Pichani ni binti aitwaye Lucy Mwiza Fundikira ambaye hivi majuzi amejinyakulia taji la Miss Tanzania 2008 EU (nchi za Schengen).Shindano hilo lililofanyikia katika mji wa Essen nchini Ujerumani,lilipambwa pia na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya,Ali Kiba(kama inavyoonekana katika picha hapo chini) ambaye yupo ziarani katika nchi mbalimbali za Ulaya.

Lucy Fundikira ana umri wa miaka 18 na anaishi na wazazi wake katika mji wa Rotterdam nchini Uholanzi.Kwa picha na habari zaidi kuhusu tukio hilo bonyeza hapa.

Ali mwana wa Kiba akiwarusha mashabiki huko Essen,Germany.

Feedback / Comments

32 Responses to “MISS TANZANIA EU 2008 NI LUCY FUNDIKIRA”

  1. Comment by Angeline on July 1st, 2008 2:57 pm

    Mmmmmh!

  2. Comment by TEACHER-DENMARK on July 1st, 2008 6:41 pm

    TUKO WENGI KUMBEEEE HUKUUU DUUU

  3. Comment by anonymous on July 1st, 2008 9:15 pm

    my god i think am in love with ali kiba…every time i listen to his songs i get homesick…somebody tell me how to get hold of this brotha..msinibanie jama, mwenzenu nimezama..lol

  4. Comment by iAUWDQ on July 1st, 2008 11:07 pm

    Afadhali hapa naona mademu wako mbele, maana waBongo wamezoea madume ndio wana jaa mbele ya stage, 50 cent alishangaa kuona siku ana perform in DAr mbele wamejaa madume tuu,

    Picha za Alikiba UK nako midume imemjalia mbele tuu hata haina aibu, wachieni mademu wakae mbele

  5. Comment by Matty on July 2nd, 2008 3:32 am

    Mbona sasa kaacha chakula cha mtoto nje?au kitambaa kilikuwa kidogo?

  6. Comment by kekue on July 2nd, 2008 4:05 am

    Du!!!!!!!!!!!!!!

  7. Comment by Chris on July 2nd, 2008 4:20 am

    Rotterdam, The Netherlands! Seems wabongo Rotterdam ni wengi sema hatujuani! Duuuuuuuh!

  8. Comment by Fresh on July 2nd, 2008 6:05 am

    OMG,Is that Miss Tanzania or…,I don’t mean to sound so critical but mmh mmh mmh sijamkubali

  9. Comment by polisi on July 2nd, 2008 6:09 am

    Safi sana kijana.But watch out ukirudi Bongo sio watu wote watakuonea raha kwa hiyo tour yako.Angalia sana watu wenye roho mbaya wasikuduru na wewe mwenyewe usidharau mtu coz umezunguka nchi nyingi.wengine ndio tunakoishi na hatuna makubwa

  10. Comment by mimmy on July 2nd, 2008 7:26 am

    kwa kweli ths guy anaimba vizuri, na nafurahi imemsaidia kujichangaya kidogo majuu ili akajifunze kuvaa vizuri. nakufagilia Broo!

    big up!

  11. Comment by Lilian on July 2nd, 2008 10:12 am

    mhmh. Wala hakusemeki hapo…

  12. Comment by Neema on July 2nd, 2008 11:17 am

    Kitoto kizuri hila bado hakajajua mapozi
    Anyway hao ndio ma miss shengen.Bongo watoto wanajua kuvaa na kupozi paka kutembea,Lakini hao wa shengen wanavaa kama wazungu wenyewe
    Hayo ndio maoni yangu

  13. Comment by any on July 2nd, 2008 12:05 pm

    Wee Matty, umesahau mambo ya mavazi na personal decision? haaaaaa, usinitoe macho

  14. Comment by sdfyfhuds on July 2nd, 2008 3:13 pm

    Huyu miss hana mvuto hata kidogo. Yaani hata wale wa bongo wanamzidi sana tu.

  15. Comment by solange on July 3rd, 2008 5:29 am

    sijui niseme nini…okay hingera.

  16. Comment by Matty on July 3rd, 2008 6:11 am

    Hahahahahahahahaha Any nilisahau ndugu yangu kuwa na yy hii ni personal decision yake!

