<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: KARAMAGI NA MSABAHA NAO WATANGAZA KUJIUZULU</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Mon, 15 Mar 2010 08:40:48 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.org/?v=2.9.1</generator>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<item>
		<title>By: fax</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/comment-page-1/#comment-5872</link>
		<dc:creator>fax</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 06 Jun 2008 12:02:02 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=970#comment-5872</guid>
		<description>haoooooo!!!!!! wanaume wazima na elimu yenu mnaiba  aibu
mnaaibisha familia zenu wanashindwa pa kuweka nyuso zao.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>haoooooo!!!!!! wanaume wazima na elimu yenu mnaiba  aibu<br />
mnaaibisha familia zenu wanashindwa pa kuweka nyuso zao.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: fax</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/comment-page-1/#comment-5871</link>
		<dc:creator>fax</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 06 Jun 2008 11:41:15 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=970#comment-5871</guid>
		<description>hivi ni kwa nini serekali yetu inapenda kulindana nadhani wanashiriki nao kufanya maovu, ila naamini mkono wa mungu utawaumbua hakuna chenye mwanzo kisichokuwa na mwisho.
mimi hata kama wakifia jela naona sawa tu.mmekula vya kutosha hukumu yenu imeandaliwa kama si na binadamu basi na mungu
majizi wakubwa nyie hizi ni nyakati za mwisho mtatajana tu bila kulazimishwa na mtu  na naomba kwa ajili yenu,hivi ww huoni hata aibu unakula jasho la mwenzako nakufananisha na mwanaume anayelishwa na mwanamke</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>hivi ni kwa nini serekali yetu inapenda kulindana nadhani wanashiriki nao kufanya maovu, ila naamini mkono wa mungu utawaumbua hakuna chenye mwanzo kisichokuwa na mwisho.<br />
mimi hata kama wakifia jela naona sawa tu.mmekula vya kutosha hukumu yenu imeandaliwa kama si na binadamu basi na mungu<br />
majizi wakubwa nyie hizi ni nyakati za mwisho mtatajana tu bila kulazimishwa na mtu  na naomba kwa ajili yenu,hivi ww huoni hata aibu unakula jasho la mwenzako nakufananisha na mwanaume anayelishwa na mwanamke</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: jamy</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/comment-page-1/#comment-5870</link>
		<dc:creator>jamy</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 07 Mar 2008 08:16:42 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=970#comment-5870</guid>
		<description>Yaani hawa mafisadi waliokubuhu wafanywe kitu mbaya sio wanaachwa hivi kiulaini sheria ichukue mkondo wake.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Yaani hawa mafisadi waliokubuhu wafanywe kitu mbaya sio wanaachwa hivi kiulaini sheria ichukue mkondo wake.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: fukara</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/comment-page-1/#comment-5869</link>
		<dc:creator>fukara</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 19 Feb 2008 15:54:13 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=970#comment-5869</guid>
		<description>Lione   hilo  li  haya  HALINA  HAYA   &gt;&gt;&gt;&gt;&gt;&gt;&gt;&gt;&gt;
LINAKULA  MALI  YA  UMMA
na  bado  yai   kweli  mwizi  siku  zake  40  lili  anzia  wazo  Cement  company  likaingia  Bandari  TITCS  sasa  likae3nda  hukoooo....
 Afilisiwe    na  Majangili  wenzake
  bado  wengine  akina  Diallo  ,Mramba,YONA,  ROSTAM nawengine  yapo  majizi  mengi
HUyu Lowasa  nilijua  hata  fikka  mbali  maana  amezidi  na  Ule  ubalozi  wa  south  africa  ni  jengo  lake  afilisiwe  haraka   ili kodi   iingie  serikalini  na  si  kwenye  acc.  yake
MWIZI  mkubwa
 namshukuru  saaana  mama  malecela  maana  nikiwa  bongo  nilisikiliza   kikao  cha  bunge  kujadili  Ripoti  ya  DR  MWakembe  yani  mama  alikuwa  mkali  sana na ameapa kutokomeza  ufisada
Hongereni  wananchi  wa  jimbo  la  same  mashariki  kwa  kuwa  na  MBUNGe  dawa
