Kundi la muziki asilia la AFRIKALI (pichani) lenye makao yake makuu jijini Dar-es-salaam. Umeshawahi kuwashuhudia AFRIKALI jukwaani? Siku za nyuma tuliwahi kuandika kidogo kuhusu kundi hili.Bonyeza hapa usome tulichokiandika na mjadala uliozuka.

NB: Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wetu,wiki hii hatukuweza kuwa na burudani ya kawaida ya ijumaa.Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza.Ijumaa ijayo mambo kama kawaida.

Feedback / Comments

4 Responses to “AFRIKALI”

  1. Comment by DUNDA GALDEN on June 1st, 2008 7:12 am

    POA BC LIKIN IJUMAA IJAYO ISIWE HADITH YA MTOTO WA KUKUA,KUNDI LA AFRIKALI NI WAKALI HATA KWENYE PICHA WAMEPENDEZA SANA ONGELENI SANA.
    CHAI GODA

  2. Comment by binti-mzuri on June 2nd, 2008 9:15 am

    nice! ;)

  3. Comment by hombiz on June 3rd, 2008 10:34 am

    sanaa kwa kwenda mbele

  4. Comment by JMbigy on June 6th, 2008 3:17 pm

    Hao mabinti walivyowakalia mameni inahitaji uhaba wa mihemko!
    Hataaari kwelikweli. Ila nahakika mameni hao wana mitazamo tofauti ya BASATA.

Leave a Reply