  17. Comment by Pearl on July 3rd, 2008 7:35 am

    jamani huyo miss mbona kama hana mvuto kabisa!!!!???? au picha kapigwa vibaya!!!???? yaani kama yeye ndo miss hao washiriki wengine walikuaje!!!!???? NGACHOKA.

  18. Comment by sally on July 3rd, 2008 8:14 am

    Big up, A. Kiba

  19. Comment by mie on July 3rd, 2008 9:24 am

    MH huko majuu ndio wanajua kuvaa vizuri mie nipo hapa UK huu mwaka wa tatu wala sijaona bado uvaaji wa kutisha naona kawaida sana acheni dharau lol.

  20. Comment by binti-mzuri on July 3rd, 2008 1:44 pm

    mie UK kubwa,yawezekana upo vijijini tembea uone

  21. Comment by any on July 3rd, 2008 3:52 pm

    huyu dada wamemwonea! waliomvesha hizo nguo wamemfanya aonekane ananyonyesha.

  22. Comment by Matty on July 4th, 2008 2:49 am

    Ahaaaa, kumbe Any na wewe umeona ehee? sasa kwani alilazimishwa kuvaa hiyo nguo?? hata kama ndo imeandaliwa kwa ajili yake lakini anauhuru wa kuivaa au asivae!

  23. Comment by any on July 4th, 2008 10:56 am

    Matty huenda kuvaa hivo wanafanya pia ni biashara, impliedly labda ni ku advertize nguo za huyo designer kwa kuwavisha hawa watoto hizo nguo. umesahau na dina marios na personal decision yake kwenye maonyesho ya mavazi akatinga lile tenge la UWT!

  24. Comment by wetu on July 4th, 2008 11:49 am

    mbona warembo wetu na mamiss waliopo bongo ni bomba kuliko wa huko schengen jamani?njooni bongo mchague vimwana akina kaka mliopo ulaya..vibamba kibao huko.by the way mmejitahidi..hongera wote na wadhamini,,,,lakini hamtufikii huku kwa warembo bongo…mmechemsha kusema kweli ,sio kama nawafagilia watoto waliopo bongo.nyinyi wenyewe jaribuni kufananisha na vimwana wa home na hao wa kwenu ulaya..naona hamtuwezi

  25. Comment by Matty on July 6th, 2008 7:41 am

    hahahahahahahahahaha wewe Any wewe unatafuta ngumi ya uso lile tenge la dina mbona bomba mbaya!!!!!!!! mh! ila lilimtoa kama kizee nilimezea tu!

  26. Comment by toyota on July 7th, 2008 5:02 am

    Huyo ni mtoto wa mshama fundikira nini?

  27. Comment by any on July 8th, 2008 2:43 am

    Matty mi umri umesogea lakini kitenge hunipati apo kwa kweli. Sitavaa maana naona kama kinanipeleka miaka mitano mbele ya actua age yangu! hizi personal decision acheni ziitwe personal decision.

  28. Comment by Matty on July 8th, 2008 9:52 am

    Hhahahahahahahahahahaha duuuu shikamoo dada Any, wewe mbona fashen za vitenge ndo zenyewe? mimi huwa natinga na lile shuka begani kabisa tetetetetetetetet!!!!!!!

  29. Comment by lady uniq on July 10th, 2008 6:43 am

    jamani ndugu zetu wa huko schengen hebu muwe na ushirikiano, mnapokua na shuhuli kubwa kama hii muwage mnawaanda hao warembo wenu. Sisi huku bongo sio mchezo, watoto wanavipaji vya umiss mpaka unashanga.

  30. Comment by marvin on July 29th, 2008 7:02 pm

    guys you’ve got tobe serious. hatufanyi michezo ya kuigiza duuuuuuuuuu. huyo ndiyo miss who from where;;;?

  31. Comment by MAVI on August 14th, 2008 7:52 am

    ACHENI UZUSHI WAJAMENI, NIKINUKA HAPA! OHOOOOOOO….

  32. Comment by PENINA on February 25th, 2009 9:28 pm

    jameni huyo ni miss au ni birthday yake yakuzariwa. watu wanashangiria jameni tuache rongo au wanaochaguwa hao wa miss ndugu zake au rafiki zake kama nihivo mbona afanana namama watoto.isitoshe mtoto anaria kifuwa kinaonyesha.ira sorry.

Leave a Reply