Kama kuna mwanamuziki mzaliwa wa Afrika anayefanya vizuri zaidi nchini Marekani basi huyo sio mwingine bali Aliuane Badara Thiam au maarufu kama Akon.Kijana huyu kutoka kabila la Wolof nchini Senegali,Afrika Magharibi sio tu anafanya vizuri katika muziki bali pia amekuwa akijivunia uafrika wake bila kificho wala woga.

Katika kuendeleza vitu vyake vya kimuziki hivi karibuni Akon ameshirikiana na Mfalme wa Pop duniani,Michael Jackson na kufyatua kibao kinachoitwa Hold My Hand.Kama hujapata bado nafasi ya kukisikiliza,BC inakupa nafasi hiyo.Bonyeza player hapo chini ukisikie na utupe tathmini yako.Akon amewahi kuitembelea Tanzania ambako ana mashabiki kibao.

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Feedback / Comments

13 Responses to “AKON NA MJ WANASEMA HOLD MY HAND”

  1. Comment by Edwin Ndaki on July 24th, 2008 7:09 pm

    Kila mtu anachaguo lake.Daima ijumaa kwangu namshukuru Mola nimeiona njema na nipo rodi..maana wengie walitamani na wao waione lakini tayari wametutangulia mbele ya haki.

    Wengine ndio hivyo tena mambo yameenda ndivyo sivyo..hakimu kacheza rafu..mshkaji wangu Top in Dar ..hii maadui zake tayari wamempa jina eti ..TOP IN JAIL..lakini poa hazigandi mwana ipo dei atatoka tu.

    Binafsi nikiwa mtu ninayethamini sana uhalisi..huyo braza MAIKO kwa kweli alipoamua kuzidi jiki,mkorogo ili kuwa wadhungu ndio nilimwambi kwaheri.

    MATTY naona utasikiliza songi..alafu tukitutana pale chini ya mti Knyama darajani kwa Dan wakati tunapa “mbili baridi .. na nne moto(unashangaa nini? kwani nani kasema lazima moja baridi ya mto ni sheria?)…zikija na nyama ya “moto” …(wengine mlipoona neno moto mkajua tayari mfugo..mimi namaanisha “kilo mbili roast”…Huwezi jua labda roast kuku au bata…

    ene wei..nawatakia ijumaa njema…pamoja watu wangu…

  2. Comment by BabyGirl on July 24th, 2008 9:11 pm

    Aisee Kitu kiko makini sana Lakini sishangai sana kwa Akon kufanya Collabo kali kama hilo he Dissolve the Best to be honest. Even MJ amefanya kitu kwa kweli. In Short i wanna say good Song and Big Up MJ and Akon.

    All the Best.

  3. Comment by anon on July 24th, 2008 11:11 pm

    BabyGirl Says: July, 24, 2008 at 9:11 pm
    nakunukuu “he Dissolve the Best to be honest”
    nini maana ya Dissolve??
    au labda nikanunue dictionary mpya

  4. Comment by kekue on July 25th, 2008 1:33 am

    Imetulia sn mwana wane, Akon uko mbali sn kaka na hongera sn, kp it up man, MJ anavutia sn, hahahahaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!! nisije sema kitu coz hapa bc unaweza sema kitu kile ulichosema kikawa ndo mada, Mh!!!

  5. Comment by hash on July 25th, 2008 2:13 am

    big up mike

  6. Comment by Matty on July 25th, 2008 4:57 am

    Always it is there, lakini mbona siku zinakimbia namna hii????yaani kila ikifika Alhamisi tu huwa nawaza sasa BC kesho sijui atatuwekea kiburudisho gani…hapa jibu ninalo namuona braza maiko Jakisoni alivyomkosoa Mungu ktk uumbaji wake, Edo tutafika kweli???
    Akon, kijana safi sana unakipaji hakika napenda sana mistari yako, lakini na wewe unakamchezo kakuarest watu huna subira kabisa why?????????????

    Kwa upande wangu natamani kama ningekuwa hiyo mitaa unayoiongelea E.Ndaki maana ni full kujitanua siyo kujiachia.

    Weekend Njema kwa wote jamani, fungeni macho tuombe kidogo maana dunia imeisha kila siku mabadiliko ktkt sekta ya maisha/jamii…
    AMEN!!

  7. Comment by Dunda Galden on July 25th, 2008 6:14 am

    Kama mtu anajivunia uafrica wake huyo shujaa,wengi walio uku njee haswa wa nyumbani wanaogopana kama ukoma sababu wanazijua wao!lakini si wote,
    mwimbo mzuri sana nafikili lengo la Akon ni kuunganisha kati ya wanamusic haswa black musician
    Big up have nice week end peace 4 every one

  8. Comment by Bablii on July 25th, 2008 6:55 am

    Babygirl; I hope you meant “..he deserves the best..” and not otherwise!

    Tack så mycket

  9. Comment by EDWARD ALEX MKWELELE on July 25th, 2008 10:58 pm

    Akon when he was young and not yet known he was always hiding his origin until when he succeeded then he started to speak out about his African origin. He went to USA when he was 7 years old, his parent moved there from Senegal after winning GREEN CARD LOTTERY. When he started he did not want to talk his origin until he built his market base then is happy now to talk about it. But I dont blame him for that as that is the case in USA if you are a foreigner to break the music market it is highly impossible unless you go there already a mega global super star the like of CELINE DION when she went to LAS VEGAS from TORONTO CANADA, she was already a global super star

  10. Comment by hombiz on July 27th, 2008 3:54 pm

    Hongera kijana! Naona umefunga penalty kwa kichwa!

  11. Comment by tom on July 30th, 2008 2:49 am

    it’s good Akon,that’s good to bring up the king of R’B.It’s damn fantastic colab in this time.my self i like it

  12. Comment by binti-mzuri on July 30th, 2008 11:47 am

    Edward Alex Mkelele thanx for the comment..i agree!

  13. Comment by truthfulness on August 1st, 2008 11:40 am

    BABYGIRL ulichapia kidogo pale,ni ‘deserve’

Leave a Reply