
Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi, amepokea rasmi tuzo inayoheshimika ya Martin Luther King. Mengi anakuwa Mtanzania wa nane kutwaa tuzo hiyo. Kwa undani wa habari hii bonyeza hapa.BC inampongeza Mengi kwa tuzo hiyo.
Feedback / Comments
12 Responses to “MENGI APATA TUZO YA MARTIN LUTHER KING.”
Leave a Reply


sending...
Hongera sana Mzee Regnald Mengi kwa mchango wako mkubwa katika mapambano dhidi ya rushwa akitumia vyombo vya habari unavyomiliki.
Hongera sana kwa kupata tuzo ya Martin Luther King.
Ninakutakia Maisha marefu ya Upendo Furaha na Amani.
Hongera sana Mzee Reginald Mengi kwa mchango wako mkubwa katika mapambano dhidi ya rushwa ukitumia vyombo vya habari unavyomiliki.
Hongera sana kwa kupata tuzo ya Martin Luther King.
Ninakutakia Maisha marefu ya Upendo Furaha na Amani.
Laura George?!!
Laura George Kafanyaje!!
We Any Laura George katokea wapi tena hapo au unaota ndugu yangu, mbona ni nje ya mada kabisa. Any way labda una lako jambo ngoja niishie hapa.
You deserve it! Congratulations!
Nakupongeza buroooooooooNzuri!!!!!!!!! Mungu akubariki maana unamoyo wa kusaidia hasa watoto wenye matatizo ya moyo nk.
Hiyo tuzo ielekeze pia BOT kimtindo ili mafisadi waone haya maana pale ndo pananuka Rushwa sana ila tuombe mungu aiondoe hiyo rushwa maana inaudhi sanaaaaaaa watu wanajinufaisha wenyewe tu na mamigodi nk.
he mighty be corrupt himself! he is too close to serikali/watawala.
Good Job Mr Mengi, atleast your worrying about majority citizen of Tanzani
MMiiku Meengi, (Mengi kwa kichagga)
Kwaasha mbe!
Hongera kaka, Kazi na dawa. Inatia moyo na endelea kufanya Tanzania na dunia kuwa mahali pazuri pa kuishi.
KULALYE MBAKA! (USILE WALA KUPOKEA RUSHWA).
MUNGU AKUZIDISHIE MAANA UTAIPELEKA KWA WENGINE PIA KULIKO WALIMBIKIZAJI.
BIB UP
BIB UP ndio nini? Au ulimaanisha big up??