Wengi wenu mlimsikia kwanza alipotoka na kibao chake kiitwacho Cinderella.Kibao hiki ndicho kilichobeba jina la albamu yake ya kwanza ambayo bado anatamba nayo.Anaitwa Ali Kiba,kijana mdogo tu ambaye hivi sasa anaelekea kuzidi kupaa katika kuzikonga nyoyo za mashabiki wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania.

Miezi michache iliyopita aliruhusu single yake nyingine ya Mac Muga iende hewani.Kibao hiki ambacho ni miongoni mwa vibao matata vilivyomo ndani ya albamu ya Cinderella kimepikwa ndani ya G-Records ya jijini Dar-es-salaam.Kisikilize kwa kubonyeza player hapo chini.Albamu ya Cinderella inapatikana mitaani.Jipatie nakala yako.

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Pichani ni Ali Kiba(katikati) akiwa na wazazi wake nyumbani kwao maeneo ya Kariakoo jijini Dar.

Photo courtesy of MichuziJr.

Feedback / Comments

84 Responses to “MAC MUGA KUTOKA KWA ALI KIBA”

  1. Comment by Albert on March 1st, 2008 10:06 am

    Good luck to you

  2. Comment by Said Situ on March 1st, 2008 4:18 pm

    I hope hii picha ni ya siku nyingi maana dogo una mafanikio, sasa watengenezee wazazi nyumba hiyo kama hii picha ni ya sasa. Ona rangi inabanduka ni wazi inahitaji marekebisho.

    Mziki wako ninaukubali nakutakia mafanikio mengi. Katika miziki yote napenda ule wa nichum umetulia.

  3. Comment by mchangiji on March 1st, 2008 5:23 pm

    “Jipatie nakala yako….”BC mmeanza matangazo ya biashara!?

  4. Comment by Khamis M on March 2nd, 2008 12:18 am

    Wee Mchangiji sijui mchangiaji hapo juu…kwani kuna ubaya gani kwa BC kukuambia jipatie nakala yako?Wabongo bwana…tunapenda vitu vizuri lakini tukiambiwa kununua,tunaruka vibaya sana!!! Halafu sidhani kama kuna ubaya wowote BC wakiweka tangazo lolote la biashara hapa…isitoshe washaweka siku za nyuma matangazo kibao.Umetokea wapi weye?

  5. Comment by Dennis on March 2nd, 2008 12:36 am

    Safi sana kijana huko juu. Keep it up umegusa wakina mac muga wengi.

  6. Comment by Said Situ on March 2nd, 2008 3:29 am

    lyrics za nyimbo zake ntapata wapi? Kuna mtu anajua website ambayo inatoa lyrics za miziki ya bongo tu?

  7. Comment by Mwana wa mkulima on March 2nd, 2008 7:57 am

    Its great really, mwenyewe nikipata sehemu wanauza..nitanunua.

    Keep up the good work kijana.

    Bless you!

  8. Comment by bob masaki on March 3rd, 2008 2:09 am

    sina lolote la kuongeza ila kukutakia mema na mafanikio. endelea kutupa mikwanja ya nguvu.hongera ali Kiba

  9. Comment by tatu on March 3rd, 2008 3:18 am

    Upo juu Ally Kiba MAC MUGA IMETULIA

  10. Comment by He is so HOT! Na mahewa zake zime tubamba sana nairobi. ukitaka kujua aliye vuma huku, ni lazma matatu ibatizwe jina la msani. AK ana 4 nairobi on March 3rd, 2008 10:02 am

    He is so HOT! Na mahewa zake zime tubamba sana nairobi. ukitaka kujua aliye vuma huku, ni lazma matatu ibatizwe jina la msani. AK ana 4 nairobi

  11. Comment by anon on March 5th, 2008 12:26 am

    Great work Kiba!!
    nilijua mac muga ilishatoka zamani kumbe ndo imetoka? Baada ya kusikia njiwa nikafatilia miziki yako nikapata naksh naksh na Cindelera, i love ‘em songs and listen to ‘em as often You real put a lot of work on your music especially those 2 songs and it’s obviously noticed, keep up
    nilikuwa dar dec nikatafuta collection yako stores sikupata nikampa contract mjasiriamali mmoja kanibania lots of your songs including macmuga sorry you might not wanna hear this but i needed these songs. hakijaharibika kitu weka CD sokoni tutakusapoti
    Keep on pushing dont relax it aint over, tuko pamoja!

