Ushawahi kusikia mtu akikuambia kwamba Wamarekani huenda ndio wanaongoza kwa “ujinga/umbumbumbu” duniani kote? Inasemekana wamarekani wengi hawajui hata kwamba duniani kuna nchi zingine,mila zingine nk.Pia inasemekana kwamba baadhi yao mahali wanapopajua ni hapo hapo walipozaliwa na kukulia.Kuna wengine wanaamini kwamba ili aweze kusafiri kutoka New York kwenda Illinois basi ni lazima awe na passport.Je unaamini kwamba wamarekani ni wajinga? TV moja ya kutoka Australia iliamua kuwahoji baadhi ya wamarekani kuhusu mambo mbalimbali.Tizama video hiyo hapo chini.
You need to a flashplayer enabled browser to view this YouTube video
Page 1 of 3 | Next page