FID Q FT ZAHIR ZORRO NA RIPOTI ZA MTAANI

Kama kuna jambo linatia moyo katika ulimwengu wa muziki nchini Tanzania ni kuona wasanii wakongwe wakishirikiana na wasanii wanaoitwa muziki wa kizazi kipya! Hii ni kama ilivyo kwa msanii Fid Q kumshirikisha msanii mkongwe Zahir Zorro katika “Ripoti za mtaani” au Street Report.Itazame video hapo chini.Ahsante Pius kwa video hii.

You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video

Page 1 of 3 | Next page