kWELI BONGO SI MCHEZO MABINT KAMA MALAIKA BORA TULIACHE LILE GOZI GOZI LA UKAPERA.TUSISAHAU NGOMA (HIV)IPO KWELI HAINA DAWA YA UWAKIKA.LAKIN KATOTO KAMETULIA HOME TOTOZ
Chafosa Darwin Australia
inaniuma sana kila nikifikiriaaa..huwaga ninalia inaniuma saaana!inaniuma sana demu amepima amekutwa ana……..
Comment by kaduna on
May 14th, 2008 4:07 am
Nice! however she looks as if she is at the end of road of her carrier. If i am wrong pls correct me.
Comment by Lisa on
May 14th, 2008 5:31 am
Kuna mijitu inalimbuka aswa tatizo la kukaa nje ya nyumbani miaka mingi mnazidi kulost rudi mtarukia msivyovijua.sinta aliwika sasa amebaki doro enzi za 200′s
huyu mtoto yuko wapi siku hizi jamani????? namuhurumia!!!!!
Comment by Chris on
May 14th, 2008 8:18 am
BC mkipata picha yake anavyoonekana sasa tuonyesheni + her whereabouts… maana amepotea kwenye vichwa na macho ya wengi! Binafsi sitaki ku-conclude kama kishachoka au chuja! Maybe the current snap will let me conclude!
Comment by Twaha Figo A-City on
May 14th, 2008 8:22 am
Ebwana hayo macho……………….Kifua…………..Sinta unatisha.Umejuchimbia wapi?
Hivi siku hizi kuonyesha chakula cha watoto ni fasheni?
Shauri zenu maana mafiadi hawachagui cha kufisadi
Take care mama!!!
Au ndio style ya kurudi……..
Kwa mazuri uliyofanya tunakukumbuka,mabaya tumesahau maana wanaotenda mabaya siku hz ni wengi mno
Fanya kazi dada
Comment by paperhandshakes on
May 14th, 2008 9:57 am
what?
is she a singer or what?!
Comment by Gervas on
May 14th, 2008 10:27 am
Heee, Naona kila mtu anamnyooshea kidole Sinta. Sinta we endeleza tu libeneke mwanangu, we learn through mistakes kitaeleweka tu mbeleni.
Comment by sally on
May 14th, 2008 10:47 am
Sinta kwani yuko wapi jamani mi sifahamu hata sikuhizi anaishi wapi!
Comment by Kasenene on
May 14th, 2008 1:46 pm
She did some featuring with this one guy I forgot his name. The song was called “SAFARI”. then she was one of the best actors in the country. Then she messed up a whole lot. Dated almost every celebrity in the country. The Paparaziz couldnt spare her and wrote nasty things about her almost two years straight. And I mean every morning. after that, I never heard about her again. May be she was tired of being trashed and decided to change her life style.
Anyways, shes beautiful and very tallented.
mpenzi natamani urudi kwenye maigizo ulikua unaigiza vizuri sana,japo rudi kwenye filam napenda sana unavyoigiza.wala hujachakaa sema umekua kimya na una act the way a lady supporse to act,i love that habit,keep it up
wengi watasema umechuja na wengine watasema umechakaa lakini mi naona sawa.najua hujali maneno ya watu kwani kama ndivyo hivyo basi ungeshajiua siku nyingi,endelea kua dis-minder ni nzuri zaidi hasa ukiwafungia vioo maadui zako kwani binadam hawana jema,hata uwafanyie nini hawana jema.fanya mambo kwa ajili ya maendeleo yako.
Alikwenda Kusomea Uandishi wa Habari Mwanza mara ya mwisho niliposikia habari zake. Ni kweli kwenye michezo ya kuigiza kwenye Luninga miaka ya 90 alikuwa akifanya vizuri sana.
Comment by Gebo Arajiga on
May 16th, 2008 6:54 am
Daaaaaa……………. huyu mtoto sio siri ni mzuri jamani au nyie wadau wengine mampibga tu mtoto mzuri ila ile mitabia yake iliyokuwa ikiandikwa andikwa ndio imemchafuliaga sana lakini ni MZURI JAMANI
Huyo ni Sinta aka nature.
We Jasmin hiyo picha ya zamani sio ya siku hizi ila yawezekana hajachuja japo kuwa nasikia sijui kaolewa pia ana mtoto yuko kati ya kenya na Uganda .
Inaniuma sana nikifikiriaaaaaaa huwa nalia
Inaniuma sana demu wangu kapima kukutwa na ngo…
heloo ma sister
u’re a good singer
i remember the song accompanied by some called as “pole sana mpenzi kwa safari bibie” BIG UP
Comment by salum jumanne on
November 16th, 2010 4:49 am
Duh!! huyu demu mkali!!ila ndio hivyo tena, mabwana zao ni wabunge!!!
Comment by salum jumanne on
November 16th, 2010 4:53 am
Ama kweli huyu Sinta alimuudhi Nature, maana Nature anaonekana alikuwa akimzimia sana huyu bibie!! ila ndio hivyo tena watoto wazuri kama hao mara nyingi kuolewa na wasanii ngumu!! coz wameweka pesa mbele. Na hapo ndipo Mapedeshee na Wabunge nafasi zao wanapozitumia.
