<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: KIKWETE MWENYEKITI MPYA AU</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sat, 11 Feb 2012 15:21:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: S.S.Kibwana</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/comment-page-1/#comment-31923</link>
		<dc:creator>S.S.Kibwana</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 10 Dec 2009 23:41:31 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=916#comment-31923</guid>
		<description>Narekebisha makosa katika comment iliyopita. sehemu ya mwisho inayohusu mradi usiokamilika. ni kuwa:- mradi usiokamilishwa utakuja kumega  tu sehemu ya bajeti ya mwaka mwingine mpya wa fedha. Mh Rais, nakutakia kila la kheri. Mungu Ibariki Tz na wananchi wake. Mungu ibariki Africa.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Narekebisha makosa katika comment iliyopita. sehemu ya mwisho inayohusu mradi usiokamilika. ni kuwa:- mradi usiokamilishwa utakuja kumega  tu sehemu ya bajeti ya mwaka mwingine mpya wa fedha. Mh Rais, nakutakia kila la kheri. Mungu Ibariki Tz na wananchi wake. Mungu ibariki Africa.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: S.S.Kibwana</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/comment-page-1/#comment-31921</link>
		<dc:creator>S.S.Kibwana</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 10 Dec 2009 23:31:34 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=916#comment-31921</guid>
		<description>Mh. Raisi Hongera sana kwa kuwa kiongozi wa Taifa kwa muhula huu na huenda ukapata muhula ujao pia. Mheshimiwa, mimi nimekuwa nikifuatilia sana yale uyasemayo na kuyatenda, na kwa kiasi fulani nimeridhishwa sana na utendaji wako au serikali uiongozayo. Lakini hata hivyo kitu ambacho sikifurahii ni kutokamilisha miradi muhimu ya taifa inayotuama katika miundo mbinu. Ningependa kuona kuwa kila muhula panakuwepo miradi maalumu inayokamilishwa kutokana na kiasi kidogo cha fedha zinazokusanywa kama ni kodi ya mapato ya taifa. Badala ya kuendelea kutengemea misaada wakati ambapo tunatambua fika kuwa baadhi ya nyakati nchi rafiki zinazotusaidia kuwa hazifanikishi utekelezaji wa ahadi zao. Kwa hivyo basi, kwa nini tusijitegemee? Mheshimiwa raisi natambua fika kuwa ukumbi huu ni wa wataz na huwenda ukawa hautazamwi mara kwa mara. Lakini ukipata nafasi ya kuuchungulia basi tafadhali, chonde chonde, fanya ufanyavyo, lakini hakikisha kuwa malengo machache yanayotekelezeka kwa mwaka kwa mfano, ni bora kuliko malengo makubwa ya miradi mikubwa isiyotekelezeka au kutokamilika. Kumbuka kuwa hatua moja mbele ni utekelezaji wa mradi wowote wa taifa kiukamilifu, na kurejea nyuma ni kutokamilisha mradi wowote wa taifa. Kwa kuwa mradi usiokamilishwa, utakuja kumea tu sehemu ya bajeti ya mwaka mwingine mpya wa fedha. Mh Rais, nakutakia kila la kheri. Mungu Ibariki Tz na wananchi wake. Mungu ibariki Africa.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mh. Raisi Hongera sana kwa kuwa kiongozi wa Taifa kwa muhula huu na huenda ukapata muhula ujao pia. Mheshimiwa, mimi nimekuwa nikifuatilia sana yale uyasemayo na kuyatenda, na kwa kiasi fulani nimeridhishwa sana na utendaji wako au serikali uiongozayo. Lakini hata hivyo kitu ambacho sikifurahii ni kutokamilisha miradi muhimu ya taifa inayotuama katika miundo mbinu. Ningependa kuona kuwa kila muhula panakuwepo miradi maalumu inayokamilishwa kutokana na kiasi kidogo cha fedha zinazokusanywa kama ni kodi ya mapato ya taifa. Badala ya kuendelea kutengemea misaada wakati ambapo tunatambua fika kuwa baadhi ya nyakati nchi rafiki zinazotusaidia kuwa hazifanikishi utekelezaji wa ahadi zao. Kwa hivyo basi, kwa nini tusijitegemee? Mheshimiwa raisi natambua fika kuwa ukumbi huu ni wa wataz na huwenda ukawa hautazamwi mara kwa mara. Lakini ukipata nafasi ya kuuchungulia basi tafadhali, chonde chonde, fanya ufanyavyo, lakini hakikisha kuwa malengo machache yanayotekelezeka kwa mwaka kwa mfano, ni bora kuliko malengo makubwa ya miradi mikubwa isiyotekelezeka au kutokamilika. Kumbuka kuwa hatua moja mbele ni utekelezaji wa mradi wowote wa taifa kiukamilifu, na kurejea nyuma ni kutokamilisha mradi wowote wa taifa. Kwa kuwa mradi usiokamilishwa, utakuja kumea tu sehemu ya bajeti ya mwaka mwingine mpya wa fedha. Mh Rais, nakutakia kila la kheri. Mungu Ibariki Tz na wananchi wake. Mungu ibariki Africa.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: kijiwe</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/comment-page-1/#comment-5659</link>
		<dc:creator>kijiwe</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 05 Feb 2008 11:49:47 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=916#comment-5659</guid>
