
Umekuwa ukifuatilia maendeleo ya muziki uitwao wa kizazi kipya kwa muda sasa.Umeshuhudia wasanii mbalimbali wakiingia,wakatamba au kupotelea hewani.Lakini je umekuwa ukitunza kumbukumbu zako?Kama jibu ni ndio, unaweza kukumbuka(na kukumbusha wenzako) kuhusu kilichokuwa kinatokea katika picha hiyo hapo juu? Ni wasanii gani ambao unaweza kuwatambua katika picha hii?
Feedback / Comments
11 Responses to “DOWN THE MEMORY LANE…”
Leave a Reply


inspekta na sir nature ndo nawafahamu. Ila inspekta alivokaa sijui picha imemtoaje huku kwa chini. Nadhani labda ni mkao tu.
Wanaume Oyeee!
Siku hii NADHANI ni ileeeeeeee ya uzinduzi wa albam ya UGALI ya NATURE BOY.
INSPECTOR HAROUN
JUMA NATURE
Nimemuona hapo Juma Nature Inspect Haruni au (Babu) wenginge sijawajua vizuri.
Juma Nature & Inspector Harun a.k.a Babu na wasanii wengine wakila Ugali katika uzinduzi wa album ya UGALI ya Juma Nature.
Hapo nawaona nguli wa muziki wa kizazi kipya Insp. Harun (Haruna Kahena), mtaalam wa maneno ya uswahilini yenye mchanganyiko na kindengereko na uzaramo (wa pili kulia), akiwa na Juma Kassim (Juma Nature) wa tatu kutokea kulia. Hapa chakula wanachokula ni ugali, na hii ni katika kuunogesha wimbo wa “ugali” ulioimbwa na Juma Nature katika Albamu ya Ugali (kama sijakosea.
Ahsante kumbukumbu hii kaka
Ugali huo ni siku ya uzinduzi wa chakula bora chenye uwezo wa kipekee UGALI,Hpo J.Nature,I.Haruni sikosei
Chafosa chai goda
kutoka kulia kiboya aka mzee wa sauz / juma nature/ insp Haruni huyu kiboya tumemfukuza sauz hahaha leo meneja wa tmk wanaume lol
Back days mkubwa,enzi hizoo za Ugali,Nature akisimama kama solo Artist akiwa na swahiba wake,Inspector Haruni,”Babu”
Duh mshikaji umenikumbusha mbali mtu wangu. Mambo ya “ugali” hayo wakati wa makamuzi ya albam ya UGALI ya Sir Nature. Namnyaka saana huyo sir Nature na Inpector Haroun. enzi za TMK wanaume Family
Tatizo hili kundi linahusudu sana misosi any way mizik yenu naipenda sana hasa zile za zamani kama jinsi kijana anavyobadili tabia,inaniuma sana,gheto,na sitaki demu.