MY TANZANIA   |   PLACES TO GO   |   MEDIA   |   ONLINE ENTERTAINMENT    

Kundi la muziki asilia la AFRIKALI (pichani) lenye makao yake makuu jijini Dar-es-salaam. Umeshawahi kuwashuhudia AFRIKALI jukwaani? Siku za nyuma tuliwahi kuandika kidogo kuhusu kundi hili.Bonyeza hapa usome tulichokiandika na mjadala uliozuka.

NB: Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu,wiki hii hatukuweza kuwa na burudani ya kawaida ya ijumaa.Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.Ijumaa ijayo mambo kama kawaida.

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Kulia ni Miss Universe Tanzania,Flaviana Matata, akifuatilia shindano la kumtafuta mrithi wake jana.Unaweza kuwatambua hao warembo wengine alioketi nao?

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Mrembo Amanda Sululu(pichani) jana aliibuka mshindi katika kinyang’anyiro cha kumtafuta Miss Universe Tanzania 2008. Shindano hilo lilifanyikia jana usiku katika ukumbi wa Hoteli ya Movenpick jijini Dar-es-salaam.Kwa maana hiyo Amanda ndiye anarithi taji kutoka kwa Flaviana Matata mrembo ambaye mwaka jana alifanikiwa kuiletea sifa Tanzania baada ya kufanikiwa kuwemo katika tano bora ya mashindano hayo katika ngazi ya dunia yaliyofanyikia nchini Mexico.

Tatu bora-Katikati ni Amanda Sululu,kushoto ni Jamila Nyanga(mshindi wa pili) na kulia ni Eva Babuely(mshindi wa tatu)

Mashindano ya Miss Universe mwaka huu yanatarajiwa kufanyika tarehe 14 Julai katika ukumbi uitwao Crown Convention Center(Diamond Bay Resort) mjini Nha Trang nchini Vietnam.Zaidi ya washiriki 80 kutoka nchi mbalimbali wanatarajiwa kushiriki.

BC inampa hongera Amanda na kumtakia kila la kheri mbele ya safari.

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Mbunifu wa mitindo ya nguo anayekuja juu kwa kasi nchini Tanzania,Ally Rehmtullah,akipita jukwaani kuwasalimia na kuwashukuru watu mbalimbali waliohudhuria show yake iliyofanyikia katika Hoteli ya Kilimanjaro Kempiski jijini Dar-es-salaam wiki iliyopita.Rehmtullah aliita show yake Temptations.Kwa habari zake zaidi unaweza kutembelea tovuti yake kwa kubonyeza hapa.

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Sanaa ya maigizo na filamu nchini Tanzania ina historia ndefu.Katika historia hiyo yapo majina au sura za wasanii ambao, upende usipende, huna budi kuthamini mchango wao katika sanaa hiyo kwa njia moja au nyingine.

Hapa naongelea wasanii kama Kemi(pichani) ambaye ni miongoni mwa waigizaji wazuri nchini Tanzania.Wengi bado wanamkumbuka toka enzi zile alipotoka na MAMBO HAYO.Kemi ni jina lake la kisanii.Unalijua jina lake kamili?

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Pichani ni washiriki wa shindano la urembo la Miss Universe Tanzania 2008, wakiwa katika picha wakati wa uzinduzi wa kambi kwenye Hoteli ya Belinda, Kunduchi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam hapo jana Mei 26,2008. Shindano hilo linatarajiwa kufanyika keshokutwa kwenye Hoteli ya Movenpick Royal Palm jijini Dar-es-salaam.

Photo/Msimbe Lukwangule

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Pichani ni Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,Dr.Rose Asha Migiro(katikati) alipokutana na Miss Universe 2007, Riyo Mori(kushoto) jijini New York mwezi uliopita.Mwingine katika picha(kulia) ni Mwakilishi Maalumu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Mazingira (UNEP),Tokiko Kato.

 

Nchini Tanzania,maandalizi ya shindano la kumtafuta mrithi wa Flaviana Matata(Miss Universe Tanzania 2007) yanaendelea vizuri kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na kampuni ya Compass Communications ambao ndio waandaji wa shindano hilo kwa upande wa Tanzania.Nani atamrithi Flaviana?Ni suala la kusubiri na kuona.

UN Photo/Paulo Filgueiras

 

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Je unakumbuka enzi zile disco lilipokuwa disco?Kama jibu ni ndio,basi mwaka huu utapata nafasi ya kurudisha saa na tarehe nyuma mpaka enzi zile ulipokuwa ukiyaruka majoka mpaka asubuhi.Kazi kwako.Usikose.Tizama kwa makini tangazo hili hapa chini.Kwa habari zaidi tembelea tovuti maalumu kwa ajili ya party hii ya mwaka kwa kubonyeza hapa.

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Pichani ni wasanii wa Kikundi cha Splendid wakiigiza kama Mama mjamzito akiwa na watoto wake wakiwa wamekaa kwa masikitiko.Hii ilikuwa ni wakati wa shughuli za uzinduzi wa Kampeni ya Kukataa Kunyanyaswa Kwa Wanawake zilizofanyika jijini Dar-es-salaam jana.

Kama inavyoonekana pichani mama mjamzito amezungukwa na majukumu ya watoto wake bila kuwapo kwa mzazi mwenzake(mwanaume). Sasa ingawa waliopo pichani wanaigiza tu,hali halisi ndio hiyo katika jamii zetu.Single motherhood linazidi kuwa suala la kawaida katika jamii zetu.Nani wa kulaumiwa katika hili?Ni wanawake au wanaume? Jamii je?

Hii ndio picha yetu ya wiki na ni kwa hisani ya Athumani Hamisi.

Share and Enjoy:
  • Digg
  • Sphinn
  • del.icio.us
  • Facebook
  • Mixx
  • Google Bookmarks
  • email
  • LinkedIn
  • Live
  • Spurl
  • Technorati
  • Yahoo! Buzz
  • YahooMyWeb

Read the Next Page →

↑ Go Back to Top of Page