MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    

 

Pichani ni Dr.Harrison George Mwakyembe,Mwenyekiti wa Kamati Teule iliyounda kuchunguza sakata zima la Richmond alipokuwa akiingia bungeni jana.Matokeo yake ndio haya ambayo tunaendelea kuyashuhudia.

Wajumbe wengine waliokuwa wakiunda kamati hiyo teule ni Mheshimiwa Mohamed Habib Juma Mnyaa(CUF-Mkanyageni),Mheshimiwa Lucas Lumambo Selelii(CCM-Nzega),Mheshimiwa Stella Martin Manyanya(CCM-Viti Maalumu) na Herbert James Mntangi(CCM-Muheza)

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Feedback / Comments

19 Responses to “THE MAN”

  1. Comment by Mr. Upendo Furaha Amani on February 7th, 2008 12:30 pm

    Dr.Harrison George Mwakyembe, Watanzania tunahitaji viongozi wa aina yako. Wasio-onea au kupendelea mtu. Big up man.

  2. Comment by Gervas on February 7th, 2008 1:01 pm

    Mimi nafikiri Dr. Harris awe waziri mkuu afu selelii (Mb) awe waziri halafu ili watazania tutoke ki maisha wa-implement Mixed economy (Ujamaa + Ubepari) hatuwezi tukaiacha socialism moja kwa moja maana tukiendekeza ubepari kama huu, badala ya kuwa na vita ya ukabila kama kenya, itakuwa vita kati ya waliojilimbikizia na makundi ya walala hoi. Kuna wabunge wanabusara kweli afu ni watu safi tunawaona bungeni, lakini JK anawatizama kwa macho ya makengeza!!

  3. Comment by Msukuma wa shy on February 7th, 2008 2:36 pm

    MWANGALIE ALIVOPENDEZA KWA SURA MPK MOYO WAKE SAFIIIIIIIIII BRAVOOOOOOOO MKUU MWAKYEMBE BRAVOOOOOOOOOO,MUNGU AKULINDE NA WALIOMKUBENEA MANA WALITUMWA NA HAWAHAWA VIGOGOZ.MUNGU NI MWEMA ATAKULINDA.
    SASA KAANZA
    1.EDO
    2.MSABAHA
    3.KARAMAGI
    WANAOTAKIWA KUFUATA KUJIUZULUZ NI
    4.MWANYIKA
    5.HOSEA
    6.ZAKIA
    7.SITTA
    8.MAKAMBA
    9 NIMEMSAHAU EMBU NDAKI NIKUMBUSHE

  4. Comment by Kimori on February 7th, 2008 3:03 pm

    Just a piece of advice…

    Right now journalists will write all the details linked to the ministers involved in Richmond scam, but just a few days ago no one would have gutts to speak out…this is where the problem lies.

    I look at this with contempt as regard to journalists who could not write investigative articles until everything is in public. Our citizens need to be informed objectively so long as no one is being insulted, because truth will always remain truth no matter how you try to hide it.

    I profoundly understand that journalism is one of the dangerous careers in the world, but once you have ventured to be one of them you have to instill a bold fortitute within to encounter all the dangers ahead! Journalists can still play a very significant role in fighting insanity in the society.

    Please, keep on informing us of various developments in our community and we shall definately reciprocate with a word of gratefulness!

  5. Comment by Philip on February 7th, 2008 7:20 pm

    Jammaaa anaenda akicheka !! tehetehtehetehe!! Kaangusha mnyamaaaaa!!!!

