
Unamtambua mrembo huyu?Ni nani na kazi yake ni nini?
Feedback / Comments
47 Responses to “UNAMTAMBUA HUYU?”
Leave a Reply
sending...47
Comments
→ April 22, 2008 → Tags: Photography/Picha, Watu na Matukio →
Feedback / Comments
47 Responses to “UNAMTAMBUA HUYU?”
Leave a Reply
Mmmm huyu mrembo kazi kweli kweli!!!
Huyu ni Pauline Nzongo. Kazi yake ni Mwanamuziki.
Huyo hapo juu ni Pauline Nzongo ambaye kazi yake ni Muziki.
pauline zongo!!!mwanamuziki!!dah nadhani siku hizi ni mama wa nyumbani zaidi….ha haha
Habari za leo!
Huyu ni Pauline Zong, na kazi yake ni mwanamuziki.
Sauti yake ni Bombaaaaaaaa sanaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Bye
Bila shaka yoyote, huyu ni Pauline Zongo; MWANAMUZIKI.
Ana vipaji lukuki, ikiwa ni pamoja na kuimba na kupiga guiter: to mention a few.
Pauline Zongo ni mwanamuziki ambaye amejaaliwa vipaji, kama vile kuimba, kupiga guitor n.k.
Sijamsikia sana siku za karibuni; huenda ame-concentrate kulea mwanawe.
mrembo huyu anaitwa Pauline Zongo na ni mwanamuziki ambaye anajipigia gitaa akiwa anaimba na ameshirikishwa kwenye nyimbo na baadhi ya wasanii mfano GK kwenye nyimbo ya sister sister na nyinginezo.
mi namfurahia tu huyu mwanadada,kazi nzuri.
Huyu anaitwa Pauline Zongo alikuwa mwimbaji wa East Coast,halafu akahamia TOT.nasikia anakaa mitaa ya fao karibu na victoria na ana mtoto(tetesi)
mmhh mie simjui, but all I know she’s cuteeeeeeeeeeeeeeeeee!!
Lookin’ good sis , keep the nature girl!!!!!!!!!!!!!!
faraja kota
Huyu ni kimwana mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni pauline zongo. ni mwanamuziki wa bendi TOT aliyenzia kwenye muziki wa kizazi kipya.
namkubali sana kwa sauti yake ila ajitahidi katika kupangailia pamba tu kama mwenzie lady jay dee.
big up pauline
pauline zongo….duuu siku hizi kanenepa haswaaaaa
Paulin Zongo,mara ya mwisho alikuwa mwanamuziki wa bendi ya TOT,sasa sijui kama mpaka sasa bado yuko bendi hiyo maana toka alivyojifungu hajaonekana jukwaani.
Huyo paulin zongo ni mwana mziki wa kizazi kipya
Ni Pauline Zongo, mwanamuziki. Nakumbuka alikuwa akiimbia bendi ya TOT, sijui kwa sasa kama bado anaimba au la, ninapenda anavyopiga gitaa.
Huyu ni mwanadada anacharaza gita na si mwingine ni Paulin Zongo.Hongera Dada kwa kazi yako lakini sasa hatukusikii mbona kimya au ndio kimya kingi kina mshindo.
josephine,msanii wa bongo flava.
Huyu ni Pouline Zongo (mama nanihii….) Ni mwanamuziki aliyewahi kuimbia kundi la East Coast Team chini ya uongozi wa Gwamaka Kaihula na bemdi ya muziki wa dansi ya Tanzania One Theatre (T.O.T). Ni mcharazaji mzuri wa gitaa pia.
huyu ni mwanamuziki Pauline zongo
Pauline Zongo, Mwanamuziki.
Jamani mie simfahamu, msaada kwenye tuta
Pauline Zongo, Mwanamuziki….alikuwa kwa GK akaenda TOT. Kwasasa sijui yu wapi.
Pauline Zongo km cjakosea!!! mpiga gitaa mzuri sn huyu dada na anajiheshimu.
