkubwa wa kuielimisha jamii yetu watu hawa ambao ni muhimu sana ktk historia ya taifa letu!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>M/mungu ailaze roho ya marehemu bibi Titi peponi aamin&#8230;&#8230;&#8230; Ni kweli kabisa kuna umuhimu mkubwa wa kuielimisha jamii yetu watu hawa ambao ni muhimu sana ktk historia ya taifa letu!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: munna</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/comment-page-1/#comment-31592</link>
		<dc:creator>munna</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 05 Dec 2009 13:26:05 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/#comment-31592</guid>
		<description>nasema asanten sana kwa wote wanao mkumbuka bibi yangu kwani bila ya yeye wanawake tusinge weza kufika hapa tulipo fikia. na kazi kubwa sana alioifanya hapa nchin kwetu basi tuendelee kumkumbuka mara kwa mara bibi yetu huyu wa TANU.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>nasema asanten sana kwa wote wanao mkumbuka bibi yangu kwani bila ya yeye wanawake tusinge weza kufika hapa tulipo fikia. na kazi kubwa sana alioifanya hapa nchin kwetu basi tuendelee kumkumbuka mara kwa mara bibi yetu huyu wa TANU.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Penye Moshi Pana Moto</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/comment-page-1/#comment-29750</link>
		<dc:creator>Penye Moshi Pana Moto</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 07 Nov 2009 04:28:19 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/#comment-29750</guid>
		<description>Je nini kilichowakuta bibi titi mohamed na sheikh suleiman takadiri ambao wote ni vigogo wa TANU?  wote walitengwa na marafiki na ndugu zao, wakakebehiwa na mwisho wakafa vifo vya upweke kabisa.. Usimpinge baba julius, lake lazima lipite!!!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Je nini kilichowakuta bibi titi mohamed na sheikh suleiman takadiri ambao wote ni vigogo wa TANU?  wote walitengwa na marafiki na ndugu zao, wakakebehiwa na mwisho wakafa vifo vya upweke kabisa.. Usimpinge baba julius, lake lazima lipite!!!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: FIDELIS FESTUS</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/comment-page-1/#comment-25007</link>
		<dc:creator>FIDELIS FESTUS</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 30 Jul 2009 09:30:12 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/#comment-25007</guid>
		<description>Nyie niwa ukweli kwa tafiti na nimewasoma nawapa big up sana</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nyie niwa ukweli kwa tafiti na nimewasoma nawapa big up sana</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: titi</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/comment-page-1/#comment-5038</link>
		<dc:creator>titi</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 22 Jan 2008 18:55:08 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/#comment-5038</guid>
		<description>Nawapeni Ongera sana kwa kuanzisha website hii kwani siku zote nilikuwa nasema wanawake wa tanzania siwaelewi wanawezaje kukumbuka siku ya kuanzimisha siku ya wanawake tanzanina bila ya kumkumbuka  mwanzilishi mwanzilishi wa chama hicho na mpigania haki za wanawake ktk uongozi wakati huo hakika bibi huyo aliona mbali ingawa hakusoma kama hao waliosoma sasa.Ongereni sana mimi ni mjukuu halisi wa bibi huyo.MUNGU AILAZE PEPONI ROHO YAKE AMINA</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nawapeni Ongera sana kwa kuanzisha website hii kwani siku zote nilikuwa nasema wanawake wa tanzania siwaelewi wanawezaje kukumbuka siku ya kuanzimisha siku ya wanawake tanzanina bila ya kumkumbuka  mwanzilishi mwanzilishi wa chama hicho na mpigania haki za wanawake ktk uongozi wakati huo hakika bibi huyo aliona mbali ingawa hakusoma kama hao waliosoma sasa.Ongereni sana mimi ni mjukuu halisi wa bibi huyo.MUNGU AILAZE PEPONI ROHO YAKE AMINA</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: ndesanjo</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/comment-page-1/#comment-5037</link>
		<dc:creator>ndesanjo</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 19 Jan 2008 13:46:19 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/#comment-5037</guid>
		<description>BC mmesema sawa kabisa. Asante kwa kutumia mfano huu wa Bibi Titi kuonyesha umuhimu wa kujihusisha na mradi kama wa Wikipedia ya Kiswahili ili tuweze kuenzi watu kama hawa kwa kuweka rekodi nzuri ya maisha na kazi zao kwa ajili yetu na vizazi vijavyo.

Anayependa kushiriki kuandika Wikipedia, anachotakiwa kufanya ni kwenda hapa: www.sw.wikipedia.org
Maelezo ya jinsi ya kushiriki sio magumu kuyaelewa.

