ETO’O/ CAMEROON NDANI YA DAR

Blog ya Yahya Charahani inaripoti kwamba timu ya Cameroon ikiongozana na nyota wake Samuel Eto’o(pichani) wametua jijini Dar tayari kuvaana na Taifa Stars jumamosi.Tuwatakie Kheri Taifa Stars maana bila hivyo inaweza kuwa balaa tupu.

Page 1 of 3 | Next page