  12. Comment by Ashkimatiti No. 2 on March 5th, 2008 9:19 am

    Bro nakuaminia, kamua zaidi na zaidi, ila hayo makochi na mapambo ya home yabadilishe mwana huu si wakati wa mijiua ya plastic na makochi ka hayo chakarika tengeneza home dingi na maza waone kuna kitu kinapatikana kwenye bongo flava

  13. Comment by Joyce on March 5th, 2008 4:59 pm

    yaan napenda sana kusikiliza nyimbo za huyu kijana keep it up kijana.

  14. Comment by Lisa on March 15th, 2008 9:54 am

    Mi ni Mkenya aliye Marekani na nimempenda sana Ally Kiba kutokana na sauti yake nyororo na ule wimbo wake wa cinderella. Ningetaka kujua kama ana website yake ama myspace. Tafadhali

  15. Comment by Billiards Says on March 20th, 2008 11:50 am

    Mate i left the country just last year,the same year at the end i went back n found Ali Kiba’s spectacular musics like Nichum,Macmuga and Nakshnaksh,men they realy touched the proper place.Ali kiba naikubali kazi yako.Sina mengi ila kila la kheri kwa kila chema katika shughuli zako

  16. Comment by Billiards Says on March 20th, 2008 11:55 am

    Mwana umewanyamazisha wengi,tuko Uk ila mambo yako tunayapata pitia youtube.Ehh bwana ukijiweka sawa tutembelee na sisi tukupate stejini.kijana kipaji unayo,na pia naweza sema umetulia kwenye utungaji wako.Twangoja nyingine mpya kazi yetu kununua na kuzisikiliza tu.Huna kipingamizi.kila la kheri

  17. Comment by ras uhuru on March 24th, 2008 2:06 pm

    kijana mziki wako umetuliaa hasa ,tungo zimeeenda shule hasa,We are big fans
    usilegeze speed!

  18. Comment by wanjiru cherrybaby on April 4th, 2008 1:14 pm

    what up nigger ALI, I REALLY LIKE UR MUSIC JUST B’COZ OF UR VOICE UR SEXY BODY ED EVERYTHING IN U.AM A KENYAN BUT RIGHT NOW AM IN aMERICA. WUOLD U LIKE 2 CHET WIT MI PLIZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ!!!!

  19. Comment by jamy on April 17th, 2008 3:42 am

    Uko juu Ali Kiba nafagilia nyimbo zako hasa ule wa njiwa, big up brother.

  20. Comment by Bongolious on April 19th, 2008 9:54 am

    Ali Kiba nimeizimia sauti,ungekuwa mme wangu ungetakiwa uniimbie mwimbo kila siku kitandani! endelea ivyo ivyo lakini sauti yangu ni nzuri zaidi lol
    keep it up
    we love u here in belgium
    holla

  21. Comment by Phelly on April 28th, 2008 4:09 am

    Am a kenyan chick but i love ur voice,ur body structer and ur songs realy drive me crazy.i always make sure that i listen to ur songs b4 the day Ends.Gd work kiba!! and God bless ur parents.

  22. Comment by seby on May 2nd, 2008 11:00 am

    mac muga is the best song,from the beat to chores

  23. Comment by Raystz on May 11th, 2008 5:39 pm

    Nifanyapo kazi za mikono hasa surgery,hupenda kusikiliza muziki wako,kwani umetunga kwa umakini na hunipa fikra zaidi.Ninakubali kazi yako hususani mac muga.

  24. Comment by COLLO on May 12th, 2008 1:41 pm

    Bro, uko mbele ka mfuko ya shati, Hakuna atakaye kufikia, nime attend show zako na nimebambika vinyama kwanza na ile song ya Mac Muga na Nakshi, cheers

  25. Comment by MUDIMBA on May 13th, 2008 11:31 am

    CONGRATS ALI!!!!!! MAC MUGA HUNIPEA FUNZO SOTE AFRIKA KUSINI TWAKUPENDA

  26. Comment by MUDIMBA on May 13th, 2008 11:38 am

    JAMAA UMEIVA MBAYA SOON UTAUNGUA EEEEEEE!!!!!!!!

