THE MAN

 

Pichani ni Dr.Harrison George Mwakyembe,Mwenyekiti wa Kamati Teule iliyounda kuchunguza sakata zima la Richmond alipokuwa akiingia bungeni jana.Matokeo yake ndio haya ambayo tunaendelea kuyashuhudia.

Wajumbe wengine waliokuwa wakiunda kamati hiyo teule ni Mheshimiwa Mohamed Habib Juma Mnyaa(CUF-Mkanyageni),Mheshimiwa Lucas Lumambo Selelii(CCM-Nzega),Mheshimiwa Stella Martin Manyanya(CCM-Viti Maalumu) na Herbert James Mntangi(CCM-Muheza)

Page 1 of 3 | Next page