
Hiki ndicho kikosi cha Taifa Stars kilichopambana na Cameroon mwishoni mwa wiki hii tunayoimaliza jijini Dar-es-salaam na kutoka sare ya bila kufungana.
Waliosimama mstari wa nyuma kabisa kutoka kulia ni Dan Mruanda, Nadir Haroub, Athumani Iddi, Shaaban Nditi na Salum Swedi.
Mstari wa kati kutoka kushoto ni Nizar Khalfani, Shadrack Nsajigwa, Godfrey Bonny, Mrisho Ngassa na Amiri Maftaha.Aliyechuchumaa mbele ni Tanzania One, Ivo Mapunda.
Nini maoni yako kuhusiana na “droo” hii ya Taifa Stars na Cameroon?Unawaambia nini wachezaji wa Taifa Stars na kocha Maximo?
Photo/Mpoki Bukuku
Page 1 of 3 | Next page