Duh kazi ipo ata simjui!! ila anaonekana ni mwanamke mwynye tabia nzuri si unaona yani ni mswahili alisi uso ata mavazi, sio kama wale wanawake wanao painting nyuso zao. Huyu uypo bomba figure na face asili ya mwanamke wa kia Africa. Big up dada yangu.
Easy..Bi kidude huyu
Sasa huyu anaweza kujiita mwanamuziki na sababu ni dhahiri. Kwanza anaweza kutunga nyimbo hata kama sio nyingi ila anaweza. Pili anaweza kupiga gitaa tena kwa ufasaha mno. Tatu anaweza kufanya vyote hapo juu kwa wakati mmoja yaani kuimba na kupiga gitaa kwa mpigo. Sasa acha nichombeze kidogo kuanzia namba nne.
Nne hajichubui. Tano sio msagaji. Sita kasoma kwa kiasi chake tena Ufaransa. Saba nyumba anayoishi inatisha kwa viwango. Nane muziki sio jambo pekee analolitegemea na ndio maana yupo likizo ya kimuziki sasa. Tisa hakuna hata siku moja akakutwa na kashfa kama za ngono nakadhalika. Kumi havai vinguo vya kujizalilisha. Zongo unafaa kwenye jamii.
tulipokutana sote tulifurahia,tuliahidiana kuishi sote pamoja,tutusikilize maneno ya watu………
Sikiliza gitaa lake kwenye wimbo wa unanitega wa mwanaFA.
Huyo ndo Pauline Zongo mwanamuziki mwenye sauti tamu ila nahisi hatilii sana maanani sanaa hii.
Labda majukumu.
kamanzi naungana nawewe kabsa..manake unaweza ukawa umefanikiwa kimziki lakini sifa za mwanamuziki huna wa kiafrika huna,mikashfa,nguo za ajabu nk lakini huyu demu kasimama
Pouline mwana wa Zongo mwanamuziki wa kizazi hiki cha sasa/wanakiita kipyaaaaaaaaaaa napenda anavyopiga gitaaaaaaaaaa we acha 2 wanawake tunaweza bana haswa tukiwezeshwa.
Kamanzi nakuunga mkono!!!!!!!!!!!!!!
HE mbona kanenepa hivi jamani ila poa kabisa anaonyesha uhalisia wa mama africa.
Pauline zongo binti naniiii
Jamani za macku
huyo ni mwanadada pauline zongo.i like her dress
kapendeza sana,thats how african women suppose 2 wear.big up sister.
mmmh! Tatu ndugu yangu hii tabia ya kusubiri wanawake wawezeshwe ndo inapelekea mambo mabaya yafanyike.
Huu si wakati wakusubiri tena kuwezeshwa,simama kwa miguu yako mwenyewe ujiwezeshe.
Vinginevyo utaendelea kutumiwa hadi mwisho ama umsubiri huyo wa kukuwezesha na asitokee.
kinda qute!
ah nyote mmechemsha. Huyu anaitwa Kalapina wa Kikosi cha mizinga.
duuh yaani huyo dada angecheka tu kidogo tukaona mwanya tungejua ni nani kwa urahisi, lakini sasa inabidi tukadirie tu kuwa ni pouline zongo
Paulin Zongo, anavipaji lukuki na anajiheshimu ucbonyeze!
ni Pauline Zongo !!!!
ni bonge la mwanamuziki, namfagilia sanaaaaaaaaaaaaaa
big up sister
pauline zongo uyo ila siku hizi amekuwa kibonge sana namshauri afanye mazoezi kidogo kwani unene sio issue kwa wanamuzi
be goo dbaby ni mtazaamo tuuu
huyu ni PAULINE ZONGO. Nakumbuka sana enzi zake hasa akiwa EAST COAST TEAM na TOT BAND
huyo ni Pauline zongo na kazi yake ni mziki
not well known, dont have idea , but african beauty she posses Tyra Banks, Naomi Campbell, Jane Jackson hawaoni ndani lol
Kweli huyu dada enzi hizo kabla hajaamua kuitwa mama alikua anatisha zaidi ya sasa…..
Alikuwa mwanamziki mzuri tu na anasauti nyororo sana katika kuimba kwake…..
huyu ni paulin zongo, alieshirikishwa na gk katika sista sista