  27. Comment by Ballards on May 19th, 2008 6:00 am

    Ali Kiba ya realy working hard.We really appreciate ya singles Nichum,Macmuga,Cinderella,Nakshnaksh and Njiwa.Ya really rocking down there mate,um really amazed with the tune and sweet melody of ya songs.Keep it up we are waiting for ya in the Uk,

  28. Comment by fred omondi on May 23rd, 2008 7:03 am

    hey maze,u roc bna,kwanza mac muga song ,imetukill vibaya.nway peace out.u have a blessed voice,keep gooooooooooooooooooooooooooooooooooing!!!!!!!!!!!fred.

  29. Comment by pheliciah on May 26th, 2008 9:47 am

    Yani kiba!! u can come to Nairobi na ukose kuni show ,na vile mi ukubaiyanga tu hizo single zako.Ama uko na manzi?.Basi huyo ana bahati kama ya mtende,tell her to hold u vi tight coz aki slide tu,i’ll overtake her.But am sure si msupuu kama mimi.i love u guy

  30. Comment by Fayebuzz a.k.a Ukchiq on May 29th, 2008 9:59 am

    Omg, Ali kiba is so original, endelea kutupa mambo mazuri mazuri, Mac Muga nyimbo bomba sana yani nimejazika sana, i wish i could get the lyrics niimbe mpaka basi!!! Mungu akubariki na kuendelea kutunga nyimbo nzuri nzuri zaidi, baaden!

  31. Comment by EK on May 30th, 2008 3:34 am

    Mac Muga…. A good song with the right tone and educative lyrics!

  32. Comment by shela on May 30th, 2008 3:47 am

    just wanna tell ya how much i love your music. i was born and raised in Uganda, so its good to hear a young man from my hometown doing it big. i moved to the Untied States whn i was a kid, so i really don’t knw how to write in Swahili, sorry for tht. but i wish you luck in your music and life. also to all the other African musicians out there. hope to hear from you.

    muh muh muh luv to ya
    shela

  33. Comment by Terry a.k.a.Lady Tereza on May 30th, 2008 5:44 am

    Omg, ur stuff is a kind of an espacially african flow,i like tha very much, the tunes an ur emotional voice hit me, iam waitin for ya beats in Germany.Good bless ya voice an songs,gooo on.

  34. Comment by Sally Selina Lumadi. on June 3rd, 2008 7:22 am

    Hey ali k, I am ur diehard fan & u 4eva hav my love & support, keep doing ur thing & know that u r bongos finest, according to me….. love u big, may God bless u BIG. Kila la heri Ali kiba, May u go the highest u can & feel the deepest u can.

  35. Comment by james on June 3rd, 2008 7:52 am

    mungu akubariki.

  36. Comment by R on June 18th, 2008 5:44 am

    Congrats Mr Ali, I am your biggest fana s yet – keep doing your thing Mungu akubariki sana na wazazi wako.

    Can’t wait for the next album

  37. Comment by Coco on June 22nd, 2008 7:04 am

    Hey guy!!!Your song is very nice,your so great!!!!God bless u man!!

  38. Comment by irene.efeso on June 24th, 2008 2:55 pm

    I just want you to know I luv your song, especially the new ones you came with this year. I’m in America, but I spend half of my day to listen to your songs. You have a fabulous voice. Don’t give up. God Bless you, Ali.K. I love you Dude!!!!

  39. Comment by dauuu on June 25th, 2008 8:32 am

    can someone please show me where I get the lyrics to this song?

  40. Comment by Tumaini on June 27th, 2008 12:44 pm

    No other East African artist has ever impressed me the way you have!!!!! Am in Atlanta, GA. Please do a tour down these sides… We shall support you!! And how/where can I get your CD??????

