
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Khadija Shaban a.k.a Keisha.Binti huyu hivi karibuni alikaririwa akielezea masikitiko yake juu ya kuuawa kwa ma-albino nchini Tanzania kutokana na imani za kishirikina.Keisha anasoma nchini Uganda.
Photo/Global Publishers.
Page 1 of 3 | Next page