  kwekli  tukipata  wanawake  10  kama  hao tutafika  mbali
Ila  kikwete  bado  anazuga
  hakumteua  mama  huyu  wala  mwakyembe  kwenye  baraza  lake
we mwache  tu  aendelee  kucheza  na  watanzania</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Lione   hilo  li  haya  HALINA  HAYA   &gt;&gt;&gt;&gt;&gt;&gt;&gt;&gt;&gt;<br />
LINAKULA  MALI  YA  UMMA<br />
na  bado  yai   kweli  mwizi  siku  zake  40  lili  anzia  wazo  Cement  company  likaingia  Bandari  TITCS  sasa  likae3nda  hukoooo&#8230;.<br />
 Afilisiwe    na  Majangili  wenzake<br />
  bado  wengine  akina  Diallo  ,Mramba,YONA,  ROSTAM nawengine  yapo  majizi  mengi<br />
HUyu Lowasa  nilijua  hata  fikka  mbali  maana  amezidi  na  Ule  ubalozi  wa  south  africa  ni  jengo  lake  afilisiwe  haraka   ili kodi   iingie  serikalini  na  si  kwenye  acc.  yake<br />
MWIZI  mkubwa<br />
 namshukuru  saaana  mama  malecela  maana  nikiwa  bongo  nilisikiliza   kikao  cha  bunge  kujadili  Ripoti  ya  DR  MWakembe  yani  mama  alikuwa  mkali  sana na ameapa kutokomeza  ufisada<br />
Hongereni  wananchi  wa  jimbo  la  same  mashariki  kwa  kuwa  na  MBUNGe  dawa<br />
  kwekli  tukipata  wanawake  10  kama  hao tutafika  mbali<br />
Ila  kikwete  bado  anazuga<br />
  hakumteua  mama  huyu  wala  mwakyembe  kwenye  baraza  lake<br />
we mwache  tu  aendelee  kucheza  na  watanzania</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Global Voices Online &#187; Tanzania&#8217;s Cabinet dissolved after corruption scandal</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/comment-page-1/#comment-5868</link>
		<dc:creator>Global Voices Online &#187; Tanzania&#8217;s Cabinet dissolved after corruption scandal</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 10 Feb 2008 16:59:02 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=970#comment-5868</guid>
		<description>[...] and Minerals Nazir Karamagi and the Minister for East African Cooperation Dr. Ibrahim Msabaha by Bongo Celebrity and Charahani [...]</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>[...] and Minerals Nazir Karamagi and the Minister for East African Cooperation Dr. Ibrahim Msabaha by Bongo Celebrity and Charahani [...]</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: famo</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/comment-page-1/#comment-5867</link>
		<dc:creator>famo</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 09 Feb 2008 08:01:58 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=970#comment-5867</guid>
		<description>Mimi kutoka moyoni kwa moyo wangu huu wa kimasikini na jinsi riport ilivyoniumiza. NAWAHAKIKISHIA WANAINCHI WOTE LAZIMA NIWASHUGHULIKIE KIKAMILIFU KAMA HAWATA PELEKWA KWENYE VYOMBO VYA SHERIA ILI WAWEZE KUFUNGWA. ROHO INANIUMA SANA KUONA BADO WANAENDELEA NA UBUNGE WAKATI SIFA ZA KUWA WABUNGE HAWANA. LOWASSA *** SANA WEWE, SIO MZALENDO KABISA. SASA HAMNA WALINZI WA HALI YA JUU, NITAJITOA MUHANGA KWA AJILI YENU</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mimi kutoka moyoni kwa moyo wangu huu wa kimasikini na jinsi riport ilivyoniumiza. NAWAHAKIKISHIA WANAINCHI WOTE LAZIMA NIWASHUGHULIKIE KIKAMILIFU KAMA HAWATA PELEKWA KWENYE VYOMBO VYA SHERIA ILI WAWEZE KUFUNGWA. ROHO INANIUMA SANA KUONA BADO WANAENDELEA NA UBUNGE WAKATI SIFA ZA KUWA WABUNGE HAWANA. LOWASSA *** SANA WEWE, SIO MZALENDO KABISA. SASA HAMNA WALINZI WA HALI YA JUU, NITAJITOA MUHANGA KWA AJILI YENU</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mama wa Kichagga</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/comment-page-1/#comment-5864</link>
		<dc:creator>Mama wa Kichagga</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 08 Feb 2008 23:13:28 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=970#comment-5864</guid>
		<description>Jamani tunapoongea hapa tupige picha kule vijijini! Achilia mbali mijini ambako watu wanashindwa kumudu hata mlo mmoja! Hela waliyokuwa wanalipana kwa mwezi @ mtu mmoja ingetosha kabisa kuwalipa social benefit allowance WaTZ  milioni 4 @ mtu sh. 30,000/mwezi sawa na sh. 120,000,000,000 kwa nchi nzima!

