<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: PM MSTAAFU JAJI JOSEPH WARIOBA</title>
	<atom:link href="http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/</link>
	<description></description>
	<lastBuildDate>Sat, 11 Feb 2012 15:21:30 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.1</generator>
	<item>
		<title>By: salum</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/comment-page-1/#comment-25890</link>
		<dc:creator>salum</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 29 Aug 2009 14:43:55 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=1111#comment-25890</guid>
		<description>WATU KAMA HAWA WANGEKUWA WANAONGELEA HAYA YOTE JELA.LAKINI WAKO HURU INASIKITISHA SANA.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>WATU KAMA HAWA WANGEKUWA WANAONGELEA HAYA YOTE JELA.LAKINI WAKO HURU INASIKITISHA SANA.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Mary Mkwaya Malamo</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/comment-page-1/#comment-6681</link>
		<dc:creator>Mary Mkwaya Malamo</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 14 Nov 2008 07:43:52 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=1111#comment-6681</guid>
		<description>duh!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>duh!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mkwanja</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/comment-page-1/#comment-6680</link>
		<dc:creator>mkwanja</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 05 Mar 2008 13:46:39 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=1111#comment-6680</guid>
		<description>Kama kuna jambo ambalo Mzee Warioba anafikiri ataweza kuwasaidia Watanzania ,kama &#039;Last Throw&#039; ,lest should he find himself thrown into the DustBin of Historical Trash, ni kuanza kuibua mjadala wa kitaifa kuhusu Mabadiliko makubwa na ya Kimsingi katika Katiba ya sasa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Iliyopo sasa imepitwa na wakati au kwa lugha ya kistaarabu zaidi imezidiwa mzigo wa kisiasa uliopo nchini hivi sasa.Mamlaka ya Rais lazima yapunguzwe na kusambazwa katika Taasisi nyinginezo za Utawala.Vyeo vya Rais(Head of State) na Waziri Mkuu(Head of Government) lazima vitenganishwe.Waziri Mkuu asiteuliwe na Rais bali atokane na Chama cha siasa chenye wabunge wengi zaidi bungeni.Rais hatahusika na shughuli za kila siku za uendeshaji wa serikali.Waziri Mkuu ndiye atakaye teua Baraza la Mawaziri.Makatibu Wakuu wa wizara ndiyo watako kuwa Manaibu Waziri na ndiyo watakao jibu maswali bungeni kuhusu wizara zao wakisaidiwa na Mawaziri wao.Wakuu wa Mikoa watachaguliwa na Watanzania wanaoishi katika mikoa husika kwa njia ya kura katika uchaguzi mkuu kwa njia ya kidemokrasia.Wabunge hawata ruhusiwa kugombea ubunge zaidi ya vipindi viwili mfululizo.Tume huru ya uchaguzi haitateuliwa na Rais bali itatokana na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa vilivyo sajiliwa nchini.Na itakuwa na watumishi wake watakao simamia uchaguzi ulio huru bila ya kuingiliwa na vyombo vya Dola au serikali.Masuala ya kiuchumi yataendeshwa na kusimamiwa kwa karibu zaidi na Mikoa husika katika muundo mpya na taratibu za kisasa zaidi na Wizara kujihusisha na yale tu ambayo yanagusa kitaifa.Nafasi zote nyeti za Uongozi Kitaifa zitathibitishwa na Bunge.Na marekebisho mengine zaidi yenye muelekeo kama huu nilio ugusia kwa kifupi.Na Watanzania wengine nao watachangia mawazo zaidi.Warioba anaweza kuwa chachu katika hili kwa kuwahusisha wanasheria mbalimbali nchini pamoja na watanzania wote kwa ujumla.Tungependa zoezi hilo lianze mara moja ili itakapo pita miaka mitano kuanzia sasa marekebisho hayo katika Katiba yawe yamekamilika.Hata kama uchaguzi mkuu wa 2010 utafanyika bila ya marekebisho hayo kufanyika(bado miaka miwili tu kufikia 2010,NI MUDA MFUPI),basi wakati wowote hata baada ya 2010 marekebisho hayo yakikamilika,Uchaguzi Mkuu mwingine utaitishwa kwa kufuata Katba Mpya iliyo pitishwa!Katiba Mpya lazima ITAKUJA.Kama siyo kesho basi itakuja kesho kutwa.Lakini kuja lazima itakuja.Ni vyema walioko madarakani hivi sasa pamoja na umri wao kuwatupa mkono wakawa wao ndiyo wa kwanza kuyashughulikia mabadiliko hayo ya Katiba Mpya.Wakizembea yakaja fanywa na Vijana watakao fuatia itakuwa BAHATI MBAYA SANA KWAO! Its just a brotherly advice.History has no Mercy! One will be rewarded for what deserves!There will be those who will be swept under the Historical Carpet because they deserved nothing worth of praise! And there will be those who will be glorified by Historical Praise for what they will have done to society!Kwa hiyo Mzee Warioba the choice is yours.Acha kulia machozi ya mamba!