Afrika kuna vipaji.Kama huamini mcheki huyu binti wa miaka 18 tu anayeitwa Nokulunga Buthelezi kutoka Afrika Kusini. Hivi sasa ametokea kuwa gumzo katika nchi za Ulaya na Marekani.Wengine wanamuita SnakeGirl.Tizama video hapo chini na kisha soma habari zake na kuangalia picha zake kama zilivyoandikwa na zinavyoonekana katika gazeti la Mail on Sunday la Uingereza kwa kubonyeza hapa.

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

Feedback / Comments

13 Responses to “TALENT FROM AFRICA!”

  1. Comment by Upendo Furaha on January 20th, 2008 1:40 pm

    Asanteni sana B.C. kwa kutupa burudani kama hizi.
    Kweli huyu ni “Snake girl”
    Kwa kweli, Afrika kuna vipaji. Pia inaonekana kuna vipaji vingine vingi ambavyo havijaendelezwa au kuonekana.

  2. Comment by Edwin Ndaki on January 20th, 2008 4:33 pm

    Huyu binti hama hakika ana kipaji kizuri nasema hongera.

    Lakini kumbukumbu zangu zipo njema.Kuna mtoto yupo shinyanga nilibahatika kuona habari yake mwaka 2004 kupitia kituo cha Star Tv.

    Yote aliyoyafanya huyo dada yu le dogo anayafanya.Tatizo yule dogo kakosa watu wakuendeleza vipaji.Na ninayo imani kubwa kuna vijana wengi bongo wenye uwezo wa kufanya yote hayafanyao huo binti,tatizo ni PROMO..kama alivyo imba mmoja wa wasanii kutoka arusha..ingawa na yeye simsikii sijui tatizo ndio Promo.

    Mapromoto wa bongo hawana lengo la kuendeleza vipaji.Lengo lao ni kutumia vipaji.

    hapo kazi ipo/

    ene wei tutafika tu.

  3. Comment by Chris on January 20th, 2008 5:53 pm

    Ana mifupa kweli? Aiseeeeee….. Its God-given…

  4. Comment by lydia on January 20th, 2008 7:25 pm

    Oh My good load. yaani when she was doing I felt like I was the one who was hurting. yaani good job and give praise to God.

  5. Comment by QWERTYUIOP on January 21st, 2008 1:54 am

    Ouch,that looked damn painful

  6. Comment by Mdau on January 21st, 2008 6:28 am

    Dah! nami chris nilitaka jua kama wewe hvi mfupa upo kweli????? dah burudan moja nzuri sanaa.Hongera zake.

  7. Comment by Msukuma wa shy on January 21st, 2008 9:37 pm

    Mmh nimesisimka utasema naona nyoka vile duu,huyu dada ana mifupa jamani?mmh haumii kweli??Ndaki huyo wa shy sehemu gani?mimi wa huko embu nipe data zake plz.

  8. Comment by mariapaulo on January 22nd, 2008 12:31 am

    nakupenda sana wewe dada

  9. Comment by mariapaulo on January 22nd, 2008 12:36 am

    mungu akubariki unakipaji poa sana

  10. Comment by annabell on January 22nd, 2008 4:31 pm

    daaah hii imenifungia mwaka 2008 still i get nightmares
    mambo kwelikweli

  11. Comment by Kekue on January 23rd, 2008 5:18 am

    Mungu wangu hivi ni mazoezi tu mtu unakuwa hivi au manake inatisha? Hongera sana!!! Lkn nimeogopa!!!

  12. Comment by chaos! on January 25th, 2008 5:16 am

    I do doubt if she can have a baby umm if she can cinceive. very impressive.

  13. Comment by BongoSamurai on January 25th, 2008 9:50 am

    Mwili bila mifupa..!Mhh ajabu na kweli.

Leave a Reply