  6. Comment by DR. Matt. on February 7th, 2008 8:05 pm

    bado ya Uwaja wa ndege wa kimataifa Mbeya……

    wamejenga vinyumba fya njuni…….. wahindi na warabu…. nuksii, gharama na thamani ya uwanja havieleweki.

    karibu USA upumzike malafyale still long way to go….

    twombeya@yahoo.com

  7. Comment by amina on February 8th, 2008 2:27 am

    huyu jamaa kafanya kazi nzuri sana ila tuelewe hata wakija kuchaguliwa wengine kazi itakua ileile hawa wanakuaga kama wamezaliwa na mama mmoja.kama huyu karamagani bado mgeni lakini ona madudu aliyofanya mara richmond mara buzwagi…bora huyu lowasa yupo katika nyazifa siku nyingi na huyo msabaha pia mkongwe wana experiense,nazir kaingia kwa pupa bravo mwakyembe wasijiteteee hao

  8. Comment by Kasenene on February 8th, 2008 2:39 am

    Huyu asipoangalia, watamtenda kama walivyomtenda Amina Chifupa.

  9. Comment by Dada wa Kihaya on February 8th, 2008 4:21 am

    Dk. Mwakyembe huo ujasiri usiishie hapo kaza buti broo!tunahitaji taifa lenye viongozi kama wewe walio na msimamo thabiti hakuna kuogopa kusoma ukweli!na mungu akulinde wala usiogope TINDIKALI OLE WAO MUNGU ATAWATAJA TU!!!!!

  10. Comment by tonny on February 8th, 2008 4:43 am

    Mh.H.G.Mwakyembe nakupongeza kwa dhati kwa ujasiri na ukomavu wa kisiasa ulioudhihirisha jana Bungeni wakati ukiwasilisha Ripoti ya Ufisadi wa Richmond.Pongezi sana kwako na wanakamati wote pamoja na walioiwezesha kazi yenu kufanikiwa.Ulicho kifanya jana ni Mtaji mkubwa sana wa kisiasa kwa CCM katika uchaguzi mkuu ujao 2010.Lakini mtaji huo utahitaji kulindwa kwa gharama zote kwa kuwafichua mafisadi wote na kuwataka wajitoe katika Uongozi ili wakaendeleze biashara zao!Haita wazuia kuendelea kuwa wana CCM, lakini Uongozi basi,hawafai!Umesha ingia kwenye Kumbukumbu za Historia ya Mashujaa wa nchi hii!Bravo,Aluta Continua!

  11. Comment by noah gondwe on February 8th, 2008 5:09 am

    Hawa ndio watu ambao MUNGU anawabariki. Nakupongeza sanaaaaaa my father MWAKYEMBE with your commity. Kweli huko strongy hata bungeni tunakuona jinsi unavyoguswa na bajeti mbovu zenye mwanya wa rushwa. Sio kama baadhi ya wana CCM wenzako wanaona kabisa kuwa baadhi ya bajeti zina mapungufu makubwa tena na kutamka kabisa pindi wachangiapo ila mwisho wanaunga mkono kwa 100% huu kama sio uoga ni nini? Ila wewe na kamati yako mmeonyesha njia kwamba hata kama ni wana CCM damu na wakubwa wenu wanafanya madudu inawezekana kabisa kuwakosoa. Sasa hao ambao bado wanaogopa kuwakanya hao wakubwa eti kisa watakosa nafasi ya kupitishwa majina yao CC ili waweze kugombea ubunge wajue laana itayo ipata CCM kwa manun”guniko makubwa ya watanzania kwa sababu ya ukali wa maisha yatakuwa juu yao. Pongezi sana na endelea na uzi huohuo usija chama bali maslahi ya taifa. MUNGU UWAPA REHEMA ZAKE WALE WANAOTETEA HAKI ZA WATU WAKE.

  12. Comment by Matty on February 8th, 2008 7:46 am

    The man to stand!!!!!Safi sana kaka unamsimamo thabiti!ingefaa kama JK atakupa walau uwaziri.Wamekula hela za nchi yetu nyingi sana jamani wafilisiwe!!!!!!!!!!!!

  13. Comment by BongoSamurai on February 8th, 2008 7:53 am

    Una kila haki ya kutembea kifua mbele SHUJAA wetu.
    Ni wachache sana wanaoweza kuwa na ushujaa kama wako wa sisimizi kumuanguza tembo.

