
Kwa njia tofauti,katika nyakati tofauti,Raisi wa Kenya,Mwai Kibaki na mkewe Lucy Muthoni Kibaki wameongelewa sana katika vyombo mbalimbali vya habari ulimwenguni.Sote tunajua kwamba hivi karibuni jina la Mwai Kibaki lilitawala katika vyombo vya habari baada ya “muujiza’ wa uchaguzi wa Kenya.Lakini unajua kwanini Lucy Muthoni Kibaki ni mmojawapo miongoni mwa “First Ladies” wa Afrika wenye umaarufu wa kipekee pekee hivi?Unaweza kupata dalili kwa kubonyeza hapa.
BC inakutakia siku njema ya wajinga duniani.Kuwa makini leo,its April’s Fools Day.
Feedback / Comments
22 Responses to “MR AND MRS MWAI KIBAKI”
Leave a Reply


Huyu First Lady hana mchezo, ukimsema Rais vibaya anakuchapa mangumi. Isije ikawa hata mheshimiwa akawa anachapwa vibao anapomkosea.
mmmhh hyaaaaaaaaa aingii akilini lakini basi
huyu naye kang’ang’ania mi sitaki hat akusema
Waone walivyo na sura za kikatili hadi wanatisha….heee nilikuwa sijaona mamaaaa kavalia kofia kama Malkia haya ndo nawewe fashion yako wenzako hapa mama wa kwanza anaenda na shuka begani kwa raha zake!!!!
Lakini tuache utani hawa wanafanana sana ila mimi napenda uwepo mpambano kati ya mama wa kwanza wa tz na wa kenya tuone nani zaidi?
huyu first lady wa kenya ni kiboko wa kuchapa wanaume wazima wenye familia zao makofi,binafsi hanifurahisi maana ana ubabe sana
wezi wa kura za uchaguzi hao
uchu wa madaraka kwao umefanya maelfu wapoteze maisha ya ndugu zao wakenya.
huyu kibaki kiboko yani sherehe ya kuapishwa hata kualika watani wake wa jadi kushuhudia?au bajeti iligomba?mihela yote iliishia kwenye kampeni?lkn sio ajabu mkenya kukununulia hata soda shughuli hawa watu ni wachumi balaa hela haitoki ovyo ovyo kila senti ina bajeti,thxs God tumejaliwa upendo,ukarimu na huruma watz yani mtu unakutana nae kwenye daladala mnafahamiana unaamua hata kumlipia nauli tu hayo mambo kenya hamna kabisa nimewahi kukaa huko na nimeyaona,mkenya anakwambia twende tukanywe soda usidhani atalipa yeye ujue unajilipia ila yeye anataka kampani tu.Mungu ibariki Tanzania na watanzania wote waendelee na moyo wa upendo na kusaidiana milele.
yaani mmefanana utasema mtu na dadaye…huyu mama kazidi ukorofi
Sio siri jamani mama Kibaki kafanana na mama Mkapa. Au mama Kibaki mzuri kidogo jamani? Ama kweli dun iani wawili wawili. Si unajua hata bwana mkubwa aliwahi kutandikwa mpaka akawa anachechemea? Mapacha hao!!!!
Wamependeza na wanameremeta.
hivi viloba si mchezo!.
MWEH!
Kibaki is another Sucker!Clearly alishindwa na ODM katika uchaguzi,hayo yamekwisha,kapata BAHATI YA MTENDE kupewa fursa angalau ya kuwa Rais katika kipindi hiki cha mpito ili asimamie smooth transformation of state machinery na transfer of power while retaining national unity,Raila awe Executive Prime Minister with constitutional powers to appoint a Cabinet of Ministers and the Civil Service under a revised new constitution,LAKINI BAHATI HIYO HAIONI,UKARIMU HUO HAUONI,kesha sahau kwamba sasa hivi angekuwa kesha tupwa kando ya siasa na kusahaulika,BADO ANAFANYA MCHEZO wa kuchelewesha uteuzi wa baraza la mawaziri kwa mujibu wa uwiano wa idadi ya wabunge wa kila chama cha siasa!Huo ndiyo utaratibu pekee na wa haki unaotumika duniani kote katika mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa.Mimi nashindwa kabisa kumuelewa pale anapo endelea kuwakumbatia vijana wake ambao wanahofia kupoteza uwaziri katika serikali mpya na pia kuendekeza ushawishi wa viongozi mafisadi wanao hofia sheria itachukua mkondo wake na wao kupoteza kila kitu serikali mpya itakapo teuliwa?Shame on Africa!Annan kaja wasuluhisha lakini bado wenyewe kwa wenyewe wanashindwa kutumia busara zao ili kuepusha mateso wanayo yapata kina mama na watoto wadogo sehemu mbalimbali za Kenya.Wamrejee Mwenyezi Mungu japo mara moja,ili awaongoe Kenya ipate serikali imara na itakayo heshimu haki za binadamu na kufuata demokrasia pamoja na kufuata mafundisho ya Mwenyezi Mungu vile yeye ametaka!Asiyejua kufa achungulie kaburi!
Huyu Kibaki amekuwa mzigo mkubwa kwa WaKenya, amegomea uongozi baada ya uchanguzi, watu 1500 wamekufa, bado tuu anataka kuweka mawaziri 44! Nadhani hataki kuwaondoa watu wake kupisha watu wa ODM….he is a liability!
huyo mwanamke mkorofi, jk ameyaona haya na aache kukimbilia kenya , waache weajitawale wenyewe. wakenya wana ukabila na ni wagomvi wagomvi, hatari wakenya.
amekaa kama mwanamke mmoja wa kichaga amemwacha mumewe, lakini akisikia mtu anamkaribia anaanzisha fujo, kweli wachaga wametushinda mpunguze na ufisadi uko maofisini.
Hili zee limetutia aibu East Africa! Ninafuraha Mugabe kashindwa au ilikuwa fool’s day?
kano mkabila mambo yanakwendaje?
mchaga ofisini, tena wanajua na kuibia serikali kijanja janja, wachaga amkeni na muache wivu na wizi, kushupalia waume za watu, wachaga mmetushida jamani.
Mwe!!! Visura hao jamani…..kha!!!! Sijawahi ona visura kama hawa. Mvuto “A”
Ukiskia Fest lady asiye na adabu basi ndo huyu.DU!Yaani ni zaidi ya rais mwenyewe…utadhani atakalia ufesti ledi hadi anaenda kaburini!mmhh!