  41. Comment by Mimi Mwenyewe on July 21st, 2008 4:21 am

    Aba, I need a website with these lyrics

  42. Comment by liato on July 28th, 2008 9:30 am

    niaje ali kibs unanibamba mbaya…keep up the good work…love you

  43. Comment by brei on July 28th, 2008 9:34 am

    mambo mchizi wangu…keep up the spirit and visit me someday..a great fun in nai…love you so so much

  44. Comment by jennifer wanja on July 30th, 2008 2:58 pm

    Ali vipi!kwanza kabisa hongera kwani ulitukwachu sana kule Nomads Kite.Kip it up boy, tuko na wewe.
    Give us wat we dont expekt.
    Gd luck in your music

  45. Comment by tedlee nyamache on August 11th, 2008 10:42 am

    men it is real rockin even my pals like your songs coz they r so nice.tedlee n.b.USA

  46. Comment by tedlee nyamache on August 11th, 2008 10:44 am

    B BLESSED

  47. Comment by joe on August 14th, 2008 5:15 am

    were can i get the lyrics?otherwise crazy song.naipenda sana

  48. Comment by Stesh on August 25th, 2008 5:01 am

    Hallo Kiba

    Your songs are juz to amazing. Keep the spirit up

    God bles

  49. Comment by james njure on September 2nd, 2008 12:10 pm

    i say kiba unaua sana na kibao hicho chako mac muga,yaani hapa kenya ishakua kibao cha kupandisha handas ya miraa.kwangu haswa cha nibamba kinyama……….zidi mtu wangu

  50. Comment by shaz on September 2nd, 2008 9:25 pm

    hi…kiba
    love all your songz and ur voice is amazin….and ur dancing and lyrics are inspiring…..im in da uk soo ur music is spreading…good luck and continue how ur goin….god bless

  51. Comment by salma on September 6th, 2008 12:30 pm

    he is so cute i am telling u i will cry

  52. Comment by John Brown on September 22nd, 2008 4:55 am

    Hi Mr A.K

    Hongera kwa kazi yako nzuri.
    I like your songz coz zina message.keep it up boy

  53. Comment by wesley langat on October 5th, 2008 9:43 am

    pongezi sana bwana Alikiba.Mimi ni moja ya watu wa Kenya ambao wanapenda ngoma zako.Hongera

  54. Comment by wesley on October 6th, 2008 5:28 am

    l like your songs mostly macmuga.Keep it up.God bless.

  55. Comment by wesley on October 6th, 2008 5:31 am

    I like your songs men keep it up.

  56. Comment by wesley langat on October 6th, 2008 5:34 am

    God bless u men good music

  57. Comment by jomet on October 13th, 2008 9:54 pm

    Mac Muga – Ali Kiba (lyrics transcribed by jomet)

    Mcheza bongo Mac Muga
    Yuko single sana Mac Muga
    Ukimwona mtu akijinamia kwa
    Sababu ya maisha yamchanganya

    Chali wangu alizamia
    Kuenda kusini mwa Africa
    Huku pia akimchanua kwa
    Sababu ya maisha aliyofuma

    Alikuwa maarufu sana,
    Akajiona yeye ndo winner
    Kwa kujichanganya na wasichana
    Club zote za huko kujulikana

    Yeye Mac Muga
    Wewe Mac Muga
    Ah!
    Hii dunia,
    Mac Muga huruma!

    Mungusha asumani alipofika South Africa alikuwa na maisha bora
    Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika magari yote kwa nyumba

    Mungusha asumani alipofika South Africa alikuwa na maisha bora
    Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika magari yote kwa nyumba

    Ona sasa amesharejea, hajui wapi ataanzia!
    Hakuna kazi mtu akajinamia
    Mac Muga hii ni dunia

    Akajichezea, gari ya kutembelea
    Shida walimwelezea wasichana,
    Na shida zao akawatatulia

    Wewe upewe nini Mac Muga
    Mungu akupe nini Mac Muga?

    Nyumba ulijijengea, foro kuta nyumba
    Wewe ndio wewe, wengine fala!

    Ah, Mac Muga,
    Ona sasa umeshatimua!

    South Africa wamekutimua
    Na sasa home usharejea

    Wewe Mac Muga
    Mungu akupe nini Mac Muga?