Hii changamoto [wind of change] lihamie ndani ya mawizara na idara zote za serikali na watu binafsi kama kweli tunamedhamiria kupambana na ufisadi kwani huko ndiko visima na chemichemi za ufisadi. JK yaani ni vijikundi vya mafisadi vimejitega kila mahali vikiamini bila mission town maisha hayaendi. Watu wanaishi kama mtoto wa mama na mototo wa kambo yaani ni unyama unyama tuu. Chunguza utapata majibu haya yote na kuzidi.

NB: Mh. JK Watu wanahasira si vijijini si mijini si maofisini maana mambo yanayotendeka na hali ya maisha ilivyo ni mabaya sana.

Wito: Chagua baraza la mawaziri ambalo linaweza kuueleza umma wa Watanzania wamewahi kuufanyia nini hadi waweze kupata hizo nafasi na pia WATAWAFANYIA NINI WATANZANIA TOFAUTI NA WENZAO WALIOWATANGULIA?. Ikiwezekana unapompendekeza mtu kabla hujampitisha awasilishe ripoti ya utendaji wake kwa maandishi na mkakati anaotarajia kuufanya.

KWANINI TUSIUTANGAZE MWAKA 2008 KAMA MAALUMU KWA KAMPENI YA KUPAMBANA NA UFISADI TZ? YAANI KAZI KUBWA IWE HIYO ILI MWAKANI TUFANYE KAZI KTK MAZINGIRA YA HAKI?</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Jamani tunapoongea hapa tupige picha kule vijijini! Achilia mbali mijini ambako watu wanashindwa kumudu hata mlo mmoja! Hela waliyokuwa wanalipana kwa mwezi @ mtu mmoja ingetosha kabisa kuwalipa social benefit allowance WaTZ  milioni 4 @ mtu sh. 30,000/mwezi sawa na sh. 120,000,000,000 kwa nchi nzima!</p>
<p>Hii changamoto [wind of change] lihamie ndani ya mawizara na idara zote za serikali na watu binafsi kama kweli tunamedhamiria kupambana na ufisadi kwani huko ndiko visima na chemichemi za ufisadi. JK yaani ni vijikundi vya mafisadi vimejitega kila mahali vikiamini bila mission town maisha hayaendi. Watu wanaishi kama mtoto wa mama na mototo wa kambo yaani ni unyama unyama tuu. Chunguza utapata majibu haya yote na kuzidi.</p>
<p>NB: Mh. JK Watu wanahasira si vijijini si mijini si maofisini maana mambo yanayotendeka na hali ya maisha ilivyo ni mabaya sana.</p>
<p>Wito: Chagua baraza la mawaziri ambalo linaweza kuueleza umma wa Watanzania wamewahi kuufanyia nini hadi waweze kupata hizo nafasi na pia WATAWAFANYIA NINI WATANZANIA TOFAUTI NA WENZAO WALIOWATANGULIA?. Ikiwezekana unapompendekeza mtu kabla hujampitisha awasilishe ripoti ya utendaji wake kwa maandishi na mkakati anaotarajia kuufanya.</p>
<p>KWANINI TUSIUTANGAZE MWAKA 2008 KAMA MAALUMU KWA KAMPENI YA KUPAMBANA NA UFISADI TZ? YAANI KAZI KUBWA IWE HIYO ILI MWAKANI TUFANYE KAZI KTK MAZINGIRA YA HAKI?</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: BongoSamurai</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/comment-page-1/#comment-5866</link>
		<dc:creator>BongoSamurai</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 08 Feb 2008 14:00:47 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=970#comment-5866</guid>
		<description>Naomba kuuliza...,
Hivi hawa nao ni bongo celebrities au?</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Naomba kuuliza&#8230;,<br />
Hivi hawa nao ni bongo celebrities au?</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: BongoSamurai</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/comment-page-1/#comment-5865</link>
		<dc:creator>BongoSamurai</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 08 Feb 2008 13:37:46 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=970#comment-5865</guid>
		<description>Machoni kama watu.....
Hamna tofauti na wauaji..,mmepalilia umasikini Tanzania kwa uroho na ubinafsi wenu. Hospitali hazina dawa, shule hazina vifaa vya kutosha, maisha yanazidi kuwa magumu n.k. Kila kukicha inakuwa afadhali ya jana..!

Tanzania iliyopata uhuru miaka karibia 50 iliyopita bado inapigana na adui ujinga, maradhi na umasikini...!
Milikuwa watu wa kuhubiri msiyoyatenda na kuliigizia taifa hasara isiyoelezeka wala kuingia akilini.

MAFISADI WAKUBWA.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Machoni kama watu&#8230;..<br />
Hamna tofauti na wauaji..,mmepalilia umasikini Tanzania kwa uroho na ubinafsi wenu. Hospitali hazina dawa, shule hazina vifaa vya kutosha, maisha yanazidi kuwa magumu n.k. Kila kukicha inakuwa afadhali ya jana..!</p>
<p>Tanzania iliyopata uhuru miaka karibia 50 iliyopita bado inapigana na adui ujinga, maradhi na umasikini&#8230;!<br />
Milikuwa watu wa kuhubiri msiyoyatenda na kuliigizia taifa hasara isiyoelezeka wala kuingia akilini.</p>
<p>MAFISADI WAKUBWA.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Matty</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/07/karamagi-na-msabaha-nao-watangaza-kujiuzulu/comment-page-1/#comment-5863</link>
		<dc:creator>Matty</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 08 Feb 2008 13:03:46 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=970#comment-5863</guid>
		<description>Huyu NaE Na miwani yakeeeeeehadi nakosea spelling.mihela yote hiyo ya migodini ona walivyochoka mashavu!!!!!RUDISHENI MALI ZA UMMMAAAAAAAAAA WAFILISIWE!!!!!!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Huyu NaE Na miwani yakeeeeeehadi nakosea spelling.mihela yote hiyo ya migodini ona walivyochoka mashavu!!!!!RUDISHENI MALI ZA UMMMAAAAAAAAAA WAFILISIWE!!!!!!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