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kama kuna jambo ambalo Mzee Warioba anafikiri ataweza kuwasaidia Watanzania ,kama &#8216;Last Throw&#8217; ,lest should he find himself thrown into the DustBin of Historical Trash, ni kuanza kuibua mjadala wa kitaifa kuhusu Mabadiliko makubwa na ya Kimsingi katika Katiba ya sasa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Iliyopo sasa imepitwa na wakati au kwa lugha ya kistaarabu zaidi imezidiwa mzigo wa kisiasa uliopo nchini hivi sasa.Mamlaka ya Rais lazima yapunguzwe na kusambazwa katika Taasisi nyinginezo za Utawala.Vyeo vya Rais(Head of State) na Waziri Mkuu(Head of Government) lazima vitenganishwe.Waziri Mkuu asiteuliwe na Rais bali atokane na Chama cha siasa chenye wabunge wengi zaidi bungeni.Rais hatahusika na shughuli za kila siku za uendeshaji wa serikali.Waziri Mkuu ndiye atakaye teua Baraza la Mawaziri.Makatibu Wakuu wa wizara ndiyo watako kuwa Manaibu Waziri na ndiyo watakao jibu maswali bungeni kuhusu wizara zao wakisaidiwa na Mawaziri wao.Wakuu wa Mikoa watachaguliwa na Watanzania wanaoishi katika mikoa husika kwa njia ya kura katika uchaguzi mkuu kwa njia ya kidemokrasia.Wabunge hawata ruhusiwa kugombea ubunge zaidi ya vipindi viwili mfululizo.Tume huru ya uchaguzi haitateuliwa na Rais bali itatokana na wawakilishi wa vyama vyote vya siasa vilivyo sajiliwa nchini.Na itakuwa na watumishi wake watakao simamia uchaguzi ulio huru bila ya kuingiliwa na vyombo vya Dola au serikali.Masuala ya kiuchumi yataendeshwa na kusimamiwa kwa karibu zaidi na Mikoa husika katika muundo mpya na taratibu za kisasa zaidi na Wizara kujihusisha na yale tu ambayo yanagusa kitaifa.Nafasi zote nyeti za Uongozi Kitaifa zitathibitishwa na Bunge.Na marekebisho mengine zaidi yenye muelekeo kama huu nilio ugusia kwa kifupi.Na Watanzania wengine nao watachangia mawazo zaidi.Warioba anaweza kuwa chachu katika hili kwa kuwahusisha wanasheria mbalimbali nchini pamoja na watanzania wote kwa ujumla.Tungependa zoezi hilo lianze mara moja ili itakapo pita miaka mitano kuanzia sasa marekebisho hayo katika Katiba yawe yamekamilika.Hata kama uchaguzi mkuu wa 2010 utafanyika bila ya marekebisho hayo kufanyika(bado miaka miwili tu kufikia 2010,NI MUDA MFUPI),basi wakati wowote hata baada ya 2010 marekebisho hayo yakikamilika,Uchaguzi Mkuu mwingine utaitishwa kwa kufuata Katba Mpya iliyo pitishwa!Katiba Mpya lazima ITAKUJA.Kama siyo kesho basi itakuja kesho kutwa.Lakini kuja lazima itakuja.Ni vyema walioko madarakani hivi sasa pamoja na umri wao kuwatupa mkono wakawa wao ndiyo wa kwanza kuyashughulikia mabadiliko hayo ya Katiba Mpya.Wakizembea yakaja fanywa na Vijana watakao fuatia itakuwa BAHATI MBAYA SANA KWAO! Its just a brotherly advice.History has no Mercy! One will be rewarded for what deserves!There will be those who will be swept under the Historical Carpet because they deserved nothing worth of praise! And there will be those who will be glorified by Historical Praise for what they will have done to society!Kwa hiyo Mzee Warioba the choice is yours.Acha kulia machozi ya mamba!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: amina</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/comment-page-1/#comment-6679</link>
		<dc:creator>amina</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 03 Mar 2008 12:13:14 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=1111#comment-6679</guid>
		<description>mmhh kumbe naye jizi,sasa anaongea nini?</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>mmhh kumbe naye jizi,sasa anaongea nini?</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mkwanja</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/comment-page-1/#comment-6678</link>
		<dc:creator>mkwanja</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 03 Mar 2008 09:09:52 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=1111#comment-6678</guid>
