Kama kuna jambo linatia moyo katika ulimwengu wa muziki nchini Tanzania ni kuona wasanii wakongwe wakishirikiana na wasanii wanaoitwa muziki wa kizazi kipya! Hii ni kama ilivyo kwa msanii Fid Q kumshirikisha msanii mkongwe Zahir Zorro katika “Ripoti za mtaani” au Street Report.Itazame video hapo chini.Ahsante Pius kwa video hii.
You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video
Page 1 of 3 | Next page