NI NANI HUYU? KAZURI LAKINI!
sinta keshachuja kimaishaa..enzi zake na necha ndio zilimpandisha chati,sasa ake pembeni..magazeti yamemchokaaa…
kWELI BONGO SI MCHEZO MABINT KAMA MALAIKA BORA TULIACHE LILE GOZI GOZI LA UKAPERA.TUSISAHAU NGOMA (HIV)IPO KWELI HAINA DAWA YA UWAKIKA.LAKIN KATOTO KAMETULIA HOME TOTOZ
Chafosa Darwin Australia
Hicho kifua mbona tunakoseshana amani….
Kifua lol!!!!!!!111mmmmmmmmmnhhhhhhh………
Huyu naye ni celebrity?
inaniuma sana kila nikifikiriaaa..huwaga ninalia inaniuma saaana!inaniuma sana demu amepima amekutwa ana……..
Nice! however she looks as if she is at the end of road of her carrier. If i am wrong pls correct me.
Kuna mijitu inalimbuka aswa tatizo la kukaa nje ya nyumbani miaka mingi mnazidi kulost rudi mtarukia msivyovijua.sinta aliwika sasa amebaki doro enzi za 200′s
huyu mtoto yuko wapi siku hizi jamani????? namuhurumia!!!!!
BC mkipata picha yake anavyoonekana sasa tuonyesheni + her whereabouts… maana amepotea kwenye vichwa na macho ya wengi! Binafsi sitaki ku-conclude kama kishachoka au chuja! Maybe the current snap will let me conclude!
Ebwana hayo macho……………….Kifua…………..Sinta unatisha.Umejuchimbia wapi?
kutamani kubaya, hata kitabu cha Mungu kinatuonya juu ya kutamani.
Hivi siku hizi kuonyesha chakula cha watoto ni fasheni?
Shauri zenu maana mafiadi hawachagui cha kufisadi
Take care mama!!!
Au ndio style ya kurudi……..
Kwa mazuri uliyofanya tunakukumbuka,mabaya tumesahau maana wanaotenda mabaya siku hz ni wengi mno
Fanya kazi dada
what?
is she a singer or what?!
Heee, Naona kila mtu anamnyooshea kidole Sinta. Sinta we endeleza tu libeneke mwanangu, we learn through mistakes kitaeleweka tu mbeleni.
Sinta kwani yuko wapi jamani mi sifahamu hata sikuhizi anaishi wapi!
She did some featuring with this one guy I forgot his name. The song was called “SAFARI”. then she was one of the best actors in the country. Then she messed up a whole lot. Dated almost every celebrity in the country. The Paparaziz couldnt spare her and wrote nasty things about her almost two years straight. And I mean every morning. after that, I never heard about her again. May be she was tired of being trashed and decided to change her life style.
Anyways, shes beautiful and very tallented.
mpenzi natamani urudi kwenye maigizo ulikua unaigiza vizuri sana,japo rudi kwenye filam napenda sana unavyoigiza.wala hujachakaa sema umekua kimya na una act the way a lady supporse to act,i love that habit,keep it up
wengi watasema umechuja na wengine watasema umechakaa lakini mi naona sawa.najua hujali maneno ya watu kwani kama ndivyo hivyo basi ungeshajiua siku nyingi,endelea kua dis-minder ni nzuri zaidi hasa ukiwafungia vioo maadui zako kwani binadam hawana jema,hata uwafanyie nini hawana jema.fanya mambo kwa ajili ya maendeleo yako.
Alikwenda Kusomea Uandishi wa Habari Mwanza mara ya mwisho niliposikia habari zake. Ni kweli kwenye michezo ya kuigiza kwenye Luninga miaka ya 90 alikuwa akifanya vizuri sana.
Daaaaaa……………. huyu mtoto sio siri ni mzuri jamani au nyie wadau wengine mampibga tu mtoto mzuri ila ile mitabia yake iliyokuwa ikiandikwa andikwa ndio imemchafuliaga sana lakini ni MZURI JAMANI
mh! upo juu mtu wangu mdomo wako bomba.
sinta bado unampenda nature
Huyo ni Sinta aka nature.
We Jasmin hiyo picha ya zamani sio ya siku hizi ila yawezekana hajachuja japo kuwa nasikia sijui kaolewa pia ana mtoto yuko kati ya kenya na Uganda .
Inaniuma sana nikifikiriaaaaaaa huwa nalia
Inaniuma sana demu wangu kapima kukutwa na ngo…
he! huyo binti yuko wapi siku hizi? kaolewa? naomba awasiliane nami thoms.nelson@gmail.com
thms wa ny.
heloo ma sister
u’re a good singer
i remember the song accompanied by some called as “pole sana mpenzi kwa safari bibie” BIG UP
Duh!! huyu demu mkali!!ila ndio hivyo tena, mabwana zao ni wabunge!!!
Ama kweli huyu Sinta alimuudhi Nature, maana Nature anaonekana alikuwa akimzimia sana huyu bibie!! ila ndio hivyo tena watoto wazuri kama hao mara nyingi kuolewa na wasanii ngumu!! coz wameweka pesa mbele. Na hapo ndipo Mapedeshee na Wabunge nafasi zao wanapozitumia.
mh!…………..