Mara nyingi ikitokea super star fulani akatokea mahali,mashabiki au wapenzi wa chochote anachokifanya(iwe sinema,muziki nk) hupenda kujipatia japo nafasi ya kupiga naye picha kwa minajili ya kuweka kumbukumbu na mambo kama hayo.Kama inavyoonekana pichani,mashabiki na wapenzi wa 50 Cent waliopata nafasi ya kuwa karibu naye hivi majuzi jijini Dar,walikuwa na shauku ya kupiga naye picha!Go 50!

Feedback / Comments

31 Responses to “50 CENT,LET’S TAKE A PICTURE PLEASE!”

  1. Comment by mirungi on May 6th, 2008 1:37 am

    Nafurahi kusikia kwamba 50 Cents kaondoka salama bila kuibiwa kitu kwani Lost Boys walitokwa pete na Shawn Paul naye alilalamika eti kaibiwa sijui blueberry sijui simu, sijui iPOD,sijui…
    Anyways, that was nice

  2. Comment by trii on May 6th, 2008 3:38 am

    mi nadhani ni ushamba tuu,lkn si mkatazi mtu kupiga picha na ma super star.

  3. Comment by baker on May 6th, 2008 6:11 am

    Duh kweli c mchezo!!!

  4. Comment by Chris on May 6th, 2008 11:11 am

    Aiseeee Kinje inaonekana alisukuma sana watu ili na yeye atokeee! That means yeye u-superstar wake ni bongo tu, ila 50 Cent tambarare kote! Eti wajameni?

  5. Comment by iii on May 6th, 2008 11:30 am

    nilijua tuu,kinje hachezi mbali

  6. Comment by Dan on May 6th, 2008 1:57 pm

    Kinjendoyupikati ya hao?
    Minimemjua B12 tu!

  7. Comment by binti-mzuri on May 6th, 2008 2:50 pm

    haha kinje kichwa kwenye kona kule nimecheka…sasa ushamba wa kupiga picha na celebrity ni nini hasa?watu nyie ndio acheni ushamba..haya mambo kawaida..mbona hata maraisi wanapigwa picha ikulu..kumbukumbu,aint nothing wrong with that..straight up hustler!

  8. Comment by freedom on May 6th, 2008 4:01 pm

    nathani hilikuwa poa tu kwani hapa zurich kasha kuja kama mara tatu ni mara moja tu nilikwenda kumuangalia ni msic wa watoto kwani mf nyingi mimi mtu mzima halafu aniambie mf alfu nipigie kelele ya kushangilia way

  9. Comment by Edwin Ndaki on May 6th, 2008 5:30 pm

    hii kali..

    tutafika tu

  10. Comment by Kisura B on May 6th, 2008 7:00 pm

    wABONGO KWA USHAMBA JAMANI, SASA HIYO MIBICHWA MIKUBWA YA NINI, TOEKEBI HAPA WAUZA SURA FISADI. KINJE NAYE KILA SEHEMU YUMO,

  11. Comment by Ms Bennett on May 7th, 2008 2:53 am

    huyo freedom atakuwa mkenya maana kiswahili yake haijanyooka sawa sawa

  12. Comment by jamila on May 7th, 2008 5:05 am

    peace nawe umoooooooooooo!

  13. Comment by DUNDA GALDEN on May 7th, 2008 12:49 pm

    Inapendeza kwani dunia ilisikia jamaa wakiwa bongo ni sehem ya kulitangaza zaidi na zaidi TZA yetu
    safi wandaaj
    chafosa chai godai

  14. Comment by nelly on May 7th, 2008 1:22 pm

    NYIE MSIPENDE KUONGEA SANA HAWA JAMAA KUPIGA NAO PICHA POA TU KWANI WEWE UNAETOA MAONI UNGEPATA FULSA YA KUPIGA PIGHA NA 50 UNGEKATAA ,50 NI STAA HATA HAPA STATE WATU WANATAFUTA NAFASI YA KUPIGA NAYE PICHA NA HAWAIPATI NI NI WAMAREKANI
    MSIONGEE SANA KOKOTE STAA ANAFAGILIWA MBONA WATU HAWATAKI KUPIGA PICHA NA BABA YOKO MZAZI AMBAYE NI MTU MUHIMU KWAKO

  15. Comment by sweetoh on May 7th, 2008 3:01 pm

    Dan, Kinje maana yake ndo hicho kimiwani kilichotokeza kwenye nywele za huyo mwanadada mwenye RED.

  16. Comment by binti-mzuri on May 7th, 2008 3:40 pm

    freedom pliz acha pumbaa… mr.nice miziki ya watoto ile kuku kapanda baiskeli,ila mibaba mijitu mizima ndio inajaaga kwenye shoo zake..toka lini shoo za watoto ziko usiku wa manane..embu pliz acheni pumba

  17. Comment by binti-mzuri on May 7th, 2008 3:42 pm

    nelly asante sana,na mie ndilo nililokua nasema pale juu..ujue watu wanapenda sana kuponda…’oooh ushambaaa’,'oooh wabongo bwana’…ivi we ungekalishwa pale,ungekataa kupozi!?embu tuache ushamba wa kucomment mambo ya ajabu jamani

  18. Comment by bosslady on May 8th, 2008 3:52 am

    hhahahaha!pure wabongos!daaamn!let d man breathe!haha!nd yap atleast he left wthout bein robbed….wen he was in angola he got robbed on d stage!damn!