		<description>2faced</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>2faced</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: tonny</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/comment-page-1/#comment-5658</link>
		<dc:creator>tonny</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 04 Feb 2008 14:11:54 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=916#comment-5658</guid>
		<description>Nakupongeza Rais Kikwete kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa sasa wa Au!LAKINI, utambue unakabiliwa na Kibarua kigumu.Kuwa M/Kiti wa AU ujue ni kuwa M/KITI wa kusuluhisha migogoro isiyokwisha barani Afrika.Ili uepukane na ile dhana ya &#039;Kesi ya Nyani kupelekewa Ngedere&#039;,itakulazimu ufanye jitihada za ziada kusafisha uchafu wote uliokithiri katika safu ya uongozi katika ngazi zote hapa nchini ili uwe na timu adilifu ya kukusaidia katika majukumu hayo pamoja na mengine!Ukihitajika ukasuluhishe mgogoro wa kisiasa uliotokana na kutokuwepo kwa utawala bora na wa Demokrasia,basi Tanzania itatakiwa iwe mfano bora na kielelezo makini cha usuluhishi katika hilo;ukihitajika ukasuluhishe mgogoro wa kisiasa uliosababishwa na kutokuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi, basi Tanzania itatakiwa iwe mfano bora na kielelezo halisi katika hilo;Ukitakiwa ukakemee ukabila na ubaguzi wa aina yoyote katika sehemu nyingine ya bara la Afrika, basi Tanzania iwe mfano bora katika hilo;ukitakiwa ukasuluhishe mgogoro wa kisiasa uliosababishwa na Katiba iliyopitwa na wakati au Katiba inayolinda maslahi ya wachache wenye nacho na kupuuzia misingi yote muhimu ya demokrasia ya vyama vingi vya siasa,basi Tanzania iwe mfano bora katika hilo!Na mengine mengi.Utakapo lazimika kuwanyooshea kidole wenzetu wenye migogoro katika nchi zingine barani Afrika, watanzania tuwe tayari kukosolewa kwa mapungufu tuliyonayo.Huo ndiyo ugumu wa majukumu yatakayo kukabili Rais Kikwete katika kutekeleza wajibu wako kama Mwenyekiti wa AU mwaka huu.Hakuna lisilo wezekana.Tanzania ilijiwekea rekodi safi sana katika kusaidia ukombozi wa bara la Afrika.Iwapo nia na dhamira ya kuleta mabadiliko na mageuzi ya kweli ipo, basi Rais Kikwete utakuwa na nafasi nyingine pekee ya kuweka rekodi nyingine mpya barani Afrika ya kuleta mageuzi ya kweli katika mifumo ya utawala bora itakayozingatia misingi ya demokrasia ya vyama vingi vya siasa kama inavyokubalika kimataifa.Mwenyezi Mungu akuzidishie hekima na busara ya kutenda yaliyo mema kwa jamii unayoiongoza!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Nakupongeza Rais Kikwete kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa sasa wa Au!LAKINI, utambue unakabiliwa na Kibarua kigumu.Kuwa M/Kiti wa AU ujue ni kuwa M/KITI wa kusuluhisha migogoro isiyokwisha barani Afrika.Ili uepukane na ile dhana ya &#8216;Kesi ya Nyani kupelekewa Ngedere&#8217;,itakulazimu ufanye jitihada za ziada kusafisha uchafu wote uliokithiri katika safu ya uongozi katika ngazi zote hapa nchini ili uwe na timu adilifu ya kukusaidia katika majukumu hayo pamoja na mengine!Ukihitajika ukasuluhishe mgogoro wa kisiasa uliotokana na kutokuwepo kwa utawala bora na wa Demokrasia,basi Tanzania itatakiwa iwe mfano bora na kielelezo makini cha usuluhishi katika hilo;ukihitajika ukasuluhishe mgogoro wa kisiasa uliosababishwa na kutokuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi, basi Tanzania itatakiwa iwe mfano bora na kielelezo halisi katika hilo;Ukitakiwa ukakemee ukabila na ubaguzi wa aina yoyote katika sehemu nyingine ya bara la Afrika, basi Tanzania iwe mfano bora katika hilo;ukitakiwa ukasuluhishe mgogoro wa kisiasa uliosababishwa na Katiba iliyopitwa na wakati au Katiba inayolinda maslahi ya wachache wenye nacho na kupuuzia misingi yote muhimu ya demokrasia ya vyama vingi vya siasa,basi Tanzania iwe mfano bora katika hilo!Na mengine mengi.Utakapo lazimika kuwanyooshea kidole wenzetu wenye migogoro katika nchi zingine barani Afrika, watanzania tuwe tayari kukosolewa kwa mapungufu tuliyonayo.Huo ndiyo ugumu wa majukumu yatakayo kukabili Rais Kikwete katika kutekeleza wajibu wako kama Mwenyekiti wa AU mwaka huu.Hakuna lisilo wezekana.Tanzania ilijiwekea rekodi safi sana katika kusaidia ukombozi wa bara la Afrika.Iwapo nia na dhamira ya kuleta mabadiliko na mageuzi ya kweli ipo, basi Rais Kikwete utakuwa na nafasi nyingine pekee ya kuweka rekodi nyingine mpya barani Afrika ya kuleta mageuzi ya kweli katika mifumo ya utawala bora itakayozingatia misingi ya demokrasia ya vyama vingi vya siasa kama inavyokubalika kimataifa.Mwenyezi Mungu akuzidishie hekima na busara ya kutenda yaliyo mema kwa jamii unayoiongoza!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: tonny</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/comment-page-1/#comment-5657</link>
