
BALOZI wa REDDS Angela Luballa(pichani) leo aliwashangaza watu alipoamua kurejesha taji hilo wiki moja tangu avalishwe.
Luballa ambaye pia alishika nafasi ya tatu katika shindano la kumsaka Miss Tanzania, amesema kuwa imani yake haimruhusu kuwa Balozi wa REDDS.
“Imani yangu kwa Yesu ni kubwa mno na hainiruhusu mimi kuwakilisha REDDS, hivyo nimeamua kurejesha taji na zawadi za fedha nilizopewa,” alisema Luballa.Tembelea blog ya Lukwangule kwa undani zaidi wa habari hii ambayo kwa vyovyote vile itazua mjadala.Kipi kinakubalika kwa Yesu na kipi hakikubaliki?Imani ni nini hasa?Je ni kweli hakuna shinikizo?Bonyeza hapa.
Page 1 of 3 | Next page