Unamtambua mrembo huyu?Ni nani na kazi yake ni nini?

Feedback / Comments

47 Responses to “UNAMTAMBUA HUYU?”

  1. Comment by michelle on April 22nd, 2008 10:57 pm

    Mmmm huyu mrembo kazi kweli kweli!!!

  2. Comment by Mchome on April 23rd, 2008 12:40 am

    Huyu ni Pauline Nzongo. Kazi yake ni Mwanamuziki.

  3. Comment by Mchome on April 23rd, 2008 12:43 am

    Huyo hapo juu ni Pauline Nzongo ambaye kazi yake ni Muziki.

  4. Comment by jamal on April 23rd, 2008 1:34 am

    pauline zongo!!!mwanamuziki!!dah nadhani siku hizi ni mama wa nyumbani zaidi….ha haha

  5. Comment by Haule Osmound on April 23rd, 2008 1:40 am

    Habari za leo!

    Huyu ni Pauline Zong, na kazi yake ni mwanamuziki.

    Sauti yake ni Bombaaaaaaaa sanaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    Bye

  6. Comment by MAKWINJA on April 23rd, 2008 1:41 am

    Bila shaka yoyote, huyu ni Pauline Zongo; MWANAMUZIKI.

    Ana vipaji lukuki, ikiwa ni pamoja na kuimba na kupiga guiter: to mention a few.

  7. Comment by MAKWINJA on April 23rd, 2008 1:46 am

    Pauline Zongo ni mwanamuziki ambaye amejaaliwa vipaji, kama vile kuimba, kupiga guitor n.k.

    Sijamsikia sana siku za karibuni; huenda ame-concentrate kulea mwanawe.

  8. Comment by Pearl on April 23rd, 2008 1:58 am

    mrembo huyu anaitwa Pauline Zongo na ni mwanamuziki ambaye anajipigia gitaa akiwa anaimba na ameshirikishwa kwenye nyimbo na baadhi ya wasanii mfano GK kwenye nyimbo ya sister sister na nyinginezo.
    mi namfurahia tu huyu mwanadada,kazi nzuri.

  9. Comment by Chiddo on April 23rd, 2008 2:08 am

    Huyu anaitwa Pauline Zongo alikuwa mwimbaji wa East Coast,halafu akahamia TOT.nasikia anakaa mitaa ya fao karibu na victoria na ana mtoto(tetesi)

  10. Comment by Mtukwao on April 23rd, 2008 2:28 am

    mmhh mie simjui, but all I know she’s cuteeeeeeeeeeeeeeeeee!!

    Lookin’ good sis , keep the nature girl!!!!!!!!!!!!!!

  11. Comment by Belo on April 23rd, 2008 3:10 am

    faraja kota

  12. Comment by mimmy on April 23rd, 2008 3:33 am

    Huyu ni kimwana mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni pauline zongo. ni mwanamuziki wa bendi TOT aliyenzia kwenye muziki wa kizazi kipya.

    namkubali sana kwa sauti yake ila ajitahidi katika kupangailia pamba tu kama mwenzie lady jay dee.

    big up pauline

  13. Comment by solange on April 23rd, 2008 3:38 am

    pauline zongo….duuu siku hizi kanenepa haswaaaaa

  14. Comment by Twaha Figo A-City on April 23rd, 2008 3:46 am

    Paulin Zongo,mara ya mwisho alikuwa mwanamuziki wa bendi ya TOT,sasa sijui kama mpaka sasa bado yuko bendi hiyo maana toka alivyojifungu hajaonekana jukwaani.

  15. Comment by firidaus on April 23rd, 2008 3:53 am

    Huyo paulin zongo ni mwana mziki wa kizazi kipya

  16. Comment by Liz on April 23rd, 2008 3:57 am

    Ni Pauline Zongo, mwanamuziki. Nakumbuka alikuwa akiimbia bendi ya TOT, sijui kwa sasa kama bado anaimba au la, ninapenda anavyopiga gitaa.

  17. Comment by Komba .H on April 23rd, 2008 4:13 am

    Huyu ni mwanadada anacharaza gita na si mwingine ni Paulin Zongo.Hongera Dada kwa kazi yako lakini sasa hatukusikii mbona kimya au ndio kimya kingi kina mshindo.

  18. Comment by ibrahim on April 23rd, 2008 5:42 am

    josephine,msanii wa bongo flava.

  19. Comment by Kaka Poli on April 23rd, 2008 5:45 am

    Huyu ni Pouline Zongo (mama nanihii….) Ni mwanamuziki aliyewahi kuimbia kundi la East Coast Team chini ya uongozi wa Gwamaka Kaihula na bemdi ya muziki wa dansi ya Tanzania One Theatre (T.O.T). Ni mcharazaji mzuri wa gitaa pia.

  20. Comment by Amina on April 23rd, 2008 5:55 am

    huyu ni mwanamuziki Pauline zongo

  21. Comment by sweetoh on April 23rd, 2008 6:10 am

    Pauline Zongo, Mwanamuziki.

  22. Comment by sally on April 23rd, 2008 6:19 am

    Jamani mie simfahamu, msaada kwenye tuta

  23. Comment by Angeline on April 23rd, 2008 6:51 am

    Pauline Zongo, Mwanamuziki….alikuwa kwa GK akaenda TOT. Kwasasa sijui yu wapi.

  24. Comment by Kekue on April 23rd, 2008 7:29 am

    Pauline Zongo km cjakosea!!! mpiga gitaa mzuri sn huyu dada na anajiheshimu.

  25. Comment by baker on April 23rd, 2008 8:25 am

    Duh kazi ipo ata simjui!! ila anaonekana ni mwanamke mwynye tabia nzuri si unaona yani ni mswahili alisi uso ata mavazi, sio kama wale wanawake wanao painting nyuso zao. Huyu uypo bomba figure na face asili ya mwanamke wa kia Africa. Big up dada yangu.

