Siku moja moja huwa tunapenda “kuchemsha bongo” au kuomba msaada wako msomaji ki-aina.Leo tunaomba utusaidie,huyu kwenye picha ni nani?Unamtambuaje?

Feedback / Comments

51 Responses to “UNAMTAMBUA HUYU?”

  1. Comment by solange on March 12th, 2008 2:17 am

    ndo mwigizaji anaenivutia, mana ana hisia ya kile anachokifanya sikumbuki jina lake lakini mdada kip it up.

  2. Comment by Twin on March 12th, 2008 3:27 am

    RIYAMA

  3. Comment by Chris on March 12th, 2008 5:01 am

    C’mon BC… how helpless u r…. Hamna contacts?

    Duuuuh wajameni…. dis chick is stunning n’ flawless. Who’s she aiseeee!

    Cheers….

  4. Comment by Anna on March 12th, 2008 5:21 am

    She is Mary banyuka ,participating Bongo star search.

  5. Comment by Jennas on March 12th, 2008 5:34 am

    Mmmh huyu ni yule mwanadada mwenye hisia kali sana katika anga za filamu anafahamu analolifanya katika ulimwengu wa maigizo cjui tamthilia.

    Aitwa Riyanna namjua kama dada aliyejaliwa machozi mengi sana wanapendaga kumpanga kweli nafasi zakulia lia embu muojini one dei aseme kinachomliza kila saa ni nini?
    Na kama anamezaga dawa zakuongeza machozi aniagizie nipate kuzitumia tym niko na boifilendi wangu niwe nadeka nalia(hahaha)
    Nimetoka nje ya swali lakini niwekeeni hii post yangu mara nyingi mnanibaniaga sana

  6. Comment by Gervas on March 12th, 2008 5:38 am

    simujui jina, ila ni serebriti wa Bongo…na anaweza kuigiza, siku akija hapa bush kwetu lazima nipige nae picha.

  7. Comment by anisa on March 12th, 2008 5:42 am

    she is one of my favourite actress,she is really talented and she is good of playing any role so big up girl.

  8. Comment by Matty on March 12th, 2008 5:47 am

    Huyu dada ni Rihama a.k.a Mama Mateso anajitahidi kuigiza vizuri sana.
    Good! make up imetulia & natural colour without mkorogo keep it up!hapo kwenye wigi la kichina nahisi kama unapata tabu usoni na hilo joto la bongo je inakuwaje???

  9. Comment by j4 on March 12th, 2008 6:18 am

    nimuigizaji wa michezo ya kibongo ila jina lake limenitoka mtu wangu.

  10. Comment by zamaradi on March 12th, 2008 6:24 am

    Riyama nimsanii wa filamu Tanzania

  11. Comment by Muga Raymond on March 12th, 2008 7:04 am

    That’s Miriam Odemba, a beauty contestant of mnet face of Africa which occured in 1999, damn she looks delicious.

  12. Comment by kiportable on March 12th, 2008 7:37 am

    mdada huyu huwa anacheza michezo ya kuigiza na alicheza part moja kama mad girl ili mfit kichizi na kwa sasa yuko kwenye tangazo moja la sabuni la midix kama cjakosea manake sabuni nyeusi dar zinazuka kama uyoga…tehe tehe.., kwa jina mmmh… sijamnyaka.

  13. Comment by Liz Baraka on March 12th, 2008 7:45 am

    Ni Riyama msanii wa michezo ya kuigiza na filamu.

  14. Comment by Saidi Situ on March 12th, 2008 7:53 am

    Kanumba

  15. Comment by Pot on March 12th, 2008 8:13 am

    Binamu yake …Marehemu .Amina Chifupa .. naona wanashabihiana mashavu

  16. Comment by Komba .H on March 12th, 2008 8:22 am

    Huyu anaitwa Rihama.Ni muigizaji mashuhuri hapa Tanzania alishawahi kupata Tuzo furani.

  17. Comment by sikubaliani on March 12th, 2008 9:31 am

    i love u

  18. Comment by any on March 12th, 2008 9:41 am

    Jamani mie simjui ila katulia

  19. Comment by amina on March 12th, 2008 9:43 am

    saidi situ mi sitaki kwiwkwiwkiwki

  20. Comment by Matty on March 12th, 2008 9:51 am

    We Said Situ kweli unausingizi nani tena??? eiti Kanumba aya bwana tumekuelewa!

  21. Comment by David Douglas on March 12th, 2008 9:58 am

    MAMA MATESO HUYU DAH ANA LAFUDHI TAMU SANA YA KITANGA………..MMMMMMMMMMMMMMH SI MCHEZO BABE UMETULIA.

  22. Comment by Edwin Ndaki on March 12th, 2008 10:04 am

    Ngoja nitumie lugha moja ambayo naikumbuka niliisoma kwenye kitabu changu kipendwa nikipendacho…

    “SIMJUI MTU HUYU”

  23. Comment by Kauze on March 12th, 2008 10:05 am

    Huyu dada nimemsahau jina. Aliigiza fungu la kukosa. Ni mzuri sana huyu dada na anajua kuigiza. Ooooohh,… anaitwa Mazoea..hahahahahahaha. Hilo nadhani ni jina alilotumia kwenye kuigiza fungu la kukosa. Ila huyu dada ana kasura kazuri jamani. Sijui bado anaishi kigogo!!