    Mungusha asumani alipofika South Africa alikuwa na maisha bora
    Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika magari makubwa, nyumba

    Mungusha asumani alipofika South Africa alikuwa na maisha bora
    Ya juu, ya thamani tena yanayohitajika magari yote kwa nyumba
    Ona sasa amesharejea, hajui wapi ataanzia
    Hakuna kazi mtu akajinamia
    Mac Muga hii ni dunia!

    Yipes kana huoni kwa Mac Muga
    Woi noma huruma kanyongo’nyea
    Afanye nini sasa, cha kufanya
    Kila anachachofanya anaona anakosea

    Yikes kama huoni kwa Mac Muga
    Woi noma huruma kanyongo’nyea
    Afanye nini sasa, cha kufanya
    Kila anachachofanya anaona anakosea

    Akiwa jambazi akili zake zitaishia
    Akiwa mwizi anaona atauliwa
    Akifikiria kujiua
    Nafsi yamzusha basi analia

    Wewe Mac Muga!
    Mungu akupe nini Mac Muga?

    Wewe Mac Muga!
    Basi upewe nini Mac Muga?
    Mungu alikuzawadia
    Sasa ushachezea!

    Wewe Mac Muga !
    Basi upewe nini Mac Muga?
    Mungu alikuzawadia maisha
    Sasa ushachezea!

    Haya, haya,
    Wangu Mac Muga

    Msela hao
    Wa mpani huna

    Wasee wa maskani wanakukimbia!
    Mac Muga noma

    Hee!
    Mac Muga

    Skonde, upige moyo konde,
    Mac Muga!

  58. Comment by joan on October 16th, 2008 4:44 am

    mambo ali am a kenyan lady but recently living in tanzania.ave to tel u dat ur ngomaz r really apreciated in kenya congrats baibe boy for ur swt wak. all am asking is ur 4n no n nothing more.kip it up n still waiting for more.thax

  59. Comment by rahiim on October 30th, 2008 9:16 pm

    Damm yow alikiba am from somalia liv ing in los angles I luv tha song mac muga keep it u dude you music is tha shiit I hallla

  60. Comment by MAAWIY on November 4th, 2008 7:14 am

    NGOMA WAZIIIMMM, much love ……. yo have pure unadulterated talent

  61. Comment by shariff on November 23rd, 2008 12:25 pm

    uko poa lakini niaje umenyaa siku hizi. kip it up!

  62. Comment by Mirriam Bonita on December 30th, 2008 3:19 am

    I like that guys move.He knows how to sing.Cheki huko gigaaaaaaaaaaaaaaaaaaagaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaagaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Kuna vile inanibamba.

  63. Comment by Mirriam Bonitah Oyasi on December 30th, 2008 3:27 am

    That chali is wow!I like his moves.Cheki huyo gigagaga.Yaani kuna vile ananibamba.

  64. Comment by Maryanne,Kenya on January 3rd, 2009 4:00 am

    Ur lyrics are so damn real,,..endelean vivyo hivyo

  65. Comment by LYNNETTE on January 12th, 2009 8:12 am

    Am a die hard of BONGO MUSIC! Congratz sana msela Ali Kiba.
    Hii track ya Mac Muga inanishika mbaya mbovu.
    Kip up tha “GUD WORK”.
    And God bless you abundantly and help you to release more hits!
    CHHERS MAN!!!!!
    FROM NAI, KENYA.

  66. Comment by lynnette on January 12th, 2009 8:50 am

    Kudos to Ali Kiba.
    Hii track ni bomba na ilinikwachu videadly.
    Kip up tha gud work Ali Kay!!!!!!!!!!

  67. Comment by shughaib Abdd on January 19th, 2009 12:50 pm

    Oya Ali i listened your song and it really taught me some because I am USA right now but your song Mac Muga told me how to be when i will be back Bongo all happened to Mac Muga i dont wanna be happening to me i really heed about that so what i have to say you did grate job mtu wangu make you make song like that bcs i like teaching song like mac mugga
    so keep up i am still surport even i am not there.