  26. Comment by Gervas on April 23rd, 2008 10:52 am

    Easy..Bi kidude huyu

  27. Comment by Kamanzi on April 23rd, 2008 11:13 am

    Sasa huyu anaweza kujiita mwanamuziki na sababu ni dhahiri. Kwanza anaweza kutunga nyimbo hata kama sio nyingi ila anaweza. Pili anaweza kupiga gitaa tena kwa ufasaha mno. Tatu anaweza kufanya vyote hapo juu kwa wakati mmoja yaani kuimba na kupiga gitaa kwa mpigo. Sasa acha nichombeze kidogo kuanzia namba nne.

    Nne hajichubui. Tano sio msagaji. Sita kasoma kwa kiasi chake tena Ufaransa. Saba nyumba anayoishi inatisha kwa viwango. Nane muziki sio jambo pekee analolitegemea na ndio maana yupo likizo ya kimuziki sasa. Tisa hakuna hata siku moja akakutwa na kashfa kama za ngono nakadhalika. Kumi havai vinguo vya kujizalilisha. Zongo unafaa kwenye jamii.

  28. Comment by pyupyu on April 23rd, 2008 11:35 am

    tulipokutana sote tulifurahia,tuliahidiana kuishi sote pamoja,tutusikilize maneno ya watu………

    Sikiliza gitaa lake kwenye wimbo wa unanitega wa mwanaFA.

    Huyo ndo Pauline Zongo mwanamuziki mwenye sauti tamu ila nahisi hatilii sana maanani sanaa hii.
    Labda majukumu.

  29. Comment by Amina on April 24th, 2008 3:30 am

    kamanzi naungana nawewe kabsa..manake unaweza ukawa umefanikiwa kimziki lakini sifa za mwanamuziki huna wa kiafrika huna,mikashfa,nguo za ajabu nk lakini huyu demu kasimama

  30. Comment by TATU on April 24th, 2008 3:32 am

    Pouline mwana wa Zongo mwanamuziki wa kizazi hiki cha sasa/wanakiita kipyaaaaaaaaaaa napenda anavyopiga gitaaaaaaaaaa we acha 2 wanawake tunaweza bana haswa tukiwezeshwa.

  31. Comment by Chala on April 24th, 2008 7:39 am

    Kamanzi nakuunga mkono!!!!!!!!!!!!!!

  32. Comment by Jennas on April 24th, 2008 8:39 am

    HE mbona kanenepa hivi jamani ila poa kabisa anaonyesha uhalisia wa mama africa.

    Pauline zongo binti naniiii

    Jamani za macku

  33. Comment by roder on April 24th, 2008 9:01 am

    huyo ni mwanadada pauline zongo.i like her dress

  34. Comment by roder on April 24th, 2008 9:05 am

    kapendeza sana,thats how african women suppose 2 wear.big up sister.

  35. Comment by pyupyu on April 24th, 2008 11:25 am

    mmmh! Tatu ndugu yangu hii tabia ya kusubiri wanawake wawezeshwe ndo inapelekea mambo mabaya yafanyike.
    Huu si wakati wakusubiri tena kuwezeshwa,simama kwa miguu yako mwenyewe ujiwezeshe.
    Vinginevyo utaendelea kutumiwa hadi mwisho ama umsubiri huyo wa kukuwezesha na asitokee.

  36. Comment by hombiz on April 24th, 2008 3:58 pm

    kinda qute!

  37. Comment by Huyu nani on April 24th, 2008 5:04 pm

    ah nyote mmechemsha. Huyu anaitwa Kalapina wa Kikosi cha mizinga.

  38. Comment by grmavura on April 24th, 2008 6:59 pm

    duuh yaani huyo dada angecheka tu kidogo tukaona mwanya tungejua ni nani kwa urahisi, lakini sasa inabidi tukadirie tu kuwa ni pouline zongo

  39. Comment by Dedox on April 25th, 2008 8:43 am

    Paulin Zongo, anavipaji lukuki na anajiheshimu ucbonyeze!

  40. Comment by Haule Osmound on April 25th, 2008 8:55 am

    ni Pauline Zongo !!!!

    ni bonge la mwanamuziki, namfagilia sanaaaaaaaaaaaaaa

    big up sister

  41. Comment by rachel on April 26th, 2008 7:37 am

    pauline zongo uyo ila siku hizi amekuwa kibonge sana namshauri afanye mazoezi kidogo kwani unene sio issue kwa wanamuzi

    be goo dbaby ni mtazaamo tuuu

  42. Comment by godliving raymond on April 27th, 2008 5:05 pm

    huyu ni PAULINE ZONGO. Nakumbuka sana enzi zake hasa akiwa EAST COAST TEAM na TOT BAND

  43. Comment by J.J on April 28th, 2008 9:32 pm

    huyo ni Pauline zongo na kazi yake ni mziki

  44. Comment by Hole filler on April 30th, 2008 12:31 pm

    not well known, dont have idea , but african beauty she posses Tyra Banks, Naomi Campbell, Jane Jackson hawaoni ndani lol

  45. Comment by demetria on May 1st, 2008 4:30 am

    Kweli huyu dada enzi hizo kabla hajaamua kuitwa mama alikua anatisha zaidi ya sasa…..

  46. Comment by demetria on May 1st, 2008 4:33 am

    Alikuwa mwanamziki mzuri tu na anasauti nyororo sana katika kuimba kwake…..

  47. Comment by hans on May 22nd, 2008 3:22 pm

    huyu ni paulin zongo, alieshirikishwa na gk katika sista sista

Leave a Reply