  24. Comment by Mswahilina on March 12th, 2008 12:06 pm

    Mwanafunzi wangu wa Kiswahili “Gervas”, mbona umeandika tena ‘serebriti’ badala ya selebriti? Ulikuwa umeshapata “A” lakini sasa imepugua hadi “C”. Pulu apu yua soksi.

  25. Comment by Michelle on March 12th, 2008 4:41 pm

    jamani huyu ni Maimartha mmemsahau tena, mnaniudhi nyieeeeeeeee

  26. Comment by Tokomile Tulivu on March 12th, 2008 5:23 pm

    Huyo ndiye bibiye RIYAMA ALI, aliyemliza Dimoso ktk ile movie
    yake inayoitwa FUNGU LA KUKOSA. Hivyo ndivyo nimjuavyo au nimkumbukavyo mimi.

  27. Comment by Mbarikiwa on March 12th, 2008 6:10 pm

    Huyu dada ninamuonaga kwenye maigizo/filamu za Bongo. Kwa ujumla ni mzuri na anavutia.

  28. Comment by ISMA KABENGO on March 13th, 2008 2:26 am

    MERLY WA BIG BROTHER AFRICA 11

  29. Comment by Gervas on March 13th, 2008 3:03 am

    Mswahilina, uminichekesha saaana teh, teh, teh !!

  30. Comment by Gervas on March 13th, 2008 3:11 am

    Mswahilina; kama mwalimu inabidi uwavumilie wanafunzi wako watukutu. kwa kifupi mimi ni mixer yaani chotara wa makabila mawili sugu kwa kunyoosha kiswahiri, yaani Mkandamizaji na Mkurya, sasa unanitegemea niweje? sio kama wewe mdengeleko lugha yenu hii.

  31. Comment by nasra on March 13th, 2008 6:23 am

    anaitwa riyama,ni bonge la actress,namuamini saaaaaaaaaaaaaaaaaaaana!keep it up!

  32. Comment by solange on March 13th, 2008 8:00 am

    we muga raymond heee nimecheka mpaka basi hahaha miriam tena.

  33. Comment by Mswahilina on March 13th, 2008 8:23 am

    Gervas na wewe, umeandika tena KISWAHIRI badala ya KISWAHILI; Lakini ninakufagilia, unajitahidi sana siku hizi, Ushauri wangu kwako ni kuwa: Wakati unaandika mada jaribu kutuliza mawazo, jua kuwa jana imepita upo leo; Hivyo andika kiswahili sanifu. Ninakutakia kila la heri.

  34. Comment by faye on March 13th, 2008 11:11 am

    huyu binti ni mtoto wangu na mi kama mzazi nampa hongera kwa hapo alipofika na asiregeze ukanda aongeze bidii katika maigizo na ombi kwa wasaniiwote wa bongoland,sisi wa bongo tulio huku ukerewe(nje) tunawaomba mjiendeleze kimasomo kwani elimu haina mwisho na pia ni njia ya nyinyi kulinda kazi zenu kwani huku mapirates wa kucopy ni wengi na wanaharibu kazi na kula yenu.hati miliki ni muhimu.

  35. Comment by 100%Bantu on March 13th, 2008 2:34 pm

    Faye ni legeza au regeza?
    Watoto wanauliza huku….
    Unyosha ukubwa basi, waelimishe.
    Au mhaya wewe?

  36. Comment by ABC on March 14th, 2008 8:26 am

    SIMJUWI LAKINI SIO RIAMA ALLY

  37. Comment by sweetoh on March 14th, 2008 10:09 am

    Huyu ni Riyama Ally, Muigizaji mzuri wa filamu, kitindamimba wa mwenyewe Bi Fatma Saleh, na lafudhi yake ni ya kizanzibari na si ya kitanga.
    Hongera CHIDAHAMA, Kila la kheir!!!

  38. Comment by Longolongo on March 15th, 2008 4:27 am

    Du! mtoto yupo bomba huyu, sijui kama ameolewa, Ninamlavu kweli kweli.
    Tuwasiliane basi
    (tumia mtanzania.tanzania@yahoo.com)

  39. Comment by Mtoto wa Kizenji on March 15th, 2008 6:08 pm

    Huyu dada anaitwa: Riyama Ally Suleiman, Mwenyeji wa Zanzibar. Nilisoma na huyu dada “DARAJANI PRIMARY SCHOOL”. Mola akuziishie kila la kheir na Baraka ktk maisha yako yote.

  40. Comment by Bangusilo on March 16th, 2008 11:49 am

    mhhhhh yangu mijicho……BC tupeni jinale na wajihi.

  41. Comment by sweetoh on March 16th, 2008 12:46 pm

    Longolongo, Jina lenyewe linatutisha hilo!
    Mh! Riyama akili kunkichwa dada!

