Anaitwa Sofia Kessy.Kipindi anachokiendesha kinaitwa Afrika Bambataa kupitia Clouds FM kuanzia jumatatu mpaka Ijumaa saa moja mpaka saa tatu usiku akishirikiana na DJ wake Mohamed Ally aka 2 Short.Afrika Bambataa ni kipindi ambacho kimejikita katika muziki wa kiafrika na mambo ya kiafrika.

Feedback / Comments

17 Responses to “AFRIKA BAMBATAA”

  1. Comment by Pope on April 30th, 2008 10:08 am

    Huyu dada ndiye atakaye kuwa Meneja wa kwanza mtanzania wa Mwanamuziki anayekuja kwa kasi wa Kidemokrasia ya Congo Blanchard De Plaizir ambaye anatarajia kufanya ziara mbalimbali, kwa bahari zaidi angalia Bongo5.
    Big Up Dadaa.

  2. Comment by DUNDA GALDEN on April 30th, 2008 10:46 am

    Nilipokuwa nyumbani enzi zile nilikuwa nasikiliza sana kipindi cha huyo dada kimetulia lakini je ameolewa maana ana kajimvuta usoni mwangu
    chafosa chai goda(Darwin)

  3. Comment by Gervas on April 30th, 2008 12:11 pm

    Big up kwa kuitunza hiyo nachuro colour yako…yup anakamvuto flani kakiafrika.

  4. Comment by J Bigy on April 30th, 2008 4:14 pm

    Ni kweli anaonekana ana mwonekano wa kiafrika japo sijamwona mzimamzima.
    Nadhani Dunda wawezapata contacts zake.

  5. Comment by kaduna on April 30th, 2008 6:17 pm

    Mwanamke Umependeza, hala hala mabazazi
    Jalali nampongeza, aliokupa huo ujuzi
    Kipindi chaliwaza, kwa mziki uso ajizi
    Sophia kesi umependeza, uendeleze chako kipaji

    Vipina weza kuwa malenga?

  6. Comment by Mtukwao on April 30th, 2008 11:48 pm

    Mhhhhhhh, mashalah, Mungu kakujalia

    Such a cute girl, keep that natural baby girl!!!

  7. Comment by baker on May 1st, 2008 12:26 pm

    Ebwana dada angu wewe ur ar legend!!!! yani dada angu duh ebwana weee! Hongera sana tena sana na za kutosha, yani uko full kama ni mwanamke wa kweli namba 1, maana Iyo kazi yako kama angekuwa mwanadada mwingine angekuwa kasha ji painting usoni kwa kuwa eti ni mtangazaji, lakini wewe unaheshima zote za mtoto wa ki Africa dada ngu, kaza buti na umshirikishe mwenyezi mungu katika maisha yako na kazi zako za kila siku. Kazi njema
    wewe uko hot!!! very cracking.
    Big hug

  8. Comment by Msanii on May 1st, 2008 2:39 pm

    Shairi safi kaduna ila naona vina na mizani imekupiga chenga kidogo. Kila mstari unatakiwa kuwa na silabu kumi na sita tu, nane kwa kila sentensi.

  9. Comment by TATU on May 2nd, 2008 6:13 am

    umependeza.

  10. Comment by joe on May 2nd, 2008 11:21 am

    We binti kweli unapendeza lakini wengine hatujui jinsi gani ya kusikiliza kipindi chako. tufanyaje kuweza kupata kukuona au kukusikiliza unapokuwa kazini kwako? maana wengine tuko mbali na hatuna hata web site ya ku enjoy kama wengine wanavyo furahi kukuona. Have a nice day

  11. Comment by rich on May 2nd, 2008 2:09 pm

    wala usipate tabu kumsikia kwani uko nchi gani? fungua bongo5 live clouds fm utampata hakika ni binti wa kiafrica kuanzia sauti rangi ya ngozi na kilakitu unadhani?? hakukosea Baker kuwa wangekuwa midada mingine ingesha jipaint ila huyu dah hongera sofia usije ukaharibu rangi yako kisa umaarufu mungu kakujali kipaji inshalah akujalie maisha marefu.

  12. Comment by DOREEN on May 8th, 2008 6:25 am

    GAL, UR HIGH PLZ KEEP IN RESPECTING UR SELF DON’T BEHAVE NASTLY LIKE OTHER CEREBRITIES, BIG UP MAMA

  13. Comment by DUNDA GALDEN on May 11th, 2008 3:01 pm

    waungwana mimi nataka contract za huyu Ant

  14. Comment by tariq on May 19th, 2008 2:31 pm

    dah si mchezo huyu dada tayari nimeona mambo yake na nimesikia yuko juu sana ni meneja wa Blanshard De plaizir si mchezo bint mdogo kuwa meneja wa msanii wa nje ya tanzania mungu akuongoze utafika mbali hala hala na wanafiki na wenye chuki lakini pia nakushauri kama mdogo wangu usijiingize kwenye magenge ya mashankupe wanao jidai maarufu mamaa love u sana tu.

  15. Comment by mazee on May 19th, 2008 2:33 pm

    dah jamani tupeni habari kamili na contact zake anaweza kutusaidia na sie wasanii wa tz jamani kweli dada unakipaji napenda unavyoendesha kipindi cha Bambataa hapo Radio ya watu unatugusa kwakweli hongera mama sisi mashabiki wako tupo arusha jamani tukumbuke.

  16. Comment by mama jozline on May 22nd, 2008 6:52 am

    Nakumbuka sana tulipokuwa wote Moshi kwenye radio moja ya kidini kwani ndipo ulipoanza kuonyesha kipaji chako hiki,mshukuru sana Mungu kwani bila pale nyota yako labda kisingeonekana.

    Nakupenda sana na naipenda kazi yako kwani tupo sambamba.

    Tulikula wote unamkumbuka Hilda, Ndamalya,Josephine,Haika na wengine.
    hongera sana dia.

  17. Comment by Robert on April 8th, 2009 2:53 am

    mtoto, umependeza sana, natamani nilete mahari sasa hivi

Leave a Reply