MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    
Unapozungumzia nywele fupi,au kipara miongoni mwa wasichana/warembo au wanawake kwa ujumla nchini Tanzania,pengine hakuna jina linalokuja akilini haraka zaidi ya lile la Flaviana Matata.Pichani ni Flaviana alipokuwa Paris,Ufaransa mwishoni mwa mwaka jana kwa matembezi na mapumziko.
Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Feedback / Comments

18 Responses to “NYWELE FUPI”

  1. Comment by Pope on February 10th, 2008 9:47 am

    UKISEMA NATURAL NDIO HII, MWEE HAKA KA DADA HAKA HAKI YANANI….!!

  2. Comment by Joyce on February 10th, 2008 10:10 am

    Huyu upara unampendeza sana ila hiyo mimacho mwenzangu wala walimkosea kumpaka miwanja mingi kiasi hicho mbona mnatutisha wenzenu lol.

  3. Comment by hawa on February 10th, 2008 2:06 pm

    Sasa ujue bongo imekua fashion baada ya kuona katoka na upara,Go girl u deserve more

  4. Comment by KC" Europe on February 10th, 2008 3:10 pm

    Flaviana keep it luck ladie wadau wa modelling tupo tunakupa support then i like u’r style upo unique,models watanzania tuwe wabunifu zaidi na tujitahidi kuwa natural na confidence!!

  5. Comment by priska on February 10th, 2008 5:38 pm

    ila hii picha katoka kama kajini…….na hilo likoti la manyoya mmmh jamani tutauana……
    kipara sawa kinakupendeza ila bongo naona kila demu anataka ageze wengine mabichwa box jamani msigeze tuuuuuuu!
    ni hayo tuu!

  6. Comment by Obwatasyo on February 10th, 2008 8:15 pm

    kwa lugha ya kimataifa inaitwa INGETYO!

    Baada ya haya maneno mengi nasema HAJANIPENDEZA/HAJANIPENDEZEA/SIJAMPENDA

  7. Comment by Edwin Ndaki on February 10th, 2008 10:25 pm

    Utabiri wangu….

    JK anamchomoa Meghi wizara ya chapaa…

    Hardworking man…Magufuli anarejea kwenye wizara mpya tofauti za ardhi.

  8. Comment by amina on February 11th, 2008 1:56 am

    ana sura nzuri na kipara kinampendeza ila hiyo mi eye lashes mhhh na mimake up mhh

  9. Comment by johnruta on February 11th, 2008 2:11 am

    Go Girl!! go ‘n get them!!
    Coz you are the next Odemba, Oluchi, Iman, Liya Kebede or Alek Wek.
    Keep it up mamaaa coz u will reach the top of the Big Apple!!

  10. Comment by Matty on February 11th, 2008 4:08 am

    Anapendeza tu hata akisuka….hebu sikumoja uje na style ya kusuka minyoosho tukuone jamani!
    Naona bongo sasa hii ndo fashion iliyopo kila mtu ananyoa wengine mhhhhhhhh kama alivyosema Prisca wanaogopesha!
    Kazana mdada uwe supa model wa ukweli ukweli!!!ila sijavutiwa na hizo kope za bandia na hiyo michoro mieupe!!!!!!!

  11. Comment by zawad haji on February 11th, 2008 7:12 am

    Ni mrembo, na tena amepunguza gharama.

  12. Comment by Kekue on February 11th, 2008 7:16 am

    Huyu mtoto ni mzuri sana na huo upara wake huwa anapendeza sana coz she look so natural, lakini sasa hayo macho mama yangu duuu!! aya ndo umodo!!!

  13. Comment by Renee on February 12th, 2008 11:16 am

    Nawaunga wote mlioyaona hayo macho…. kama mchawi!!
    Anatisha! Tafadhali advise the girl***

  14. Comment by hawa on February 14th, 2008 1:47 pm

    jamani sidhani kama kope kaweka kwa kutaka kumbukeni ni moja ya kazi ya models kutangaza vitu,sasa kama alipata dili asifanye eti kwa sababu anatisha akiweka!Ndo modelling hiyo go girl utafanikiwa tu usisikilize maneno ya watu wanataka kukukatisha tamaa tu

  15. Comment by nadia on February 15th, 2008 1:02 pm

    iyo picha hakupendeza kabisa izo kope aliyemueka kamnanga

  16. Comment by franco designer on March 30th, 2008 8:43 am

    para ndilo lenyewe …..

  17. Comment by trez on April 14th, 2008 4:47 pm

    AMEPENDEZA MWAYA KAMA TUMBILI

  18. Comment by sellanda on September 24th, 2008 1:32 am

    trez nakupa big up we ndo umeongea point ya maana. katoka kama dume la nyani ila akiwa bila make up anatoka bomba

Leave a Reply