<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: TULIPOKETI NA MOHAMED ABDULRAHMAN</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sat, 11 Feb 2012 15:21:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: Max</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/comment-page-1/#comment-68141</link>
		<dc:creator>Max</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 26 Jul 2010 11:58:29 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/?p=1006#comment-68141</guid>
		<description>Assalaam Aleykum,

Eddy anatoka wapi  Tanzania?</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Assalaam Aleykum,</p>
<p>Eddy anatoka wapi  Tanzania?</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Kalyango Siraj</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/comment-page-1/#comment-26512</link>
		<dc:creator>Kalyango Siraj</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 05 Sep 2009 13:39:38 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/?p=1006#comment-26512</guid>
		<description>Una historia ya kuvutia Bw Mohammed</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Una historia ya kuvutia Bw Mohammed</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: zanzibar</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/comment-page-1/#comment-17113</link>
		<dc:creator>zanzibar</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 20 Feb 2009 20:59:24 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/?p=1006#comment-17113</guid>
		<description>HUWEZI KUWA MTIIFU AU MUADILIFU KTK TAIFA HILI,,,UNAWEZA KUWA NA VETI VYA KILA AINA LAKINI USIWE MUADILIFU,,,, JE UFANYE NINI UWE MUADILIFU NA MTIIFU KTK JAMII ????

    LAZIMA UPITE ZANZIBAR ,,, JE YUPO ANAYE PINGA ?</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>HUWEZI KUWA MTIIFU AU MUADILIFU KTK TAIFA HILI,,,UNAWEZA KUWA NA VETI VYA KILA AINA LAKINI USIWE MUADILIFU,,,, JE UFANYE NINI UWE MUADILIFU NA MTIIFU KTK JAMII ????</p>
<p>    LAZIMA UPITE ZANZIBAR ,,, JE YUPO ANAYE PINGA ?</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: FIRST LADY</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/comment-page-1/#comment-6045</link>
		<dc:creator>FIRST LADY</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 07 Aug 2008 13:17:28 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/?p=1006#comment-6045</guid>
		<description>Bwana PAUL wacha chuki binasfi haifai, Mohamed Abdulrahman ni mtz tena wa nguvu kabisa,  mimi ni jirani yake hapa sinza na ukipata muda uje tukupeleke hadi kwao.

big up bro M.A. tunawashukuru sana kikosi kizima cha DW kwa kutuwakilisha huko ujerumani na dunia nzima.