Au pia unaweza kusoma makala hii ya &quot;Wikipediolojia&quot; inayoeleza jinsi ya kuhariri na kuandika makala kwenye Wikipedia:

http://www.jikomboe.com/?p=1573</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>BC mmesema sawa kabisa. Asante kwa kutumia mfano huu wa Bibi Titi kuonyesha umuhimu wa kujihusisha na mradi kama wa Wikipedia ya Kiswahili ili tuweze kuenzi watu kama hawa kwa kuweka rekodi nzuri ya maisha na kazi zao kwa ajili yetu na vizazi vijavyo.</p>
<p>Anayependa kushiriki kuandika Wikipedia, anachotakiwa kufanya ni kwenda hapa: <a href="http://www.sw.wikipedia.org" rel="nofollow">http://www.sw.wikipedia.org</a><br />
Maelezo ya jinsi ya kushiriki sio magumu kuyaelewa.</p>
<p>Au pia unaweza kusoma makala hii ya &#8220;Wikipediolojia&#8221; inayoeleza jinsi ya kuhariri na kuandika makala kwenye Wikipedia:</p>
<p><a href="http://www.jikomboe.com/?p=1573" rel="nofollow">http://www.jikomboe.com/?p=1573</a></p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: amina</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/comment-page-1/#comment-5036</link>
		<dc:creator>amina</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 18 Jan 2008 11:47:45 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/#comment-5036</guid>
		<description>jamani wakubwa wa nchi lakini wanafaidi..mi namjua bibi titi tulikua tunakaa nae upanga watoto na wajukuu wote wapo mtoni...hiyo historia unaweza ukaiongezea hapo ndugu mwandishi au nimetoka nje ya topic</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>jamani wakubwa wa nchi lakini wanafaidi..mi namjua bibi titi tulikua tunakaa nae upanga watoto na wajukuu wote wapo mtoni&#8230;hiyo historia unaweza ukaiongezea hapo ndugu mwandishi au nimetoka nje ya topic</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Upendo Furaha</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/comment-page-1/#comment-5034</link>
		<dc:creator>Upendo Furaha</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 17 Jan 2008 18:22:02 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/#comment-5034</guid>
		<description>Ukiona vinaelea, ujue vimeundwa.
Ndugu wadau wenzangu wa B.C. Tujue kuwa ukiona Nchi yetu ilipofika sasa, kuna watu ambao walijitoa Mhanga kwa ajili ya maendeleo yake.
Hivyo tumshukuru Mungu kwa kutunyanyulia watu hao (Nyerere na Bibi Titi) ambao ndio Waanzilishi wa Taifa letu.
Mungu Ibariki Tanzania. Mungu Ibariki Afrika, Mungu wabariki Walimwengu.
Nawasilisha.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ukiona vinaelea, ujue vimeundwa.<br />
Ndugu wadau wenzangu wa B.C. Tujue kuwa ukiona Nchi yetu ilipofika sasa, kuna watu ambao walijitoa Mhanga kwa ajili ya maendeleo yake.<br />
Hivyo tumshukuru Mungu kwa kutunyanyulia watu hao (Nyerere na Bibi Titi) ambao ndio Waanzilishi wa Taifa letu.<br />
Mungu Ibariki Tanzania. Mungu Ibariki Afrika, Mungu wabariki Walimwengu.<br />
Nawasilisha.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Dinah</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/comment-page-1/#comment-5033</link>
		<dc:creator>Dinah</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 17 Jan 2008 14:24:20 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/2008/01/15/bibi-titiwikipedia/#comment-5033</guid>
		<description>Bibi Titi alikuwa mwanamke wa kwanza ktk mengi Tanzania sambamba na Kawawa, Nyerere as kwa mwanamke alipaswa kukumbukwa zaidi ya jina lake kuwa jina la barabara hapo ktkati ya jiji.......Jamii na Taifa kwa ujumla inaonyesha kusahau kiaina. Wanawake wanaharakati embu mkumbukeni Bibi yetu huyu ei?

Samahani nimetoka nje yakinachozungumzia.....

*Nikirudi kwenye mada husika, ni kweli kabisa mimi nitakwenda kuandika au kuongezea historia ya Sitta (spika wa Bunge), Hayati Maswanya na Hayati Korimba.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Bibi Titi alikuwa mwanamke wa kwanza ktk mengi Tanzania sambamba na Kawawa, Nyerere as kwa mwanamke alipaswa kukumbukwa zaidi ya jina lake kuwa jina la barabara hapo ktkati ya jiji&#8230;&#8230;.Jamii na Taifa kwa ujumla inaonyesha kusahau kiaina. Wanawake wanaharakati embu mkumbukeni Bibi yetu huyu ei?</p>
<p>Samahani nimetoka nje yakinachozungumzia&#8230;..</p>
<p>*Nikirudi kwenye mada husika, ni kweli kabisa mimi nitakwenda kuandika au kuongezea historia ya Sitta (spika wa Bunge), Hayati Maswanya na Hayati Korimba.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-11 11:22:37 -->