  19. Comment by haikuusu on May 8th, 2008 3:57 am

    Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh Noma ppl!!!………….watu walijifanya 2!!! damn em all..check dat lady wit her one eye ball out nd nose Aibu2!! kudanaki!! u can’t even see 50cent’s face watanzania mbwana naa!…………………………nd DAmn i wish i was there..:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S:S
    Stay Fly Ya’ll..Nd Lov all of u watanzania wzangu!

  20. Comment by nanatbr on May 8th, 2008 5:41 am

    Asanteni mliotangulia, unajua watu wengine wakishapanda pipa kwenda majuu wanajiona wao basi tena hata kufa hakuna, tena hamna lolote hana chochote, wabongo washamba kitu nyie ndio washamba wa mwishoooo tena wa kutupa kabisa mnanikera kweli, superstar ni superstar tuuuu mbona we watu wasiombe kupiga na wewe picha achani hizooooooooooooo, nasema tena acheni hizoooooooooo

  21. Comment by Amina on May 8th, 2008 9:15 am

    nanatbr uko sawa…..hao wengine hapo juu ndo wanajifanya wanaandika na vizungu vya kimarekani wameshajiona wamenoa,kwani tatizo lipo wapi hata mtu akionekana nywele tu…mbona tunaangaliaga vya majuu pia watu wanavyopagawa kwa masupa star ije kua hapa..tena huko huko marekani na uingereza mlipojaza nyie wabeba box

  22. Comment by Lexus on May 8th, 2008 9:24 am

    Ah ahh ah Wajemeni ,
    Watu mmejiachia weee lakini ukweli uko pale pale KinjeKitile na watanzania wenzake wamephotoa na senti hamsini…Ila kusema kweli wanaoekana walihangaika sana kupata hiyo picha,mcheki kinje na huyo binti wanyuma yake maana wamenyanyua shingo na mimacho wametoa…lakini mwisho wa siku WAMEPIGA PICHA NA 50 cent ….

  23. Comment by binti-mzuri on May 8th, 2008 12:27 pm

    mh,nyie wengine embu ongeeni english,hizo lugha zenu zingine sijui ndio za wapi..slang zimepitwa na wakati!!!..

  24. Comment by pot on May 10th, 2008 1:42 am

    Kupiga picha celebrity ..si ushamba hata hapa Hollywood watu wanauwana kupiga picha na watu kama hao sasa nyie watu wa UK wakina binti mzuri .. ndio washamba ..

  25. Comment by Dream big on May 10th, 2008 10:33 am

    Acheni kelele watu..50 cent is a big start..period. Hata wamarekani wanamshabikia hivyo hivyo tu kwa hiyo sione tatizo lolote kwa wabongo. Labda watu yanawasumbua hamjapiga picha nae….Lakini wamarekani would have done the same thing sio issue ya ushamba.

  26. Comment by zaina seif on May 10th, 2008 6:30 pm

    50 cent anaonekana kachoka kwenye hiyo photo , Africa kweli nishai! nadhani sio ushamba kupiga picha na superstar yakawa tu hayo jamani.

  27. Comment by mkazaji on May 11th, 2008 7:45 pm

    ajabu na kweli, wengine wamepanda ndege kewnda america kuishi karibu na mastaa na hawajawahi kusimama hata mita mia moja karibu nao, hawa wapo bongo na wanagusana vikwapa na senti hamsini.

  28. Comment by binti-mzuri on May 12th, 2008 9:21 am

    WE POT, SASA USHAMBA WA WATU WA UK KAMA ‘BINTI-MZURI’ NI UPI!?!?!?UNAJUA UNACHOONGEA DOGO,AU UMEJISIKIA KUROPOKA..KWA SABABU KAMA AKILI YAKO INAFANKSHEN VIZURI UKISOMA HUKO JUU UNGEONA KABISA NIMESEMA SIO USHAMBA..NA WE ULIOKO HUKO HOLLYWOOD (DOUBT KUBWA KWANZA!!) USHAPIGAGA PICHA NA NANI!?!?!…EMBU TUWEKEE TUKUONE BASI,SIO UNAFURAHISHA DOMO BILA KULIPWA..USIDANDIE DALADALA KWA MBELE BWANA,UTAGONGWA TUKUZIKE KISUTU!

  29. Comment by Grace on May 14th, 2008 1:45 pm

    mmh wabongo tunang’aa sikumtambuia fifty 5 ni yupi hapo.hadi nilipoangalia kwa makini sana na isingekuwa kichwa cha habari cha picha,mmh ingekuwa vigumu.thats nice!!

  30. Comment by Gebo Arajiga on May 16th, 2008 7:14 am

    Acha ujinga wewe yani hata kisingeandikwa kitu usingemjua 50cent ni nani?

  31. Comment by binti-mzuri on May 16th, 2008 8:40 am

    uongo mtupu!

Leave a Reply