take care bro</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Bwana PAUL wacha chuki binasfi haifai, Mohamed Abdulrahman ni mtz tena wa nguvu kabisa,  mimi ni jirani yake hapa sinza na ukipata muda uje tukupeleke hadi kwao.</p>
<p>big up bro M.A. tunawashukuru sana kikosi kizima cha DW kwa kutuwakilisha huko ujerumani na dunia nzima.</p>
<p>take care bro</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mchana j.mchana wa morogoro tz.</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/comment-page-1/#comment-6044</link>
		<dc:creator>mchana j.mchana wa morogoro tz.</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 15 Mar 2008 10:10:01 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/?p=1006#comment-6044</guid>
		<description>mimi nimefurahishwa na historia fupi ya mtangazaji mohamedi abdulrahman,miminiseme tu kwa uchache kuwa nimwakilishi mzuri wa nchi yetu.ingawa kuna walio mponda nawaombea msamaha kwani hajui walisemalo.pia abbakary liongo na mpa hay kwani inaonyesha wazi tanzania tulivyo na mabalozi wenye kujituma.sio hao tu wapo chipkizi kama Scolastika Mazula.nawaombeni fanyeni kazi kwabidii ili wenye wivu waji nyonge.wenu msikilizaji maarufu wa RW KAZI NJEMAMA</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>mimi nimefurahishwa na historia fupi ya mtangazaji mohamedi abdulrahman,miminiseme tu kwa uchache kuwa nimwakilishi mzuri wa nchi yetu.ingawa kuna walio mponda nawaombea msamaha kwani hajui walisemalo.pia abbakary liongo na mpa hay kwani inaonyesha wazi tanzania tulivyo na mabalozi wenye kujituma.sio hao tu wapo chipkizi kama Scolastika Mazula.nawaombeni fanyeni kazi kwabidii ili wenye wivu waji nyonge.wenu msikilizaji maarufu wa RW KAZI NJEMAMA</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Zee la kitaulo</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/comment-page-1/#comment-6043</link>
		<dc:creator>Zee la kitaulo</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 13 Feb 2008 01:51:05 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/?p=1006#comment-6043</guid>
		<description>Akhsanteni sana BC kwa kutuletea mahojiano na kutusaidia kupata kumuelewa ndugu Mohamed  Abdulrahman, kwanza napenda kumpongeza  ndugu Mohamed na watangazaji wote wa radio Deutsche Welle kwa matangazo ya wanayoturushia yenye kiswahili fasaha kwa hilo nataka kuwaambia kuwa katika radio zote za nje zinazotangaza  kiswahili wao ni Alfa na Omega. Pili huyu ndugu Mohamed amenikumbusha mbali sana milango ya sabini, anaonyesha ni kweli mtoto wa Dar maana alivyonichambulia timu za zamani Dar,Bendi za muziki na Taarab ukiachilia wanasiasa namvulia kofia. Tatu tukirejea kuhusu mdau anayejiita Poul nadhani huyu bwana ana chuki zake binafsi na roho ya kwanini (kikorosho).  kama anasema kwamba  ndugu Mohamed  si mbongo ni mjerumani, basi hiyo itakuwa ndugu Mohamed ni kwa ajili ya kutafuta maslahi na pia  ndugu Poul ahisi fahari kwa kusikia  ndugu Mohamed  kuwa  ikistaafu anatarajia kurudi nyumbani na nyumbani kwenyewe kijitonyama uswahilini. sio Berlin au Hamburg. nilikuwa namuomba ndugu Poul awe na wivu wa kimaendeleo sio wivu wa chuki na kwa nini nyingi. mwisho nilikuwa na muomba ndugu Mohamed yeye na wenzie wazidi kuturushia matangazo kama kazi wasikatishwe tamaa na kelele za mlango ambazo hazitomfanya mwenye nyumba kukosa kulala.
 ni mimi Zee la kitaulo</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Akhsanteni sana BC kwa kutuletea mahojiano na kutusaidia kupata kumuelewa ndugu Mohamed  Abdulrahman, kwanza napenda kumpongeza  ndugu Mohamed na watangazaji wote wa radio Deutsche Welle kwa matangazo ya wanayoturushia yenye kiswahili fasaha kwa hilo nataka kuwaambia kuwa katika radio zote za nje zinazotangaza  kiswahili wao ni Alfa na Omega. Pili huyu ndugu Mohamed amenikumbusha mbali sana milango ya sabini, anaonyesha ni kweli mtoto wa Dar maana alivyonichambulia timu za zamani Dar,Bendi za muziki na Taarab ukiachilia wanasiasa namvulia kofia. Tatu tukirejea kuhusu mdau anayejiita Poul nadhani huyu bwana ana chuki zake binafsi na roho ya kwanini (kikorosho).  kama anasema kwamba  ndugu Mohamed  si mbongo ni mjerumani, basi hiyo itakuwa ndugu Mohamed ni kwa ajili ya kutafuta maslahi na pia  ndugu Poul ahisi fahari kwa kusikia  ndugu Mohamed  kuwa  ikistaafu anatarajia kurudi nyumbani na nyumbani kwenyewe kijitonyama uswahilini. sio Berlin au Hamburg. nilikuwa namuomba ndugu Poul awe na wivu wa kimaendeleo sio wivu wa chuki na kwa nini nyingi. mwisho nilikuwa na muomba ndugu Mohamed yeye na wenzie wazidi kuturushia matangazo kama kazi wasikatishwe tamaa na kelele za mlango ambazo hazitomfanya mwenye nyumba kukosa kulala.<br />
 ni mimi Zee la kitaulo</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Gabriel Mulamba</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/comment-page-1/#comment-6042</link>
		<dc:creator>Gabriel Mulamba</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 12 Feb 2008 08:38:17 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/?p=1006#comment-6042</guid>
		<description>Jamaa anayejiita Poul anaonyesha kuwa na chuki. Mimi sijui kama Bwana Mohamed ni mjerumani, lakini kama ni mjerumani kuna watanzania wangapi wenye  kuishi nje marekani, uingereza , scandinavia,ghuba  etc ambao wana uraia wa nchi hizo. Hata watoto wa wakubwa kibao uingereza na marekani wana uraia. Je hilo linawafanya wasiwe watanzania  na mkipitisha uraia wa nchi mbili itakuaje. Poul angalia mbele. jamaa ni kiboko acha  wivu na chuki zizizo na msingi.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Jamaa anayejiita Poul anaonyesha kuwa na chuki. Mimi sijui kama Bwana Mohamed ni mjerumani, lakini kama ni mjerumani kuna watanzania wangapi wenye  kuishi nje marekani, uingereza , scandinavia,ghuba  etc ambao wana uraia wa nchi hizo. Hata watoto wa wakubwa kibao uingereza na marekani wana uraia. Je hilo linawafanya wasiwe watanzania  na mkipitisha uraia wa nchi mbili itakuaje. Poul angalia mbele. jamaa ni kiboko acha  wivu na chuki zizizo na msingi.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: POUL</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/comment-page-1/#comment-6041</link>
		<dc:creator>POUL</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 11 Feb 2008 20:59:03 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/?p=1006#comment-6041</guid>
		<description>Huyu naye ni Bongocelebrity!!!si ni mjerumani huyu,huo utanzania kaupata wapi?????????????</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Huyu naye ni Bongocelebrity!!!si ni mjerumani huyu,huo utanzania kaupata wapi?????????????</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Msikilizaji</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/comment-page-1/#comment-6040</link>
		<dc:creator>Msikilizaji</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 11 Feb 2008 20:40:17 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/?p=1006#comment-6040</guid>
		<description>Deutsche Welle ya akina Mohammed Abdulrahman ipo katika nafasi nzuri ya kuwazidi kete BBC ambao kwa muda mrefu wamekuwa na idadi kubwa ya wasikilizaji - milioni 20 na ushee.