		<description>Kauli ya Warioba kwamba tume ya Mwakyembe haikumtendea haki Lowassa kwa kuto mwita mbele ya Kamati yake ili ajitetee, kwa hakika sikutarajia kuisikia ikitoka kwa mtu mwenye sifa za uongozi kama Warioba.Labda aliteleza kuitoa kauli ile au pengine Uzee umeanza kumkamata.Mimi nilifikiri kwamba Tume nzima ya Mwakyembe ilistahili kupongezwa kwa nguvu zote kwa ujasiri na umakini walio udhihirisha katika kufanikisha majukumu waliokabidhiwa na Watanzania wote kwa ujumla kupitia uwakilishi wao Bungeni.History has been written and Time will tell!Call a spade a spade.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kauli ya Warioba kwamba tume ya Mwakyembe haikumtendea haki Lowassa kwa kuto mwita mbele ya Kamati yake ili ajitetee, kwa hakika sikutarajia kuisikia ikitoka kwa mtu mwenye sifa za uongozi kama Warioba.Labda aliteleza kuitoa kauli ile au pengine Uzee umeanza kumkamata.Mimi nilifikiri kwamba Tume nzima ya Mwakyembe ilistahili kupongezwa kwa nguvu zote kwa ujasiri na umakini walio udhihirisha katika kufanikisha majukumu waliokabidhiwa na Watanzania wote kwa ujumla kupitia uwakilishi wao Bungeni.History has been written and Time will tell!Call a spade a spade.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: binto</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/comment-page-1/#comment-6677</link>
		<dc:creator>binto</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 02 Mar 2008 16:56:57 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=1111#comment-6677</guid>
		<description>sio warioba tu mbona hata huyu salma mke wa kikwete, anachanganya watu vile vile kikwete haoni ilo, afadhali ya warioba ni pamoja na uzee, na huyo salma wake.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>sio warioba tu mbona hata huyu salma mke wa kikwete, anachanganya watu vile vile kikwete haoni ilo, afadhali ya warioba ni pamoja na uzee, na huyo salma wake.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: kino</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/comment-page-1/#comment-6676</link>
		<dc:creator>kino</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 02 Mar 2008 16:54:01 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=1111#comment-6676</guid>
		<description>mpeni mda, na pia anaweza kujitahidi katika mgogoro wa cuf na ccm, uko zanzibar, kuna viongozi wengine uko ughaibuni pia wapo wanachanganya wananchi, sio warioba tu, kikwete jamani tusaidie.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>mpeni mda, na pia anaweza kujitahidi katika mgogoro wa cuf na ccm, uko zanzibar, kuna viongozi wengine uko ughaibuni pia wapo wanachanganya wananchi, sio warioba tu, kikwete jamani tusaidie.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Recho</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/comment-page-1/#comment-6665</link>
		<dc:creator>Recho</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 29 Feb 2008 23:23:56 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=1111#comment-6665</guid>
		<description>JIzi hilo jizi hilo mnafiki mkubwa</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>JIzi hilo jizi hilo mnafiki mkubwa</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: mkata issue</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/comment-page-1/#comment-6672</link>
		<dc:creator>mkata issue</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 29 Feb 2008 21:35:35 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=1111#comment-6672</guid>
		<description>Tyson ehee uko wapi?
Njoo utusaidie tumevamiwa huku!!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Tyson ehee uko wapi?<br />
Njoo utusaidie tumevamiwa huku!!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: ochumale</title>
		<link>http://www.bongocelebrity.com/2008/02/28/pm-mstaafu-jaji-joseph-warioba/comment-page-1/#comment-6675</link>
		<dc:creator>ochumale</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 29 Feb 2008 11:09:10 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://bongocelebrity.com/?p=1111#comment-6675</guid>
		<description>huyu nae anakashfa na kampuni ya dhahabu ya CCM akae kimya tu. kwanza ana kampuni na profesa mahalu aliyeiba hela wakati akiwa balozi italia. birds of the same fether</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>huyu nae anakashfa na kampuni ya dhahabu ya CCM akae kimya tu. kwanza ana kampuni na profesa mahalu aliyeiba hela wakati akiwa balozi italia. birds of the same fether</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

<!-- Performance optimized by W3 Total Cache. Learn more: http://www.w3-edge.com/wordpress-plugins/

Page Caching using disk: enhanced

Served from: www.bongocelebrity.com @ 2012-02-12 00:51:33 -->