    Welldone our HERO.
    Mungu akubariki sana.

  14. Comment by mimi on February 8th, 2008 8:17 am

    There’s a natural mystic blowing through the air;
    If you listen carefully now you will hear.
    This could be the first trumpet, might as well be the last:
    Many more will have to suffer,
    Many more will have to die – don’t ask me why.

    Things are not the way they used to be,
    I won’t tell no lie;
    One and all have to face reality now.
    ‘Though I’ve tried to find the answer to all the questions they ask.
    ‘Though I know it’s impossible to go livin’ through the past -
    Don’t tell no lie.

    There’s a natural mystic blowing through the air -
    Can’t keep them down -
    If you listen carefully now you will hear.

    There’s a natural mystic blowing through the air.

    This could be the first trumpet, might as well be the last:
    Many more will have to suffer,
    Many more will have to die – don’t ask me why.

    There’s a natural mystic blowing through the air -
    I won’t tell no lie;
    If you listen carefully now you will hear:
    There’s a natural mystic blowing through the air.
    Such a natural mystic blowing through the air;
    There’s a natural mystic blowing through the air;
    Such a natural mystic blowing through the air;
    Such a natural mystic blowing through the air;
    Such a natural mystic blowing through the air.

  15. Comment by any on February 8th, 2008 2:48 pm

    wasimpe uwaziri, itazua maneno, abakie apo apo alipo, wasijesema JK kamhonga uwaziri, he is smart not those cheap as.s.s!

  16. Comment by Matty on February 11th, 2008 5:12 am

    Any, acha tu apewe uwaziri hamna cha kusema eti kahongwa kivipi???kama kazi anaiweza so y? asipewe uwaziri??
    Nadhani watu kama hawa ndo wanauchungu na nchi si huyo mmonduli wao, eti kwenye hotuba yake EL anadai Mwakyembe alisoma taarifa kwa mbwembwe! ndio acha atambe kwani si ndo kazi aliyopewa ala!!!ulitaka asome kwa uoga??yaani aliniboa hapo aliposema eti Mbwembwe!!!!!!mi nilitaka asome huku anakunyooshea kidole kabisaaaaaaaa ili uumie zaidi!
    Mkeo alikuwa anafuta machozi ya kinafiki tu pale hamna lolote ukweli unauma daima nyie lazima muende motoni tu!!!!!!!

  17. Comment by ngungu on February 11th, 2008 11:38 am

    hIVI kIKWETE SI ANGEMUWEKA TU HUYO AWE WAZIRI MKUU JAMANI

  18. Comment by Nyanga G.Says on February 15th, 2008 4:56 am

    Huyu ndiye kiongozi bwana!!!!! Tunataka viongozi kama Mwakyembe, UKITAKA KUMUA NYANI USIMWANGALIE USONI. Mwakyembe umetutoa kimasomaso kinoma! keep it up!!

  19. Comment by nice kz on February 18th, 2008 1:25 am

    hongera mwakyembe kwa kugusa mioyo ya watanzania wengi umefanya kazi keep it up, tunawapongeza wote mliokuwa kwenye kamati. Kinachotakiwa sasa ni kuungana wabunge wote na wananchi tupo nyuma kuhakikisha mapendekezo yaliyotolewa juu ya scandal hii ya richmond yanafanyiwa kazi kutaifishiwa mali zao na kushitakiwa.

    Vyombo vya sheria ni agizo la mungu vilikuwepo toka enzi za mitume tunaomba hivi vyombo vichukue mkondo wake haki ya watanzania ipatikana na mwaka huu ni wa nyakati tunaimani rasilimali za watanzania tutamiliki watanzania wenyewe mungu ametupa ni kwa nini tushindwe kumiliki. Cha muhimu ni kuomba mamlaka kutoka kwa mungu tuweze kumiliki uchumi wetu wenyewe.

Leave a Reply