Sababu mojawapo ni lugha mbovu inayotumiwa na watangazaji wake wenye asili ya Kenya au wakenya.Tangu wahamishie matangazo yao ya alfajiri Nairobi kumekuwa na kila aina ya &quot;ubakaji wa lugha ya kiswahili&quot;.

Lafudhi ya ovyo, misamiati duni na mtiririko wa maneno ni wa kubabaisha.Tangu Tido Mhando aondoke mambo yamekuwa yakienda kombo BBC - matangazo ya asubuhi, Dira ya Dunia bado inajitahidi.

Mohammed kaza uzi, hao BBC waendelee na kiswahili chao kibovu - mojawapo ya sifa zao ilikuwa lugha nzuri, sasa kama haipo nani atawasikiliza watu wanaosema jambo moja kumbe wana maana nyingine [kudhibiti na kuthibitisha].

Tatizo la Deusche Welle ni mabahili [flat mean, hawawezi kushindana na bajeti nene ya BBC.Wajerumani hawana hata ofisi kwa waandishi wao East and Central Africka.Pia teknolojia ya kukusanya sauti si ya kisasa.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Deutsche Welle ya akina Mohammed Abdulrahman ipo katika nafasi nzuri ya kuwazidi kete BBC ambao kwa muda mrefu wamekuwa na idadi kubwa ya wasikilizaji &#8211; milioni 20 na ushee.</p>
<p>Sababu mojawapo ni lugha mbovu inayotumiwa na watangazaji wake wenye asili ya Kenya au wakenya.Tangu wahamishie matangazo yao ya alfajiri Nairobi kumekuwa na kila aina ya &#8220;ubakaji wa lugha ya kiswahili&#8221;.</p>
<p>Lafudhi ya ovyo, misamiati duni na mtiririko wa maneno ni wa kubabaisha.Tangu Tido Mhando aondoke mambo yamekuwa yakienda kombo BBC &#8211; matangazo ya asubuhi, Dira ya Dunia bado inajitahidi.</p>
<p>Mohammed kaza uzi, hao BBC waendelee na kiswahili chao kibovu &#8211; mojawapo ya sifa zao ilikuwa lugha nzuri, sasa kama haipo nani atawasikiliza watu wanaosema jambo moja kumbe wana maana nyingine [kudhibiti na kuthibitisha].</p>
<p>Tatizo la Deusche Welle ni mabahili [flat mean, hawawezi kushindana na bajeti nene ya BBC.Wajerumani hawana hata ofisi kwa waandishi wao East and Central Africka.Pia teknolojia ya kukusanya sauti si ya kisasa.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Shekhe Lenu</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/10/tulipoketi-na-mohamed-abdulrahman/comment-page-1/#comment-6039</link>
		<dc:creator>Shekhe Lenu</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 11 Feb 2008 08:38:54 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.wordpress.com/?p=1006#comment-6039</guid>
		<description>Yaani leo ndo nimeweka mbili na mbili pamoja. Namsikiliza sana huyu muheshimiwa mtandaoni lakini ndo hivyo nilikuwa sijapata kumtia machoni. Tunaomba na watangazaji wengine pia kama akina Samia Othman.....nk.
Kazi nzuri...........</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Yaani leo ndo nimeweka mbili na mbili pamoja. Namsikiliza sana huyu muheshimiwa mtandaoni lakini ndo hivyo nilikuwa sijapata kumtia machoni. Tunaomba na watangazaji wengine pia kama akina Samia Othman&#8230;..nk.<br />
Kazi nzuri&#8230;&#8230;&#8230;..</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-12 01:04:05 -->