  68. Comment by shughaib Abdd on January 19th, 2009 12:53 pm

    think every happen to some body can realy come to you

  69. Comment by cheila on March 29th, 2009 12:13 pm

    mini kijana kimoja na ujumbe wangu unaelekeya
    kwako ali kiba nataka unitumiye e-mail yako kama inawezekana awo yeyote annajuwa e-mail yake anitumiye na ma swali mengi yakuongeya nawe .

  70. Comment by basra on May 9th, 2009 6:14 pm

    u’r so talented,i like listening to your songs especially macmuga na kaka yako pliz come to louiville ky,the next time you tour the UNITEDSTATES so many of us would like to see you on stage for real.WE LOVE YOU.

  71. Comment by basra on May 10th, 2009 11:31 am

    hey,nimegundua utakua OHIO tarehe ishirini na tatu.ni masaa matatu tu kutoka ninakoishi ican’t wait to see my favourite artist live.all my friends will be there too.

  72. Comment by Aisha Bahati on May 20th, 2009 11:02 pm

    hey bboy keep it up onest i think your really good boy good singee act…
    i love your songs boy Ali as i love you to most how you move when your dancing lol you dont even dance harder bout algud looking great
    kweri hio niswafi kwe enderea kaka
    your girl I in New Zealand lol

  73. Comment by Shiro N (USA) on June 4th, 2009 7:42 am

    Am from Kenya,went to his concert, tell Ali kiba he is a man and a true brother.He is true to what is happening to a lot of young african men when they come here. My bro came to the usa just like mac muga got into to things, and as Ali says mac thought of kujiua, my younger bro did. I cry when l listen to the song but thanks God that Ali is being used to warn other young men. Keep it up ,God bless you and brother Ali live it out is my prayer to you just do not sing it. Its crazy here, warn us in songs, we are listening. LOVE, LOVE YOUR VOICE AND SAY THANKS TO YOUR PARENTS, GOD BLESS THEM TOO. Where can i get you cd/dvd in usa, emai if you can.

  74. Comment by YADDAR MAKAL ABISAI on July 8th, 2009 1:20 pm

    Miziki yako ndugu i kibao sana. Mie ni mwalimu wa Kiswahili nchini Kenya na ninawahimiza wasomi wangu kusikiliza miziki yako hasa ‘Mac Muga’ kwani una mafunzo mzomzo. Ali Kiba, jitahidi usiwe kama huyo ‘Mac Muga’
    mwalimu Yaddar

  75. Comment by maxi on August 25th, 2009 4:47 pm

    hey!!!!!!!!!!!!!! man i love ur songs and i think ur sooooooo cute……..luv u

  76. Comment by Winfred Abisai Makal on September 4th, 2009 2:40 pm

    Mie na mume wngu ni mashabiki kindakindaki wa ngoma zako. heko. Jifunge nira kaka.

  77. Comment by vumiriamaneno on September 12th, 2009 11:03 pm

    napenda nyimbo zako sana.

  78. Comment by vumiriamaneno on September 12th, 2009 11:04 pm

    napenda nyimbo zako

  79. Comment by jean claude on September 15th, 2009 11:06 am

    mtu wangu nina kaneno mataka tuongee na ali kiba sijui kama naweza kupata namba zake on E-mail yake

  80. Comment by Dan Wright on November 10th, 2009 4:40 am

    Niaje Ali K.
    maze ngoma zako ni moto wa kuotea mbali. especcially hiyo Mac-muga, sisemi kitu. maze congrats keep up. (Fan mkubwa – Kakamega, Kenya)

  81. Comment by mac muga on January 23rd, 2010 3:26 pm

    sio mchezo mgoma kali inafundisha yashotokea na tushayaona

  82. Comment by Nashipai,china on January 24th, 2010 7:16 am

    manze mimi ni mkenya na niko china but nakumbuka ngoma yako.kuna gani mpya?hongera

  83. Comment by fatuma on May 10th, 2011 8:36 pm

    wow ali kiba hongera i like your most of all hadithi

  84. Comment by fatuma on May 10th, 2011 8:39 pm

    wow ali kiba hongera i like your songs
    most of all hadithi

Leave a Reply