
Sio lazima uwe mtu wa makamo ili kuwa mwanasiasa. Ukweli katika hilo unaweza kuuthibitisha kwa kutizama jinsi ambavyo baadhi ya vijana wanakuwa wamejikita katika siasa. Miongoni mwa vijana hao wanasiasa nchini Tanzania ni John Mnyika(pichani) ambaye ni Mkurugenzi wa Vijana wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).John Mnyika alizaliwa tarehe 21 August mwaka 1980 jijini Dar-es-salaam.Kwa habari zaidi kumhusu John Mnyika,bonyeza hapa.
Page 1 of 3 | Next page