		<dc:creator>tonny</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 04 Feb 2008 13:30:42 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=916#comment-5657</guid>
		<description>Ref.No.7 Kimori:Aise babangu......... kwa kweli umenifu.....funja mbavu zangu kweli! Ifi mbona una Big ideas hivyo kweli? Ni aja......... ajabu na kweli!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ref.No.7 Kimori:Aise babangu&#8230;&#8230;&#8230; kwa kweli umenifu&#8230;..funja mbavu zangu kweli! Ifi mbona una Big ideas hivyo kweli? Ni aja&#8230;&#8230;&#8230; ajabu na kweli!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Dumayai</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/comment-page-1/#comment-5656</link>
		<dc:creator>Dumayai</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 03 Feb 2008 19:42:58 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=916#comment-5656</guid>
		<description>Ilikuwa lazima achgaguliwe yeye siyo kwa sababu anafaa ila kulinganisha na nchi ambazo alitakiwa atoke mwenyekiti, yeye ndo pekee yupo madarakani kwa hali iliyo angalau na uhalali kwa mbali. so viongozi hakuwa na choice ila yeye.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ilikuwa lazima achgaguliwe yeye siyo kwa sababu anafaa ila kulinganisha na nchi ambazo alitakiwa atoke mwenyekiti, yeye ndo pekee yupo madarakani kwa hali iliyo angalau na uhalali kwa mbali. so viongozi hakuwa na choice ila yeye.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mmy</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/comment-page-1/#comment-5655</link>
		<dc:creator>mmy</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 02 Feb 2008 12:45:12 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=916#comment-5655</guid>
		<description>hongera Baba kikwete!!!!

Yani hapo unazidi kuitangaza Tanzania yetu.

griet Tanzaniaaaaaaaaaaaaaa!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>hongera Baba kikwete!!!!</p>
<p>Yani hapo unazidi kuitangaza Tanzania yetu.</p>
<p>griet Tanzaniaaaaaaaaaaaaaa!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: MASKINI TANZANIA</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/comment-page-1/#comment-5654</link>
		<dc:creator>MASKINI TANZANIA</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 02 Feb 2008 09:06:36 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=916#comment-5654</guid>
		<description>SIPONGEZI CHOCHOTE ILA NADHANI NDO UMASKINI UTAZIDI KUONGEZEKA KWA WA TANZANIA</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>SIPONGEZI CHOCHOTE ILA NADHANI NDO UMASKINI UTAZIDI KUONGEZEKA KWA WA TANZANIA</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Ed</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/comment-page-1/#comment-5653</link>
		<dc:creator>Ed</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 02 Feb 2008 04:02:18 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=916#comment-5653</guid>
		<description>Kimori, did u understand the arguments? if you have other points please create arguments and not otherwise. My intation was to use as simple english as posible. I guess i pursue the goal.

Let us focus on our economy, and don&#039;t be a political monga. Does Tanzania people buy the concept of JK and economy? You have arguments concern my elaborations, bring on son.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kimori, did u understand the arguments? if you have other points please create arguments and not otherwise. My intation was to use as simple english as posible. I guess i pursue the goal.</p>
<p>Let us focus on our economy, and don&#8217;t be a political monga. Does Tanzania people buy the concept of JK and economy? You have arguments concern my elaborations, bring on son.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: kijiwe</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/01/31/kikwete-mwenyekiti-mpya-au/comment-page-1/#comment-5652</link>
		<dc:creator>kijiwe</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 01 Feb 2008 23:42:24 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=916#comment-5652</guid>
		<description>we kimori mbona unamaind vitu vidogo waache ma soldier wa express wanachotaka wanavyotaka mbona unataka kujifanya BC?</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>we kimori mbona unamaind vitu vidogo waache ma soldier wa express wanachotaka wanavyotaka mbona unataka kujifanya BC?</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-11 23:54:10 -->