  42. Comment by Longolongo on March 16th, 2008 6:51 pm

    Jamani Sweetoh;
    Sio vizuri kuwabania wenzako namna hiyo; ona ulivyo andika: “Longolongo, Jina lenyewe linatutisha hilo! Mh! Riyama akili kunkichwa dada”.
    Ulitaka nami niitwe ‘Sweetoh’ kama wewe ndio jina langu lisingetisha? du, kama basi umeona mie ninatisha mpende wewe, au kama wewe ni ‘Mamaa’ nitumie picha yako ninaweza nikakulavu.
    Lakini kusema kweli ‘Nimemlavu sana Riyama Ally Suleiman’.

  43. Comment by Jitu Bahari on March 17th, 2008 9:19 am

    mi namjua huyu kipua kipande

  44. Comment by HEARTBEAT on March 18th, 2008 5:03 am

    Ni vizuri mtu ukaelewa swali kwanza ndipo ukajibu.Mbona swali lenyewe liko wazi?kama unajua jina la huyo dada ni kiasi cha kuandika, anaitwa fulani binti fulani .Sio wewe tena namjua ila jina nimesahau,mara unaomba tena upewe jinale tena kwa kejeli,mara ni mwanao umemzaa mwenyewe lakini jina hutaji , mara jina longolongo halafu unataja jina kama unabifu na huyu dem basi mfuate umalize bifu lako si vyema kumfanya mwenzio namna hii,hujui kaa kando wanao jua wajibu we ishia kusoma reply ili ujue.
    Tatizo wabongo tunajifanya wajuaji maana wengine ndio wamekua waalim wa lugha haya ingekua kifaransa pia ungemkosoa mwenzio hivyo?Hebu kwenye maambo ya maana tufanya kama inavyotakiwa sidhani kama bongo celebrity ni tovuti ya kihuni kiasi hicho.Ndio maana hatuendelei kwa kila siku kujibu pumba.hujui acha wanaomjua wajibu,lakini bifu,kukosoana kwa ajili ya maandishi sidhani kama ni sawa kwani ni ngumu kumrekebisha mtu kwenye tovuti kama hivi au kama unaona aliyekosea unamfaham mfuate umwambie kama kweli hupendi achekwe na wanaojua kuandika na kusoma lugha sawia.

    Samahani kwa yeyote nitakae kua nimemkwaza kwa haya maandishi yangu ila inaboa kuona 70% wanajibu pumba,kebehi na majibu ya kuiga.jibu wewe kama wewe lakini si vinginevyo pia kumbuka CHARITY START AT HOME!!!!!

  45. Comment by Mswahilina on March 18th, 2008 1:08 pm

    HEARTBEAT, hivi umeona Kifaransa ndio Lugha ambayo inashindikana kurekebisha? Wafaransa watarekebisha ndio maana lugha yao inaitwa Kifaransa. Mbona wewe hukuandika Kifaransa ili tukuone kuwa wewe ni msomi hadi ufaransa? Kama kuna aliyeandika PUMBA ni wewe usiyependa Kiswahili, na kujifanya kuwa unamrekebisha kila mnau wa blog hii. Wewe ndio umeendelea ? Weka basi picha yako hapa tuone ulivyoendelea ? Hata jina lako unajiandika ‘Heart-beat’ andika basi jina kamili tukufahamu. Usitujazie Blog yetu kwa kutuandikia ‘Hekaya za Abunuas’ na ‘Alfu lele ulela’.

    Penda kiswahili ndugu ‘Mapigo ya Moyo’ maana hata Wafaransa unaowasifu wanapenda Kifaransa.

  46. Comment by aysher on March 23rd, 2008 2:10 pm

    huyu jina lake ni sikio la kufa

  47. Comment by Pachanga on March 25th, 2008 2:08 am

    Huyu binti anaitwa Riama Ally aka Selena ni mmoja kati ya waigizaji wazuri nchini Tanzania.

  48. Comment by David on May 27th, 2008 5:26 am

    I don’t know her name but i know she is an actress, I saw her in one the most fascinating Tanzanian movies ” Fungu la Kukose” She is simply the best actress i have ever seen in my watching of Tanzanian movies. Keep it up sis,

  49. Comment by Hellen on February 22nd, 2010 7:29 am

    Mwanichekesha wajameni,hilojina la sikio la kufa umempa wewe?

  50. Comment by bauer kavatsi bifa on April 20th, 2010 10:50 am

    nina mpenda sana riyama ally baueer from Kinshasa muambiyeni anipatie adress zake dar nikukuje huko

  51. Comment by machozi jons on April 18th, 2011 7:36 am

    anaitwa RIYAMA ni mmoja kati ya wasanii wa kike hapa bongo ambaye mimi ninamfagilia ile mbaya una jua kwanini?
    1. ni mzuri
    2.mwigizaji anayechezea hisia kama kaziumba yeye
    3.
    4.
    5.

    kama kuna m2 ana bifu naye aseme

Leave a Reply